Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. 😊
Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
 
Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
Nakupa nishani yangu binafsi ya heshima mkuu 🙌🏾
 
U.S.A imekuwa superpower toka lini ?
Sibishani na mapopoma ambao hawakwenda shule, passport zenyewe hamna, hata Mombasa kufika ni ndoto na duniani mnaishia kupaona kwenye miziki na tamthilia tu. Katazame google uulize au kasome vitabu. Na suluhu the best ni Rudi shule!
 
Bila marekani aliimba afande sele aisee hii nchi sjapata kuona acha sku moja atoka kwenye hiyo namba moja aliopo
 
Sibishani na mapopoma ambao hawakwemda shule, passport zenyewe hamna, hata Mombasa kufika ni ndoto na duniani mnaishia kupaona kwenye miziki na tamthilia tu. Katazame google uulize au kasome vitabu. Na suluhu the best ni Rudi shule!
Swali jepesi kama hilo unajaza hasira , magumu uta yaweza kweli ?




: Akili/Rangi
 
Kilicho umiza super power nying dunian n kutaka kukandamiza watu wengine UK na zingine zilitumua nguvu nying kuumiza watu leo ziko wapi haya marekan ipo siku tu na yeye ataondoka hapo alipo
 
Back
Top Bottom