Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,546
Marekani inaongozwa na mwanamke ( bibi) Labda mpaka apatikane mwanaume ndio uongozi wa kutumia akili utarudi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tuoneKila la kheri zao...
Sasa hivi si ajabu mitaaa kadhaa ukakuta hakuna bidhaa yoyote ya Marekani lakini si rahisi kukosa bidhaa ya kichinaIkibali tu ishapoteza umonita wa dunia bado ukiranja
Joka la kibisa a. k. a USA sasa ni wakati wake wa kuvuliwa pichuKwa mujibu wa Reuters, mashauriano hayo yapo hatua ya awali yakilenga kupata Washirika kutoka mataifa mbalimbali, hasa Kundi la Nchi 7 Tajiri Duniani (G7) ili kuratibu vikwazo vyovyote vinavyowezekana.![]()
Uamuzi huo unafuatia #Washington na washirika wake kuituhumu #China kuwa inataka kuisaidia #Urusi Silaha za Kivita ili kupambana na #Ukraine, licha ya Serikali ya Rais #JoeBiden kutoweka wazi ushahidi.
Aidha, #Marekani imeidhinisha kibali cha kuiuzia #Taiwan Silaha za Tsh. Trilioni 1.4 yakiwemo Makombora ya Meli (F-16), Makombora 200 ya kukinga Ndege (AMRAAM) na 100 ya AGM-88B HARM.
==============
The United States is sounding out close allies about the possibility of imposing new sanctions on China if Beijing provides military support to Russia for its war in Ukraine, according to four U.S. officials and other sources.
The consultations, which are still at a preliminary stage, are intended to drum up support from a range of countries, especially those in the wealthy Group of 7 (G7), to coordinate support for any possible restrictions.
It was not clear what specific sanctions Washington will propose. The conversations have not been previously disclosed.
The U.S. Treasury Department, a lead agency on the imposition of sanctions, declined to comment.
Washington and its allies have said in recent weeks that China was considering providing weapons to Russia, which Beijing denies. Aides to U.S. President Joe Biden have not publicly provided evidence.
The United States has approved the potential sale of $619 million in new weapons to Taiwan, including missiles for its F-16 fleet, as the island reported a second day of large-scale Chinese air force incursions nearby.
The arms sales are likely to further sour already tense ties between Washington and Beijing, which has repeatedly demanded such deals stop, viewing them as unwarranted support for democratically governed Taiwan, an island China claims as its own territory.
The Pentagon said on Wednesday the U.S. State Department has approved the potential sale to Taiwan of arms and equipment that includes 200 anti-aircraft Advanced Medium Range Air-to-Air Missiles (AMRAAM) and 100 AGM-88B HARM missiles that can take out land-based radar stations.
REUTERS
Acha ujinga, kila mtu na rafiki zake. China na Russia na marekani na mazezeta wenzake. Tusichoshane wala tusipangianeWakubwa wakikorofishana sisi huku ndio inakua balaa huyu USA na China wakae chini wamalize tofauti zao wamemuacha Putin kavamia Ukraine bila kutafuta suluhu leo wao ndio wanatoa siraha tena ingawaje najua wanatoa kwa faida yao...China katafutwa na Huawei yake sijui chip mara goggle naona wanamtafutia kesi mpya..
Shetani 😈😈😈 mwenyeweShetani Marekani.
Acha utoto weweHaijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
Afrika muunge msiunge hamna madhara yoyote. Ni bora muunge maana msipounga mtaumia zaidi.Hawa US watajikuta wamebaki kisiwa tu, maana Africa hakuna ataunga mkono huo upuuzi
Punguza mawazo mkuu mambo ya Ujinga yametokea wapi tena swala la USA na China sisi tutukanane akili za wapi hizo mazee...Acha ujinga, kila mtu na rafiki zake. China na Russia na marekani na mazezeta wenzake. Tusichoshane wala tusipangiane
Unaonekana hujasoma historia bro. Soma kuhusu Dola ya Kirumi (Roman Empire), soma kuhusu dola ya Ottoman (Waturuki) na British Empire (makoloni ya Waingereza). Then uje tujadili. Marekani haina miaka 20 hapo mbele, ita cease kuwa muonevu na muanzisha vita wa dunia! Mark this thread tukiwa hai.Haijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
Kuna watu hawatakuelewa bro, sijui ufafanueje hawa Pro-USA wakuelewe. China ndio global manufacturing hub kwa sasa na ndio yenye uchumi unaokuwa kwa kasi ya tarakimu mbili ikifuatiwa na India. Kampuni almost zote kubwa za mabeberu wa Marekani zinazalishia bidhaa zake China, akina Apple, General Motors nk.Sasa hivi si ajabu mitaaa kadhaa ukakuta hakuna bidhaa yoyote ya Marekani lakini si rahisi kukosa bidhaa ya kichina
Kwa nini ?Haijawahi na haitawahi kuja kupoteza,keep dreaming.
Kaa kimya 😊😊😊Hawa muwezi mchina hata kwa dawa walahi, na sasa huko marekani kumejaa Ma bipolar psychopath tu walahi!
We umeshawahi kwenda marekani au kuzisoma siasa na maisha kwa ujumla ya marekani?!Marekani inaongozwa na mwanamke ( bibi) Labda mpaka apatikane mwanaume ndio uongozi wa kutumia akili utarudi.
unaambiwa ukweli... tulia bwamdogo 😊Acha utoto wewe
Raia wa nchi zote dunia wanaishi Marekani. Ukimtafuta raia wa urusi, china, india, Tanzania, kenya n.k wote utawakuta Marekani. Hakuna nchi yoyote isipokuwa Marekani inayoishi na raia wa kila nchi.Shetani Marekani.
Na ndo nchi pekee itakayoshika dola ya duniani kwa kipindi kirefu zaidi kuzidi zote duniani! Huenda yeye ndo akaongoza mpaka Qiyyama... anayebisha ahifadhi uzi huu. 😊Raia wa nchi zote dunia wanaishi Marekani. Ukimtafuta raia wa urusi, china, india, Tanzania, kenya n.k wote utawakuta Marekani. Hakuna nchi yoyote isipokuwa Marekani inayoishi na raia wa kila nchi.
Acha iitwe Marekani. Kwenye hii migogoro anapiga hela sana kwa kuuza silaha. Tayari keshamuuzia silaha Taiwan. Capitalist achana naye, ana akili nyingi sana za kutengeneza hela
Kama Russia, korea kaskazini na China wanawekewa vikwazo nani aliyebaki hapo?Ikubali tu ishapoteza umonita wa dunia bado ukiranja