Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla sijacomment mleta mada fafanua hilo shairi hapoakriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa. Takriban watu milioni tatu wamekimbia makazi yao kutokana na vita hivyo, kulingana na Umoja wa Mataifa
In MUGABE voice I tell NATO “ Go to hell”Wamarekani wamechanganyikiwa, wakati wanavamia libya, irak na kwingineko hawakuuliza afrika wako upande gani. Ugomvi wa urusi na ukraine hauwahusu waafrika
AU ililaani kuvamiwa kwa libya hapo utakua ushaelewa africa ilikua upande upi
Samia kawajibu kwamba wao wanatakiwa kukaa mezani kupatana sio kushikiana mapanga.Nafikiri tuwape jibu kama like The late Mwalimu aliwa jibu iliyokuwa ujeruman magharibi
Ajabu 😀Corona imesahaulika sasahv
🤣🤣🤣🤣Wamefanya mazungumzo nayo kuwa isisambae mpaka huu mzozo uishe.
Kabisa!Hakuna kitu kama Corona, ile ni business tu
🤣🤣🤣🤣Waafrica tumeamua kuwa masnitch
🤣🤣🤣🤣Walituambia kuna Covid 19. Kwahiyo sisi tume keep social distance kwa sasa.
Uhuni wao waendelee nao wenyewe
TupumueWatuache kidogo