Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

We umeshawahi kwenda marekani au kuzisoma siasa na maisha kwa ujumla ya marekani?!
Sijawahi kwenda marekani na hata ilipotokea nafasi ya kusomea mfumo flan nilipakataa nikaenda Pengine,,,nayajua mambo Yao mengi na nimepata bahati ya kuwa karibu na watu wa huko kikazi hapa Tanzania.Na history Yao naijua vizuri.
 
Sijawahi kwenda marekani na hata ilipotokea nafasi ya kusomea mfumo flan nilipakataa nikaenda Pengine,,,nayajua mambo Yao mengi na nimepata bahati ya kuwa karibu na watu wa huko kikazi hapa Tanzania.Na history Yao naijua vizuri.
Endelea hivyohivyo na ukalagabaho wako. Unakataa fursa za kipekee kwa matokeo chanya ya maisha yako mwenyewe binafsi kwa stori za kusikia ambazo wala hazina matokeo na wewe ila kwa hiyari yako. Utajijua mwenyewe!
 
Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
EU, CANADA, MEXICO, CHINA ni baadhi ya nchi zilizojibu vikwazo vya kibiashara dhidi ya USA katika utawala wa D. TRUMP.
 
EU, CANADA, MEXICO, CHINA ni baadhi ya nchi zilizojibu vikwazo vya kibiashara dhidi ya USA katika utawala wa D. TRUMP.
Na kwa vikwazo vinavyoendelea kwa sasa kwa Urusi, sio nchi nyingi zinaunga mkono uonevu wa Wamarekani. Wanafanya yao bila shida!
 
Back
Top Bottom