white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hilo mtalisubiri sana sio la leo wala kesho!!!Hana muda kuanzia 2024 lazma kitawaka. Dunia itachangamka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo mtalisubiri sana sio la leo wala kesho!!!Hana muda kuanzia 2024 lazma kitawaka. Dunia itachangamka sana.
Sijawahi kwenda marekani na hata ilipotokea nafasi ya kusomea mfumo flan nilipakataa nikaenda Pengine,,,nayajua mambo Yao mengi na nimepata bahati ya kuwa karibu na watu wa huko kikazi hapa Tanzania.Na history Yao naijua vizuri.We umeshawahi kwenda marekani au kuzisoma siasa na maisha kwa ujumla ya marekani?!
Endelea hivyohivyo na ukalagabaho wako. Unakataa fursa za kipekee kwa matokeo chanya ya maisha yako mwenyewe binafsi kwa stori za kusikia ambazo wala hazina matokeo na wewe ila kwa hiyari yako. Utajijua mwenyewe!Sijawahi kwenda marekani na hata ilipotokea nafasi ya kusomea mfumo flan nilipakataa nikaenda Pengine,,,nayajua mambo Yao mengi na nimepata bahati ya kuwa karibu na watu wa huko kikazi hapa Tanzania.Na history Yao naijua vizuri.
EU, CANADA, MEXICO, CHINA ni baadhi ya nchi zilizojibu vikwazo vya kibiashara dhidi ya USA katika utawala wa D. TRUMP.Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
Na kwa vikwazo vinavyoendelea kwa sasa kwa Urusi, sio nchi nyingi zinaunga mkono uonevu wa Wamarekani. Wanafanya yao bila shida!EU, CANADA, MEXICO, CHINA ni baadhi ya nchi zilizojibu vikwazo vya kibiashara dhidi ya USA katika utawala wa D. TRUMP.