KuraTuzo za waafrika zinaenda tolewa marekani kwanini? Hizi tuzo mi hata sijui wanaangalia vigezo gani.
Embu usijichetue akiliTuzo za waafrika zinaenda tolewa marekani kwanini? Hizi tuzo mi hata sijui wanaangalia vigezo gani.
Embu usijichetue akiliTuzo za waafrika zinaenda tolewa marekani kwanini? Hizi tuzo mi hata sijui wanaangalia vigezo gani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] eti kibamia daaaahEmbu usijichetue akili
Kwani wakati unampigia KIBAMIA hukuliona ilo??!
Aise acha tuHongera zao vijana,Harmonize Kaanza juz tu kaibuka na tuzo kubwa wakina barnaba,benpol kwenye game kitambo lakini hata kuzinusa tu bado Bora tu wakaombe usajili Wasafi Kama mwenzao mavoko!
-nyerere-
yote ni kiswahili fasaha kwa kuwa yanaingia kwenye ngeli ya M- MiHance siyo mziki umekosea Kama Mimi ni muziki
Hahahaha nimeiiba hapo juu hahahaSitairi au stahili
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ugomvi huo mkuuEmbu usijichetue akili
Kwani wakati unampigia KIBAMIA hukuliona ilo??!
nimekusahihisha pale ulipoandika neno "asa" hili neno halipo kaka kwenye kamusi yetuHahaha sasa Mimi nilikosea nini mpaka ukaamua kunisahihisha
Ukikaa karibu na waridi lazima UnukieπHongera zao vijana,Harmonize Kaanza juz tu kaibuka na tuzo kubwa wakina barnaba,benpol kwenye game kitambo lakini hata kuzinusa tu bado Bora tu wakaombe usajili Wasafi Kama mwenzao mavoko!
-nyerere-
Dj ommy ni dj wa diamond pia anafanya kazi clouds,hivyo ndo vinavyosababsha kupata tuzo,pia madj wa clouds huwa wanaenda hata kutumbuiza big brother mara nying tuDJ dommy kweli tuzo ni za upendeleo siku izi huo ubora wake ni upi tena Africa? Cheated again lol
ππππ.
Hongera zake n yy kwa ushindi w tunzo y aina yake.