Marekani yaionya Iran kuhusu kinachoendelea Israel, inabidi Iran iendelee kukaa kimya

Marekani yaionya Iran kuhusu kinachoendelea Israel, inabidi Iran iendelee kukaa kimya

Dah Gaza pamekua km syria yaan magofu tu wanachapwa kama watoto Alie wadanganya waivamie israeli kama yupo wamnyonge afe katia hasara kubwa sana.
Aisee nimeona vile HAMAS walifanya kwenye hilo tamasha aah aah wamechinjaaa watu balaa.

Acha wavune walichopanda.Na hiyo serikali ya Palestina inaonesha wanaunga mkono HAMAS
 
Iran mchovu sanaaaa technology Yao kwnza kama ya zambia tu hatokuja amuweze +1 Iran watabakia kupiga takbir
Netanyahu miaka anaitisha Iran yeye na Marekani kuna siku wolisogea, mmesahau kichapo alicho chezea US kutoka Iran kwenye ile camp yao pale Iraq 😂
 
Ndio maana nakuambia huna exposure ya dunia,sasa ivi dunia imebalance achana na hollywood na western media ,hizo ni propaganda machine,we unadhani kwa akili yako iran ikiingilia huo mgogoro US atafanya nini[emoji1787][emoji1787],geopolitics ni muhimu mno
soma alama za nyakati , ss hv usicheze na west watakuvagaa tu
 
Mr exposure
Kwann iran isiingilie mpka sasa??
Ndo maana nakuambia acha drama dunia haijawai na haitokuja kuwahi kubalance lazma kuwe na principal na subsidiary
Kwani ni razima Iran ijiingize kila mgogoro.
 
Mr exposure
Kwann iran isiingilie mpka sasa??
Ndo maana nakuambia acha drama dunia haijawai na haitokuja kuwahi kubalance lazma kuwe na principal na subsidiary
Na huyo unayemtaja kuwa kinara wa kila kitu kishamwaga kila aina ya silaha Ukraine, maeneo yaliyotekwa na Russia mpaka leo hayajakombolewa.

Kwanini yeye hapeleki askari wake wakasaidie kumswaga Russia?
 
Na huyo unayemtaja kuwa kinara wa kila kitu kishamwaga kila aina ya silaha Ukraine, maeneo yaliyotekwa na Russia mpaka leo hayajakombolewa.

Kwanini yeye hapeleki askari wake wakasaidie kumswaga Russia
 
kila hizo siku si wanakuwa wapalestina ndo wamelianzisha?
Wala hawajaanzisha,Kuna siku ghorofa la vyombo vya habari ikiwemo Al Jazeera liliporomoshwa,mnapewa dakika kumi kutoka kwenye ghorofa 20
 
Hamas wamezingua sana, Gaza inageuka magofu kwa upumbavu wa genge moja la wahuni walioamua kujitafuta bila kuhesabu gharama za madhara kwa jamii zao.
Hamasi ni mashujaa sana. Hayo majengo yatajengwa tena waarabu wana pesa ndefu sana.

Hamas wataendeleza mapambano mpaka kieleweke. Nyie pigeni mabomu bomoeni kila kitu. Lakini kama mtashindwa kuwauwa wapalstina wote kabisa na wapenda haki. Basi HAMAS wapya watazaliwa kila siku na wataendelea kukiwasha kama kawa bila kujali madhira yatakayowakuta lakini moto utawaka mpaka haki yao wameipata
 
Mr exposure
Kwann iran isiingilie mpka sasa??
Ndo maana nakuambia acha drama dunia haijawai na haitokuja kuwahi kubalance lazma kuwe na principal na subsidiary
Watu wanaingia kimya kimya kutoka nchi nyingi tu za kiislam. Kuna kila dalili Israel itapoteza askari wwngi sana kama wataingia ground
 
Aisee nimeona vile HAMAS walifanya kwenye hilo tamasha aah aah wamechinjaaa watu balaa.

Acha wavune walichopanda.Na hiyo serikali ya Palestina inaonesha wanaunga mkono HAMAS
Jamaa wanapigwa mpaka unawaonea huruma lakini ukifikiria tena wao ndo wameanzisha ugomvi unaona acha wachapwe ili wasije rudia teba ujinga.
 
Dah Gaza pamekua km syria yaan magofu tu wanachapwa kama watoto Alie wadanganya waivamie israeli kama yupo wamnyonge afe katia hasara kubwa sana.
Sisi hamas tuliyategemea hayo, na moto tutaendele kuuwasha mpaka tumepata haki yetu. Kama hamtaweza kuwauwa wapaleatina wote, basi mjue hii vita hamta shinda. Bomoeni kila kitu kilicho mbele yenu lakini mjue bila kupata haki yetu basi msahau kuwa na amani
 
Sijui walicalculate vipi attack yao. Sasa hali imekua mbaya , mateka waliochukua imekua hawana msaada.

Nimeona israel wanasema bila kuachiwa watu wao mvua itaendelea kushuka, na hawataruhusu energy, water, fuel, food au humanitarian aid yoyote.

Imagine gaza itakua na hali gani , bila maji, chakula, umeme, maji wala misaada ya kibinadamu na huduma muhimu kama za afya

Ifike kipindi Hamas wakubali hili lipite kwa manufaa ya raia wake
 
Back
Top Bottom