Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasoro tanzania sisi matajiri hatuhitaji chochote cha mabeberuItasambazwa dunia nzima au
Ni jambo aisee!! Ila laiti wangeinvest zaidi katika khitafuta kinga kama walivyofanya kwa corona nazani tungeiona nafuu mpaka sasa
- Tunashukuru
Effects...."ina athari ya muda mrefu"....=,....."ina uwezo wa muda mrefu"....
Ni kweli, na utasikia serikali za africa watapongeza sana hatua hiyo iliyofikiwa na wazungu, ila wakizungumzia tu suala la haki za binadamu na demokrasia, kwa viongozi, utasikia jina lina badirika!!kuwa mabeberu wanatuingilia kwenye mambo yetu!!Habari njema hii mambo ya kumeza kila siku dawa inachosha.
Ninachofikiri ni kuwa, Africa ndo bara lenye rasilimali asili nyingi zaidi na ardhi bikra. Kama tukisema kusiwe na muingiliano wa kimabara kwa namna yoyote ile, unadhani athari kubwa tutakazozipata sisi Africa ni zipi na watakazozipata wale ni zipi?Mwafrika sio THREAT kwa mzungu. Akuue ili nini?
si kweli, bado unapata bureeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeewametukatia msaada wa AVR
kwani wamekukataza kutumia DDT? tumia uone madhara yakewao walitumia DDT kuangamiza mbu,
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.
Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problems reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
jaman nimeweza sjui imeloa nini???Very Good news.
Hata Mimi sijaelewa vema hapo...."ina athari ya muda mrefu"....=,....."ina uwezo wa muda mrefu"....
Pole sana, atleast now mtakua mnapata mara moja kwa mweziHabari njema hii mambo ya kumeza kila siku dawa inachosha.
Duh,nimeamini kweli wajinga ndio waliwao.Yaani diagnostic ability zero,jamaa wametumaliza aisee.Yaani wamekufanya ulipulize,maana unaitwa "la kupuliza," sasa unekuwa zuzu,pole.Bangi ni hatari sana aisee.
Unamaanisha kwamba........Habari njema hii mambo ya kumeza kila siku dawa inachosha.