Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Yani Barnaba, basi tuHaifai kuwalaumu kitu ambacho naona hawajataka kuzipata lakin wanauwezo wa kuzipata hasa barnaba na mkubal sana
Btw hongera sana Harmonizw n Diamond
Team wcb viva
Ndio huyohuyo mkuuHuyu Harmonise si ndie aliambiwa hajui kuimba kwenye Bongo star search?
Me hata sitaki kusema juu ya hivyo vichwa viwiliLicha ya ukweli kwamba hawa vijana wa "wasafi" wanajituma na kujitangaza sana na pia nawakubali sana, lakini hiyo hainizuii kuona na kutambua kwamba hao uliowataja hapo kwenye kuimba bado sijaona wa kuwafananisha nao hapa Tanzania
Hakuna kama Ben Pol na Barnaba Boy Afrika Mashariki...
*sitaki shari
Wee jamaa banaDuh sijashhtuka sana kwa sababu nilipiga kura nyingi kadri nilivyoweza ila ningeshtuka kama kibaka angepata tuzo wakat nilimpa kura moja basi ila mwisho wa.siku nakuombea kwa mungu akutie nguvu kibakuli katika kipindi hiki kigumu unachokipitja maana ni ngumu kumeza
nimeshangaa sana huyo changudoa kushinda hamfikii hata theluthi V money
Hicho mlicho andika mnaona mko sahihi?Yaan yule sura mbaya yule we mwache tu ila iko siku yake ataangukia pua
vanessa ana kila sababu ,ila hana juhudinimeshangaa sana huyo changudoa kushinda hamfikii hata theluthi V money
yaah mimi nipo sahihi kumuita changudoa ukitaka ushahidi zaidi mfaatilie kiundani Akothee alafu utajua kama namsingizia au laahHicho mlicho andika mnaona mko sahihi?
-Nyerere-
upo vizuri sana, nimependa maelezo yakovanessa ana kila sababu ,ila hana juhudi
nasema kila siku mziki ni juhudi..
mziki ni sauti+ tungo+ juhudi..
ukitunga vizuri ukawa na juhudi hata kama huna sauti watakupenda..
Vanesa hana juhudi..
Vanessa hajui thamani yake yeye ni mkubwa kiasi gani na anaweza kubadilisha industry kiasi gani...
vanesa anaweza kuwakilisha kama chibu..
sema skuizi hayuko karibu nae..
mwanzo vanessa na chibu everywhere ndio maana vanessa alijulikana .. now sijui mwalimu wake nani..
hata Mungu naye ana upendeleo ndio maana kuna matajiri ,maskini wapo wanaozaliwa vilema pia wapo waliokamilikaVitu vingine ukivisikia sio vya kuanza kujiuliza maswali mengi maana hata ukijiuliza huyu kapataje na frani kakoswa je?huwez kujua nyuma ya pazia kuna nini,cha mhimu Fanya yako yanayo kukabili,hizo tuzo hatoi mungu zinatolewa na watu so uchakachuzi upo tu
ndio.upo vizuri sana, nimependa maelezo yako
Yah niko sahihi kwani hujawahi kuona picha zake??Hicho mlicho andika mnaona mko sahihi?
-Nyerere-
Haaaaaaa jaaah...Vitu vingine ukivisikia sio vya kuanza kujiuliza maswali mengi maana hata ukijiuliza huyu kapataje na frani kakoswa je?huwez kujua nyuma ya pazia kuna nini,cha mhimu Fanya yako yanayo kukabili,hizo tuzo hatoi mungu zinatolewa na watu so uchakachuzi upo tu
Inaonekana wewe husomi biblia, sababu swala la vilema ni upungufu wa madini mwilini pia mungu hana upendeleo biblia inasema aombae hupewa so ukimuomba kwa imani na roho ya kweli utapata uombachohata Mungu naye ana upendeleo ndio maana kuna matajiri ,maskini wapo wanaozaliwa vilema pia wapo waliokamilika
Na kashasema humpa amtakaye
πππππKweli mkuu wasafi wana nyota vijana wameanza juzi sasa hivi wanakwea pipa kupiga show nje ya tz na tuzo za kimataifa zinawafata wakongwe bado wanazungushwa na coastar ya ruge hapa hapa bongo kweli kutangulia sio kufika!
-Nyerere-
sawa mkuu hapa si mahali pake tukutane jukwaa la dini nina mengi ya kukufunza pia usipende kuandika Mungu kwa herufi ndogoInaonekana wewe husomi biblia, sababu swala la vilema ni upungufu wa madini mwilini pia mungu hana upendeleo biblia inasema aombae hupewa so ukimuomba kwa imani na roho ya kweli utapata uombacho
mkuu Nyerere 11 anaona sijui tunamsingizia huyo binti laiti kama angeijua historia ya huyo anayemtetea angetengua kauli yake harakaYah niko sahihi kwani hujawahi kuona picha zake??