Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Wanatingisha kiberiti. Wao wanahitaji China kuliko inavyowahitaji. Wajaribu waone kama China nayo itajibu mapigoShetani Marekani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatingisha kiberiti. Wao wanahitaji China kuliko inavyowahitaji. Wajaribu waone kama China nayo itajibu mapigoShetani Marekani.
Raia wa nchi zote dunia wanaishi Marekani. Ukimtafuta raia wa urusi, china, india, Tanzania, kenya n.k wote utawakuta Marekani. Hakuna nchi yoyote isipokuwa Marekani inayoishi na raia wa kila nchi.
Acha iitwe Marekani. Kwenye hii migogoro anapiga hela sana kwa kuuza silaha. Tayari keshamuuzia silaha Taiwan. Capitalist achana naye, ana akili nyingi sana za kutengeneza hela
Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. 😊
Yeah maana 98% ya kemikali twaagiza ChinaChina ikiingia vitani hata huku tutaifeel vzr tu.
Hatuna pakuyatunza.Tunapaswa kuwa na national reserve ya mafuta sasa
Inaweza kujengwaHatuna pakuyatunza.
Ila kama taifa tulipaswa kuwa na sehemu ya kuwekea mafuta hata ya mwaka mzima.Inaweza kujengwa
Hata ya miaka mitanoIla kama taifa tulipaswa kuwa na sehemu ya kuwekea mafuta hata ya mwaka mzima.
Maana siku Pakiwaka kati ya Taiwan na China dunia nzima itaipata kwani Taiwan atamine eneo lote la bahari yake wakati 80% ya meli hupita hapo
Ila kama taifa tulipaswa kuwa na sehemu ya kuwekea mafuta hata ya mwaka mzima.
Maana siku Pakiwaka kati ya Taiwan na China dunia nzima itaipata kwani Taiwan atamine eneo lote la bahari yake wakati 80% ya meli hupita hapo
Afrika ina nchi gani ya G7? USA anajadili hili na viranja wenzake wa dunia.Hawa US watajikuta wamebaki kisiwa tu, maana Africa hakuna ataunga mkono huo upuuzi
Achana na historia za flame zilizoanguka kutokana na sababu ambazo nyingi ni irrelevant kwa sasa. Marekani bado yupo sana, hata miaka zaidi ya 100 ijayo. Jambo ambalo litaisumbua US kwenye nafasi yake ni aingie kwenye vita ya moja kwa moja kati yake na either Urusi au Mchina, na hili sioni likitokea.Unaonekana hujasoma historia bro. Soma kuhusu Dola ya Kirumi (Roman Empire), soma kuhusu dola ya Ottoman (Waturuki) na British Empire (makoloni ya Waingereza). Then uje tujadili. Marekani haina miaka 20 hapo mbele, ita cease kuwa muonevu na muanzisha vita wa dunia! Mark this thread tukiwa hai.
Anayeota anakulikana kabisa, sass si aweke hivyo vikwazo peke yake.Haijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
Akikujibu najiondoa jf leoAnayeota anakulikana kabisa, sass si aweke hivyo vikwazo peke yake.
CHakula tu ndo kwa sehemu kubwa hatuimport.Yeah maana 98% ya kemikali twaagiza China
Endelea kujidanganya bro. Mpaka USa wanakuja na Marshall plan baada ya vita za dunia, nani walikuwa wababe enzi hizo? Hilp nalo hulijui?Achana na historia za flame zilizoanguka kutokana na sababu ambazo nyingi ni irrelevant kwa sasa. Marekani bado yupo sana, hata miaka zaidi ya 100 ijayo. Jambo ambalo litaisumbua US kwenye nafasi yake ni aingie kwenye vita ya moja kwa moja kati yake na either Urusi au Mchina, na hili sioni likitokea.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
HEHEHE!...Shetani ashike dola ya dunia hadi kiyama??, huyo Mungu yuko wapi??!!.
Amerika imejaa ubaguzi, imejaa mateja, imejaa homeless , imejaa mauaji ya kutumia bunduki, masikini kibao wanaongezeka kila mwaka, kwa hali hiyo lazima America itaporomoka tu na nafasi yake kuchukuliwa na China + Russia.
Ndio mjiandae kushuhudia kile ambacho mlikuwa hamkitaki na akishapigwa chini huyo super power wenu tutawafanya wake zetu nyie mashabiki zake.Haijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
🤣🤣🤣🤣🤣 Mrusi akimruhusu Taleban itapendeza sana akawafyeke mashoga wa Ukraine na NATO kwa uhuru. Najua Marekani lazma atapiga biti tu... Warabu hawanaga hofu ya kufa.Mmarekani na NATO wameshindwa na afghanistan talabani wamepigwa mpaka imebidi wawakabidhi nchi waondoke, nendeni marekani mkaone makaburi ya wanajeshi waliozikwa kwenye uwanja utasikitika ukubwa wa singida yoote, nendeni uk mkaone makaburi na nendeni ulaya na bado talabani anawaita warudi kupigana, na talabani kamuomba mrusi aende ukraine akapambane na mmarekani huko
Anaomba kuungwa mkono na mataifa dhaifu ili apitishe ushoga wake kila taifa..Kwamba US nguvu yake imepungua kiasi kwamba haina nguvu bila kusaidiwa na mataifa mengine?
Vv