Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani amemaanisha, ina matokeo chanya ya muda mrefu compared na hizi ARV za sasa hivi ambazo zinamezwa kila baada ya saa 24Hata Mimi sijaelewa vema hapo
Mkuu hio ni njama ya kutaka watu waathirike zaidiKwa hisani ya watu wa Marekani naamini hata huku itafika, nikisema God bless america kuna mtu atanuna kwani.
Ni kweli, na utasikia serikali za africa watapongeza sana hatua hiyo iliyofikiwa na wazungu, ila wakizungumzia tu suala la haki za binadamu na demokrasia, kwa viongozi, utasikia jina lina badirika!!kuwa mabeberu wanatuingilia kwenye mambo yetu!!
Pole sana, atleast now mtakua mnapata mara moja kwa mwezi
Unamaanisha kwamba........
Hakuna habari njema hapo. Pasua kichwa kuwaza kiundani utapata jibuHabari njema hii mambo ya kumeza kila siku dawa inachosha.
Ha ha haHATUITAKI, tutafuata dawa nzuri Madagascar
Wachache tu watakuelewa. Huwa nashangaa sana watu wanavyopapatikia vitu vya weupe hali ya kuwa hao weupe kila kukicha wanaplan kutumaliza kwa style mbali mbali. Mzungu katengeneza virusi ili afanye business Africa ndio maana kujifanya umegundua dawa ya UKIMWI watafanya kila njia kuhakikisha unanyamazishwa kwa kila namna.Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.
Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problem reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
Mtu anayetumia dawa vizuri na kwa nidhamu anaondoa uwezo wa kuambukiza wengine.Ukimwi utazidi kuenea kwa sababu waathirika watakaa mda mrefu
HATUTAKI DAWA YA MABEBERUUUU CCM OYEEEEEEIdara ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA), imeidhinisha dawa aina ya "Cabenuva" iliyoundwa dhidi ya virusi vya Ukosefu wa kinga ya mwili (VVU) kutumika mara moja kwa mwezi.
Maafisa wa Marekani walitangaza kwamba idara hiyo ya FDA imeidhinisha dawa inayoitwa "Cabenuva", ambayo inaingizwa mwilini kwa sindano mara moja kwa mwezi na ina athari ya muda mrefu zaidi kama kinga mbadala kuliko vidonge vya kila siku vinavyotumiwa na watu wenye VVU.
"Cabenuva" imeboreshwa kutokana na ujumuishaji wa "Rilpivirine" iliyozalishwa na kampuni ya Johnson & Johnson na "Cabotegravir" iliyozalishwa na ViiV Healthcare.
Ilielezwa kuwa FDA ilitoa idhini ya matumizi ya dawa hiyo mahsusi kwa kwa watu wazima wenye VVU na wagonjwa wasiokuwa na kinga ya kutosha ya kudhibiti virusi.
Cabenuva inatarajiwa kurahisisha ufuatiliaji wa maisha binafsi ya wagonjwa na kulinda faragha zao.
Mtaalamu wa VVU kutoka chuo kikuu cha California Dr. Steven Deeks, alisema dawa hiyo ya "Cabenuva" itaboresha hali ya maisha ya wagonjwa walioambukizwa VVU.
Watakaotoa chanjo ya corona ni AstraZeneca, Pfizer, BionTech, Oxford, Pasteur Institute pale Ufaransa nao wako bize. Russia anayetoa ni Gamaleya research facility. Kuna India, China na wengine wanapambana.Wanaelekea kuiacha biashara ya ARV baada ya mpya ya korona kushika kasi.
Wabarikiwe MABEBERU.
Athari ni unwelcome au unpleasant effectsEffects
Hivi kweli mkuu leo hii itokee hicho unachokiwaza kuwa pasiwe na muingiliano wowote ule na mabara mengine?nakuhakikishia sisi wafrika ndani ya muda mfupi tu, tutaangamia !!hadi wao waanze kuyaona madhara sisi huku, tumekwishaaaa!!!kwa akili hizi za viongozi wetu wa kiafrika?!!kama unasema chanjo za polio ni majanga si tutengeneze zetu?!!kwani tumezuiwa?kwa wasomi wetu hawa?Africa hatuna wasomi bwana!!sisi bila wazungu maisha yetu yapo rehani!!Ninachofikiri ni kuwa, Africa ndo bara lenye rasilimali asili nyingi zaidi na ardhi bikra. Kama tukisema kusiwe na muingiliano wa kimabara kwa namna yoyote ile, unadhani athari kubwa tutakazozipata sisi Africa ni zipi na watakazozipata wale ni zipi?
Depopulation, ni India na Africa tu, China hawaguswi. USA ana population kiasi gani? Nchi ipi Africa inaikaribia US kwa population?
Chanjo za Polio na zifananazo ni majanga, wao walitumia DDT kuangamiza mbu, Japan kadhalika, kisha wakasema zina madhara, wakatengeneza dawa za kutibu Malaria, sio kuondoa mbu
Mkuu wasikuumize kichwa ni biashara tu hiyo, na hapo wapo kwenye matangazo ya biashara yao.Hii ni ishara tosha kua dawa ya HIV ipo baada ya hapo itakuja ya mara moja kwa mwaka. Ila dawa na chanjo bado hawajagundua