Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

Marekani yaanza kutafuta uungwaji mkono ili kuiwekea vikwazo China

China ikiingia vitani hata huku tutaifeel vzr tu.
Ishu ya Covid lockdown tu wenye maduka madogo kariakoo waliishiwa stock wakawa mzigo umeganda haubadiliki kwa miezi hadi watu wakahamia soko la uturuki 🤣🤣🤣
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mrusi akimruhusu Taleban itapendeza sana akawafyeke mashoga wa Ukraine na NATO kwa uhuru. Najua Marekani lazma atapiga biti tu... Warabu hawanaga hofu ya kufa.
Kwakuwa hatuna Roho yaye
 
Kama Russia, korea kaskazini na China wanawekewa vikwazo nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekewa vikwazo marekani au yenye uwezo wa kumuwekewa vikwazo?
Hizi vita russia na china wanazozianzisha zinamnufaisha sana Marekani kwa kuuza silaha. Tayari Marekani ameshamuuzia silaha Taiwan za pesa ndefu.
Ukijua kuwa Marekani wale watabaki kuwa ni kiranja wa dunia. Ukitafuta raia wa nchi yoyote ile dunia km Tanzania, somalia, kenya, nigeria, india, china n.k wote utawakuta wanaishi Marekani.
Wanaishi marekani ni sawa ila ni kwa sababu ya njaa zao tu. Sio kwamba hamna nchi nzuri zaidi ya marekani. Scandnaviana countries ziko bomba sana kuliko hata US.
 
Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. 😊
Nimekaa pale, huyo superpower wenu kabla ya 2030 lazma awe kalambishwa mchanga...Unless utawala ubadilike aingie raisi mwenye hekima.
 
Unaonekana hujasoma historia bro. Soma kuhusu Dola ya Kirumi (Roman Empire), soma kuhusu dola ya Ottoman (Waturuki) na British Empire (makoloni ya Waingereza). Then uje tujadili. Marekani haina miaka 20 hapo mbele, ita cease kuwa muonevu na muanzisha vita wa dunia! Mark this thread tukiwa hai.
Wanaona Marekani kama ndio Mungu wa dunia. Marekani 2030 haitafika lazma iwe imesambaratika. Hizo sanctions na kulazimisha vitu ni kama kicks of a dying horse.
 
Tangu 1914 kwenye vita ya dunia mpk leo.
Unajiuliza kama Russia, China, Iran na korea kaskazini wanawekea vikwazo. Nani aliyebaki hapo?
Ni nchi gani iliyowahi kumuwekea vikwazo Marekani? Marekani walikiri waliivamia Libya. Je, kuna nchi yoyote iliyomuwekea vikwazo?.
Russia ameenda kuivamia Ukraine kawekewa vikwazo.
Israel kila siku anawapiga wapalestina. Juzi ameipiga Syria mpk Russia amelaani. Nani aliyemuwekea vikwazo?
Marekani na Israel ni fire
Ndio washachokwa na kila mtu, hata wale manunda wa mtaa huwa wanaishiaga kufa vibaya sana ikifikia stage wananchi wamechoka kufanyiwa matukio.
 
Kilicho umiza super power nying dunian n kutaka kukandamiza watu wengine UK na zingine zilitumua nguvu nying kuumiza watu leo ziko wapi haya marekan ipo siku tu na yeye ataondoka hapo alipo
Hana muda kuanzia 2024 lazma kitawaka. Dunia itachangamka sana.
 
Achana na historia za flame zilizoanguka kutokana na sababu ambazo nyingi ni irrelevant kwa sasa. Marekani bado yupo sana, hata miaka zaidi ya 100 ijayo. Jambo ambalo litaisumbua US kwenye nafasi yake ni aingie kwenye vita ya moja kwa moja kati yake na either Urusi au Mchina, na hili sioni likitokea.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hulioni likitokea au sio? 🤣🤣🤣 Watu wanaandaa Nuclear zao na wametupilia mbali mpango wa pamoja wa kushirikiana kwenye kukagua Nuclear arsenals we kaa hivyo hivyo.

US kashachokwa na wenye akili sasa ajichanganye tu atakipata anachokitafuta.
 
Wanaishi marekani ni sawa ila ni kwa sababu ya njaa zao tu. Sio kwamba hamna nchi nzuri zaidi ya marekani. Scandnaviana countries ziko bomba sana kuliko hata US.
Watu wote wananjaa ndiyo maana tunatafuta hela. Ndiyo maana watu wanatafuta maisha popote pale. Ila USA fursa zipo nyingi kuliko nchi yoyote ile duniani.
Unajua kupigana (mieleka, boxing), Muziki, Basketball (NBA), muigizaji (Hollywood), Porn industries, drug abuse n.k
Ndiyo maana watu wote wa nchi yoyote duniani utawakuta USA.
 
Ndio washachokwa na kila mtu, hata wale manunda wa mtaa huwa wanaishiaga kufa vibaya sana ikifikia stage wananchi wamechoka kufanyiwa matukio.
Tofautisha manunda wa mtaa ambao hawana dola na hawana hela na ambao wana dola na wanahela.
USA ni nunda mwenye dola na hela.
Russia anaipiga Ukraine, China anataka kuipiga Taiwan. Unafikiri Russia na China ni wazuri sana kuliko USA?
 
Nilisahau jambo moja; America wamejaa mashoga.
TO BE A GAY IS A CHOICE WE MPUMBAVU!... JUZI TU RAIS WA AMERIKA MWENYEWE KAZUNGUMZA NA ANAJIULIZA NI NGUVU GANI IPO NYUMA YA LAANA HII?!...WATU HAWANA HAYA... HAJISIKII VIBAYA WALA FEDHEHA KUTOKA KWA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA FAMILIA YAKE KUWA MTU WA NAMNA HIYO?!... kaongea mengi sana!

Nenda twitter tafuta videos tazama, na utazame na za WILLIAM RUTO pia

Lakin Hiyo ndo hoja muhimu wewe uliyoona ya msingi kabisa hapa?! Wamejaa gays sawa.., ila ndo wababe hao. We mwenyewe hushangai?!

Hao wajaa laana wapo everywhere duniani na aliyeamua kufirwa shauri yake na mungu wake sisi hatuhusu akiingia kwenye 18 zangu naua tu kumamamae!

Ila ongea hoja za msingi sio hao laana!
 
Wanaona Marekani kama ndio Mungu wa dunia. Marekani 2030 haitafika lazma iwe imesambaratika. Hizo sanctions na kulazimisha vitu ni kama kicks of a dying horse.
Mzee unaona ni kitu rahisi?!

Nafkiri WWIII is around the corner 😢😢😢

Hatalambishwa mchanga katu na kizembe lazima kinuke... bora tufe mapema ila tusikumbwe na hiyo kadhia
 
Ndio mjiandae kushuhudia kile ambacho mlikuwa hamkitaki na akishapigwa chini huyo super power wenu tutawafanya wake zetu nyie mashabiki zake.
We mzee utamfanyaje mwanaume mwenzio mkeo?! 😳😳😳

Unanifanya nakuvua nishani zangu za heshima kaka 😔😔😔

Acha hizo kauli tunazipinga, zinakaribisha laana na ushetani.
 
TO BE A GAY IS A CHOICE WE MPUMBAVU!... JUZI TU RAIS WA AMERIKA MWENYEWE KAZUNGUMZA NA ANAJIULIZA NI NGUVU GANI IPO NYUMA YA LAANA HII?!...WATU HAWANA HAYA... HAJISIKII VIBAYA WALA FEDHEHA KUTOKA KWA NDUGU, JAMAA, MARAFIKI NA FAMILIA YAKE KUWA MTU WA NAMNA HIYO?!... kaongea mengi sana!

Nenda twitter tafuta videos tazama, na utazame na za WILLIAM RUTO pia

Lakin Hiyo ndo hoja muhimu wewe uliyoona ya msingi kabisa hapa?! Wamejaa gays sawa.., ila ndo wababe hao. We mwenyewe hushangai?!

Hao wajaa laana wapo everywhere duniani na aliyeamua kufirwa shauri yake na mungu wake sisi hatuhusu akiingia kwenye 18 zangu naua tu kumamamae!

Ila ongea hoja za msingi sio hao laana!
Hahahah ni deathrow tu kmmmk
 
Back
Top Bottom