Kama Russia, korea kaskazini na China wanawekewa vikwazo nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekewa vikwazo marekani au yenye uwezo wa kumuwekewa vikwazo?
Hizi vita russia na china wanazozianzisha zinamnufaisha sana Marekani kwa kuuza silaha. Tayari Marekani ameshamuuzia silaha Taiwan za pesa ndefu.
Ukijua kuwa Marekani wale watabaki kuwa ni kiranja wa dunia. Ukitafuta raia wa nchi yoyote ile dunia km Tanzania, somalia, kenya, nigeria, india, china n.k wote utawakuta wanaishi Marekani.