George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Hakuna kama Ben Pol na Barnaba Boy Afrika Mashariki...Licha ya ukweli kwamba hawa vijana wa "wasafi" wanajituma na kujitangaza sana na pia nawakubali sana, lakini hiyo hainizuii kuona na kutambua kwamba hao uliowataja hapo kwenye kuimba bado sijaona wa kuwafananisha nao hapa Tanzania
Ni kweli wanasitairi haha[emoji35] [emoji15] [emoji15]
Diamond Platnumz, Harmonize na DJ D-Ommy, wameibuka washindi kwenye tuzo za Afrimma 2016, zilizofanyika Dallas, nchini Marekani Jumamosi hii.
Diamond ameibuka tuzo ya Msanii bora wa kiume Afrika Mashariki, Harmonize Msanii bora chipukizi na D- Ommy, DJ bora wa Afrika.
Diamond na D-Ommy hawakuwepo kwenye tuzo hizo.
Watanzania walochukua tuzo za AFRIMA-2016
*Best Male East Africa.
Diamond Platnumz.
- Best Newcomer African.
Harmonize tz.
- DJ bora barani Africa.
DJ D Ommy.
View attachment 418988
Sitairi au stahiliNi kweli wanasitairi haha
Mawingu fmHuyu Dj Ommy ana scratch kituo gani cha redio? Hongera kwao
Clouds.Huyu Dj Ommy ana scratch kituo gani cha redio? Hongera kwao
Hongereni
He he asanteni sanaππHongera kwao
Wanasitair
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hongereni sana! kibakuli mwache abaki na uswahili wake
wewe hujui mziki pia hujui kuandikaJamani labda mi sijui mziki asa hawa wanaimba nini
Karibu tenaHe he asanteni sanaππ