Marekani yajitosa kesi ya Freeman Mbowe


Kwamba?

"Naye Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Balozi, Liberata Mulamula alisema Rais Samia alipanga kukutana na wapinzani lakini ratiba zikaingiliana."

Ratiba zikaingiliana? Vipaumbele vya ustawi wetu vinaeleweka?


Baada ya siku 100 SSH kathibitisha wanahitaji kuzodolewa kama mwendazake tu.
 
Ninaomba msaada jinsi ya kujiunga na space ya Maria Sarungi
 
Mwambie kama kweli ni iron lady akuze uchumi aache siasa za kishamba hazisaidii nchi.Kama una akili timamu hiyo ni kesi ya kubumba so usishabikie ujinga .
 
Ujinga mtupu.
 
Usalama gani wa kubambikia watu kesi,kwa hiyo unashabikia watu kuonewa .Mimi nataka Kila raia wa Tanzania bila kujali chama chake awe na haki ,haya mambo ya kuoneana hayakubaliki kwa watu wanaojielewa .
 
Mbona Mandela na Nyerere ndio walikua wanaomba duniani kuwapiga vikwazo Afrika Kusini na S.Rhodesia? Ni kitu cha kawaida kuomba intervention ya Nchi washirika hata Burundi wakivurugana au Rwanda tunaona kina Mkapa wanaenda kusuluhisha unless haujui maana ya diplomasia
 
Chadema wanastahili kubinywa mbupu zao mpaka zitoe damu....wameona mbabe kaondoka wameanza kuleta vurugu,wakati wa magu walitulia kama hawapo aliposema hakuna siasa walielewa....sasa kaja huyu mama wanaona wamepata mteremko chadema heshimuni sheria kuweni wastaarabu,movement wakati wa jiwe mlisitisha sasa acha mbowe apate joto la jiwe huko aliko huku lissu anakula bata ulaya.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Hawa nao wanafuatilia chanjo zao Tu maana aliwapromote Akisema watu wachanjwe kwalazima

Marekani wapuuzi Tu Kwa nini wasiwafuatilie wakorea au wachina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Movement za katiba mpya...wakati hamjawahi kukaa sehemu mkafundisha wananchi katiba waielewe wajue mapungufu yaliyopo mnakimbilia kumezesha watu sumu waandamane kudai kitu ambacho hawakielewi haingii kichwani kwa sisi std 7,iweje kwa wasomi wanaokaza mishipa ya fuvu.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe alimtukana Nani na wapi mbowe alifanya siasa za matusi
 
We mjinga kwa hiyo mnaona fahari kuonea wapinzani wenu kisa ni sovereign country acheni ushama nyie lumumba Ila ipo siku mtatamani kukaa na hao mnao waita magaidi lakini mtakuwa mmesha chelewa tendeni haki mtabalikiwa
 
Kuna mtu anakwenda kustaafishwa kwa manufaa ya umma AKAVUTE KOKORO...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…