Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Marekani taifa kubwa.....🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
 
Idara ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA), imeidhinisha dawa aina ya "Cabenuva" iliyoundwa dhidi ya virusi vya Ukosefu wa kinga ya mwili (VVU) kutumika mara moja kwa mwezi.

Maafisa wa Marekani walitangaza kwamba idara hiyo ya FDA imeidhinisha dawa inayoitwa "Cabenuva", ambayo inaingizwa mwilini kwa sindano mara moja kwa mwezi na ina athari ya muda mrefu zaidi kama kinga mbadala kuliko vidonge vya kila siku vinavyotumiwa na watu wenye VVU.

"Cabenuva" imeboreshwa kutokana na ujumuishaji wa "Rilpivirine" iliyozalishwa na kampuni ya Johnson & Johnson na "Cabotegravir" iliyozalishwa na ViiV Healthcare.

Ilielezwa kuwa FDA ilitoa idhini ya matumizi ya dawa hiyo mahsusi kwa kwa watu wazima wenye VVU na wagonjwa wasiokuwa na kinga ya kutosha ya kudhibiti virusi.

Cabenuva inatarajiwa kurahisisha ufuatiliaji wa maisha binafsi ya wagonjwa na kulinda faragha zao.

Mtaalamu wa VVU kutoka chuo kikuu cha California Dr. Steven Deeks, alisema dawa hiyo ya "Cabenuva" itaboresha hali ya maisha ya wagonjwa walioambukizwa VVU.
HIV ni bihashara kwa USA na kampuni zake kwa iyo lazima wawe makini ni iyo bihashara
 
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.

Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problem reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
Hawana jema uku unatumia coca cola beverages zao
 
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.

Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problem reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
Unapiga kelele za bure wakiamua kuku chanja utachanjwa tu labda ufe, mbona ndui unayo begani
 
ARVs ziko za aina nyingi sana na za gharama kubwa kadiri unavoweza afford uko Marekani. Cha ajabu wabongo wanaamini hizi ARVs za mtumba tunazopewa huku ni za sawa na wanazopata uko duniani.

Kuna dawa za zaidi ya dola 300 nani akulipie, tutaishia kupata hizi cheap ambazo patents zake ni rahisi na zina miaka kibao sokoni, wafadhiri wanalipia dozi mamilioni ya Waafrika hawawezi leta dawa advanced wataishiwa hela mapema. Unaona kama hao J&J (Johnson&Johnson) hawawezi toa ruhusa utumie tech yao wakati hawajapiga faida na kurejesha research & development cost.

Ni kama kwenda Kidimbwi kwa ofa ukataka ununuliwe Hennessy kisa haina hangover, utaishia kupata Serengeti Lite. Hizo dawa zisizo na side effects kubwa tutazisikiliza ukouko. Kwetu kuna mama mmoja anafanya kazi NGO moja anachukua dawa US hatumii hizi za Buguruni unazoenda umevaa sunglasses na ushungi.
Unamsema mwanamama Ray C kiuno kina mfupa
 
Kwahiyo kila mwezi sindano moja,kwa mwaka sindano 12...
 
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.

Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problem reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
Lol wtf is wrong with you people. Conspiracy theory everyday zinawateka.
Yaan hata chanjo haijafika africa eti wamewela virus vya vvu kwenye chanjo ya covid.. nani kasema?
Ili wapate nini?
 
Ninachofikiri ni kuwa, Africa ndo bara lenye rasilimali asili nyingi zaidi na ardhi bikra. Kama tukisema kusiwe na muingiliano wa kimabara kwa namna yoyote ile, unadhani athari kubwa tutakazozipata sisi Africa ni zipi na watakazozipata wale ni zipi?

Depopulation, ni India na Africa tu, China hawaguswi. USA ana population kiasi gani? Nchi ipi Africa inaikaribia US kwa population?

Chanjo za Polio na zifananazo ni majanga, wao walitumia DDT kuangamiza mbu, Japan kadhalika, kisha wakasema zina madhara, wakatengeneza dawa za kutibu Malaria, sio kuondoa mbu
Nchi inayoilaribia america kwa population ni nigeria. With 206mil.. while US wakiwa na 331mil.
 
Tulivyo wa ajabu utashangaa hii tunaitaka. Tutasahau kuwa inatoka America au Ulaya
Kwa viongozi wazalendo wa nchi yao kama hapa TZ hawawezi kukubali kupokea hizi dawa kwsbb zinatoka kwa Mabeberu

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lol wtf is wrong with you people. Conspiracy theory everyday zinawateka.
Yaan hata chanjo haijafika africa eti wamewela virus vya vvu kwenye chanjo ya covid.. nani kasema?
Ili wapate nini?
Wapate nini,kwani sasa wanapata nini from Africa?Wake up friend.Hivi hujui kwamba they want to depopulate the World and specifically Africa.Wewe unahitaji darasa la peke yako,you are too much removed from reality.By, next time.
 
Unapiga kelele za bure wakiamua kuku chanja utachanjwa tu labda ufe, mbona ndui unayo begani
Dah,kweli wajinga tuko wengi.Mimi sichanjwi na hata watoto wangu sichanji.Utachanjwa wewe,watoto wako na nduguzo.

Hata hivyo ninachofanya mimi ni ku-raise awareness,ili mtu akikubali kuchanjwa au kunywa hiyo dawa ya VVU afanye hivyo from an informed position.
 
Wapate nini,kwani sawa wanapata nini from Africa?Wake up friend.Hivi huijui kwamba they want to depopulate the World and specifically Africa.Wewe unahitaji darasa la peke yako,you are too much removed from reality.By next time.
Lol bado uko kwenye conspiracy theory man. Nikuomba ushahid unaweza kuuwasilisha hapa? I mean pure scientific evidence?

What is reality? Reality ni perception. Some of you mna rely kwenye conspirwcy theory which mostly inakuwa hamna ushahidi.
Lets unachosema ni kweli? Where is the evidence inayo support madai yako?
 
Lol bado uko kwenye conspiracy theory man. Nikuomba ushahid unaweza kuuwasilisha hapa? I mean pure scientific evidence?

What is reality? Reality ni perception. Some of you mna rely kwenye conspirwcy theory which mostly inakuwa hamna ushahidi.
Lets unachosema ni kweli? Where is the evidence inayo support madai yako?
Mkuu hata hujui maana ya to conspire..

To cospire is to make secret plans jointly to commit an unlawful or harmful act.Sasa kwa ujinga wetu wamegeuza maana ya neno,sisi ndio sasa tunaonekana tuna-conspire,no we are only exposing the evil they are doing against us and people should in fact thank those who are doing it instead of ridiculing them.Jamani amkeni.How does this become a conspiracy if the NWO elite are talking about the concept of synthesis thesis and antithesis openly.
Lol bado uko kwenye conspiracy theory man. Nikuomba ushahid unaweza kuuwasilisha hapa? I mean pure scientific evidence?

What is reality? Reality ni perception. Some of you mna rely kwenye conspirwcy theory which mostly inakuwa hamna ushahidi.
Lets unachosema ni kweli? Where is the evidence inayo support madai yako?
Kama wamepika COVID watashindwa kupika na hili,acheni ujinga ninyi.Haya wamelikoroga sasa,linyweni.Watch this uone wanavyo yakoroga!

 
Back
Top Bottom