Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Marekani yaidhinisha Dawa ya VVU ya kutumika mara 1 kwa mwezi badala ya vidonge vya kila siku

Ni kweli, na utasikia serikali za africa watapongeza sana hatua hiyo iliyofikiwa na wazungu, ila wakizungumzia tu suala la haki za binadamu na demokrasia, kwa viongozi, utasikia jina lina badirika!!kuwa mabeberu wanatuingilia kwenye mambo yetu!!

Mabeberu ndio wanatuweka mjini bila hao tungepata tabu sana.
 
Ndio naikataa.It is commonsense.Wanajua wameweka VVU kwenye chanjo ya C-19!Wanachojaribu sasa kufanya ni kuficha uovu wao.Ilikuwa wapi siku zote,wamesubiri chanjo ovu ya C-19,ambayo kiukweli sio chanjo ni extermination tool ndio waiingize sokoni?Amka wewe acha uzuzu.

Na nashukuru unajua kwamba I am above that nonsense.Dawa ni kukataa chanjo ya C-19.Hii ni case ya "problem reaction solution " au "thesis, antithesis and synthesis." Hiyo dawa ya HIV itakuwa na madhara makubwa zaidi kuliko hata HIV yenyewe,amkeni jamani,woi!Hawa watu hawana jema kwetu wamekusudia kutumaliza!
Wachache tu watakuelewa. Huwa nashangaa sana watu wanavyopapatikia vitu vya weupe hali ya kuwa hao weupe kila kukicha wanaplan kutumaliza kwa style mbali mbali. Mzungu katengeneza virusi ili afanye business Africa ndio maana kujifanya umegundua dawa ya UKIMWI watafanya kila njia kuhakikisha unanyamazishwa kwa kila namna.

Amaka Africa.
 
Idara ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA), imeidhinisha dawa aina ya "Cabenuva" iliyoundwa dhidi ya virusi vya Ukosefu wa kinga ya mwili (VVU) kutumika mara moja kwa mwezi.

Maafisa wa Marekani walitangaza kwamba idara hiyo ya FDA imeidhinisha dawa inayoitwa "Cabenuva", ambayo inaingizwa mwilini kwa sindano mara moja kwa mwezi na ina athari ya muda mrefu zaidi kama kinga mbadala kuliko vidonge vya kila siku vinavyotumiwa na watu wenye VVU.

"Cabenuva" imeboreshwa kutokana na ujumuishaji wa "Rilpivirine" iliyozalishwa na kampuni ya Johnson & Johnson na "Cabotegravir" iliyozalishwa na ViiV Healthcare.

Ilielezwa kuwa FDA ilitoa idhini ya matumizi ya dawa hiyo mahsusi kwa kwa watu wazima wenye VVU na wagonjwa wasiokuwa na kinga ya kutosha ya kudhibiti virusi.

Cabenuva inatarajiwa kurahisisha ufuatiliaji wa maisha binafsi ya wagonjwa na kulinda faragha zao.

Mtaalamu wa VVU kutoka chuo kikuu cha California Dr. Steven Deeks, alisema dawa hiyo ya "Cabenuva" itaboresha hali ya maisha ya wagonjwa walioambukizwa VVU.
HATUTAKI DAWA YA MABEBERUUUU CCM OYEEEEEE
 
Wanaelekea kuiacha biashara ya ARV baada ya mpya ya korona kushika kasi.
Watakaotoa chanjo ya corona ni AstraZeneca, Pfizer, BionTech, Oxford, Pasteur Institute pale Ufaransa nao wako bize. Russia anayetoa ni Gamaleya research facility. Kuna India, China na wengine wanapambana.

Haya makampuni hayawezi kuangusha wala kutawala biashara ya madawa duniani. Ukiiondoa corona hayatafirisika wala ukiileta corona hayatafanya maajabu kwenye soko maana competition ni kubwa tu. Hakuna dawa wataacha sio ARV, insulin, cancer wala nini.
 
Ninachofikiri ni kuwa, Africa ndo bara lenye rasilimali asili nyingi zaidi na ardhi bikra. Kama tukisema kusiwe na muingiliano wa kimabara kwa namna yoyote ile, unadhani athari kubwa tutakazozipata sisi Africa ni zipi na watakazozipata wale ni zipi?

Depopulation, ni India na Africa tu, China hawaguswi. USA ana population kiasi gani? Nchi ipi Africa inaikaribia US kwa population?

Chanjo za Polio na zifananazo ni majanga, wao walitumia DDT kuangamiza mbu, Japan kadhalika, kisha wakasema zina madhara, wakatengeneza dawa za kutibu Malaria, sio kuondoa mbu
Hivi kweli mkuu leo hii itokee hicho unachokiwaza kuwa pasiwe na muingiliano wowote ule na mabara mengine?nakuhakikishia sisi wafrika ndani ya muda mfupi tu, tutaangamia !!hadi wao waanze kuyaona madhara sisi huku, tumekwishaaaa!!!kwa akili hizi za viongozi wetu wa kiafrika?!!kama unasema chanjo za polio ni majanga si tutengeneze zetu?!!kwani tumezuiwa?kwa wasomi wetu hawa?Africa hatuna wasomi bwana!!sisi bila wazungu maisha yetu yapo rehani!!
 
Mzigo mpya umeingia sokoni, wadau endeleeni kujikaanga.

Ila kaeni mukijua kua
Upungufu wa kinga mwilini hauambikizi.
 
Hii ni ishara tosha kua dawa ya HIV ipo baada ya hapo itakuja ya mara moja kwa mwaka. Ila dawa na chanjo bado hawajagundua
Mkuu wasikuumize kichwa ni biashara tu hiyo, na hapo wapo kwenye matangazo ya biashara yao.
Upungufu wa kinga mwilini hauambikizi
Upungufu wa kinga mwilini sio ugonjwa
Upungufu wa kinga mwilini ulikuwepo kabla Yesu hajaja duniani
Upungufu wa kinga mwilini ni fursa kwa wajanja kupiga mfuko.
 
Back
Top Bottom