Marekani yajitosa kesi ya Freeman Mbowe

Familia ya Mbowe, Mnyika, Mrema, Kibatala wote wanao uhakika wa kula vizuri na kusoma lkn wewe ambaye maisha yako ni ya kubangaiza unaishia gerezani unaacha familia yako inateseka. jiongeze, achana na upuuzi tafuta maisha yako uwe na uhakika.
 
utumbo huu umejisifu umeandikaa2 kweli1 vichwa vya panzi ni kijani hata damu ni kijani
 
Makamu wetu wa rais atakapo kwenda marekani akawashauri na pia kuwapa maelekezo kina Joe biden ya namna bora ya kuwaongoza wamarekani!
Dr. JPM (may your precious soul rest in eternal peace and power, amen 🙏) how we miss you!
Huyo unaye mmisi ndiyo maana amededi kwa kukosa maarifa ya namna ya kuishi.

Sasa hivi keshakutana na Gaddafi & Sadam huko jehanum wanakipata cha moto - huku wakimsimulia shujaa wako cha moto walichopata kutoka kwa Wamarekani na ambacho Samia atakipata kutoka kwa Wamarekani hao hao kama hatabadilika!
 
Kwa ujumla Hali ya kisiasa Tanzania,Haina tofauti na Afghanistan. UN waingie TU kunusuru wanasiasa. CDM wamekuwa kama dikidiki kwenye nchi Yao.

waingilie kwan nchi yao? tulia dogo ndo kwanza hata hajaaanza kupigwa shoti
 
"She is already 4 months in the office and looks tired and weared"

Ndio maana naamini huyu mama come 2025 lazima aiachie hii nchi, nahisi anaomba Mungu muda wake uishe haraka, yanayomtokea eg. Mbowe na ugaidi yanamchosha sana akili.
 
Hicho ni kipimo kwa Miss Utalii, je atauza Uhuru wa Mahakama kwa kauli ya huyo Mmarekani ambaye huko kwao uhuru wa kuishi kwa mtu mweusi haupo bali muda wowote wanatandikwa risasi
 
Hicho ni kipimo kwa Miss Utalii, je atauza Uhuru wa Mahakama kwa kauli ya huyo Mmarekani ambaye huko kwao uhuru wa kuishi kwa mtu mweusi haupo bali muda wowote wanatandikwa risasi
Nani kwakwambia mahakama za Tanzania zipo huru chini ya katiba mbovu kama hii?
 
CCM wahuni...hii hata mtoto mdogo anajua hii si kesi bali ni kujaribu kuua hoja ya katiba mpya - ambayo haitakaa ife
 
Kwamba ukidai katiba mpya umewatukana ccm kweli kwahiyo mtu sahihi kwenu niyule ambaye anatamani ccm iendelee kutawala milele na milele
 
Kwani hii nchi niya baba yako?
 
Hizo zote ni kelele tu muda ndio mwamuzi pale mtakapo takiwa mthibitishe hekaheka zitaanzia hapo mkojo mavi yataazia hapo kuwabana na ushahidi wa kutunga ndio kabisaa nyumba inaenda kuanguka subiri uone.
 
Hakuna liishilo milele,mipango ya mwanadamu siku zote hufeli pale anapojipangia ya mbeleni bila kujua atafika huko au la?jamaa yenu kwa kukataa katiba mpya,minya tesa wapinzani,haribu uchaguzi serikali za mitaa,piga ua wapinzani,fukuza mawakala wa vyama pinzani uchaguzi mkuu 2020,akidhani akiwa na bunge la ccm watupu litampitisha atawale milele wapiiiiiiii sote tunajua yaliyomfika.Huyu nae anaeupiga mwingi anapita mle mle kwa kushupaza shingo yetu macho.
 
Hiyo ya jehanamu unaijua ww! Mimi na wengine wengi tumemuombea shujaa wetu mpendwa Mh Dr JPM roho yake ipumzike kwenye amani ya milele, ingawa yeye mwenyewe kwa uchapakazi wake sidhani kama atapumzika, alishaombaga maombi ya kuwaongoza maraika wema, yy ni muumini wa hapa kazi tu🤔!
Wamarekani naona unawahusudu sana i see! Kwangu mimi hawaninyimi usingizi😜!
 
Naona mabalozi wa nchi za Magharibi wamempuuza sana yule mama wa foreign affairs (Mulamula) kwa mkwara wake wa kishamba alioutoa tarehe 20 August (kushoto hapo chini kwenye screenshot).
Jana tarehe 30 August, mabalozi hao walitinga timu mahakamani kama kawa kama dawa (kulia hapo chini kwene screenshot).

Samia kitamnukia siku si nyingi asiporekebisha hii hali. Anaweza kuwa the female Mugabe na Tanzania ikawa the new Zimbabwe soon.
Watanzania tusikubali hata kidogo tufikishwe huko na hawa wakoloni weusi (serekali dhalimu ya CCM) wasiojali mustakabali wa taifa letu.

 
Jinsi Samia anavyozidi kujiweka mbali na upinzani hususan Chadema, ndio hali yake na serikali yake inazidi kuwa mbaya kwa jumuia ya kimataifa.
Na sukuma gang wanapitia hapo hapo kujifanya chadema.
 
Hapa Machadema yanakenua meno ila akisema Zitto yamuita mnafiki
 
Hapa Machadema yanakenua meno ila akisema Zitto yamuita mnafiki
Nani kamtuma huyo boya mwenzio mapambano yanaendelea mpaka kieleweke siasa za hoja ccm ilishachemka tunajua na sisi tutapambana na mahakama na polisi wanaotumika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…