Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Inaweza kuchukua muda na kugharimu maisha ya wengi ila mwisho wa siku tutasimama tena, tutajifunza kuishi kwenye mazingira yanayotuzunguka.

Nephiles wale ni special case. Kama wa Khushi walijenga Pyramids n.k na wako Africa, tungetoboa na si weupe wale, moto, chuma, zama za mawe, matumizi ya ngozi za wanyama, dawa za mitishamba n.k Misri haikuwahi kuwa ya waarabu, tungetoboa tu mwisho wa siku.

Muingereza wa kwanza kuiona Africa, aliliambia bunge lao, ustaarabu, uelewa na ujamii wa wale watu, ni lazima tuwape elimu yetu tukitaka kuwatawala, kule hakuna wizi wala omba omba n.k

Kilwa ilitengeneza sarafu yake na umeme kabla mreno hajaichoma moto kwa wivu.
 
Nchi inayoilaribia america kwa population ni nigeria. With 206mil.. while US wakiwa na 331mil.
US ni super power kwa dunia na Amerika yote, Nigeria ndio super power wa Africa.

India naye anakuja juu haswa. Ajabu hao wote wana population kubwa. Mbona wasiwe maskini wa kutupwa kabisaaa kwasababu ya wingi wa watu?
 
Unataka kusema paracetamol ya bongo na USA ni tafauti?
 
What do say .? Wakifa hauta enea? Or hawa deserve kuishi?
Nikisema waathirika hawatakiwi kuishi itakua nakosea na si ubinaadamu kabisa, ila wakiishi wasiathiri na wengine, point yngu ni kuwa kama watatumia dawa hizo kuna uwezekano waathirika wakazidi zaidi
 
Duh,nimeamini kweli wajinga ndio waliwao.Yaani diagnostic ability zero,jamaa wametumaliza aisee.Yaani wamekufanya ulipulize,maana unaitwa "la kupuliza," sasa unekuwa zuzu,pole.

Sawa mke wangu mzuriiiiiiiii.
 
Hata Panadol kuna za Kenya na hizi za kwetu sijui za Shelys. Hata dawa za India nyingi wanachukua patents kutoka China
Kaa hiyo side effect ya dawa za mbele ni ndogo sana mkuu kuliko hizi zetu za mia mia?
 
Kwani huko marekani na ulaya hakuna ukimwi? Kwanini useme hili gonjwa tumeletewa huku na wao while sisi wa africa mda wote tunawaza ngono zaidi ya kazi na research
 
wanatudanganya hawa, tayari wanatumia dawa ya once per year, leo ndo wanatutanganzia dawa ya montly iliyokwisha achwa miongo kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…