Kama ungekuwa na busara ungewaita Rais Putin na Zelensky meza moja kujadiliana namna ya kumaliza vita hii lakini umeamua kuwa upande wa Ukraine. Huu ni ujinga mkubwa sana, unachochea uanzishwaji wa vita vya tatu ya dunia. Uko tayari?
Acha kiburi Marekani, ndiyo maana afande sele alikuambia ule ndiyo ukweli. Watu wanaokufa kule Ukraine unaweza kusema kuwa ni Putin anasababisha lakini ni wewe Marekani. Kama usingemsupoti zelensky vita hii ingekuwa imeisha. Ulitakiwa kupima madhara makubwa ambayo yatajitokeza kwa kuisupoti Ukraine.
Ndugu wakigombana unakaa katikati na siyo kuegemea upande mmoja, ukishindwa vita hii dunia itakudharau sana. Ukianzisha vita ya tatu ya dunia, utachekwa sana.
Acha kiburi Marekani, ndiyo maana afande sele alikuambia ule ndiyo ukweli. Watu wanaokufa kule Ukraine unaweza kusema kuwa ni Putin anasababisha lakini ni wewe Marekani. Kama usingemsupoti zelensky vita hii ingekuwa imeisha. Ulitakiwa kupima madhara makubwa ambayo yatajitokeza kwa kuisupoti Ukraine.
Ndugu wakigombana unakaa katikati na siyo kuegemea upande mmoja, ukishindwa vita hii dunia itakudharau sana. Ukianzisha vita ya tatu ya dunia, utachekwa sana.