Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Wakimfukuza Trump atajibu Mara 2 zaidi,wawaulize Canada,Jamaa anasema ushuru utafika mpaka asilimia 200South Africa na wao wamfukuze balozi wa US nchini mwao. Wasikubali unyonge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimfukuza Trump atajibu Mara 2 zaidi,wawaulize Canada,Jamaa anasema ushuru utafika mpaka asilimia 200South Africa na wao wamfukuze balozi wa US nchini mwao. Wasikubali unyonge.
Inaelekea kwaudhi wabaguzi kina Musk na Trump by calling a spade a spadenichukue nafasi kumpongeza balozi wa Afrika ya kusini kwa kufukuzwa ni haki yake
Jaribu kumfahamu Elon Musk na madhira yake ya utotoni kupitia yaya wake
View: https://www.youtube.com/watch?v=3LDe0ZA71Is
Sio sababu.Wakimfukuza Trump atajibu Mara 2 zaidi,wawaulize Canada,Jamaa anasema ushuru utafika mpaka asilimia 200
Sijaelewa mkuu
Christians? Bado unaamini kila mwenye ngozi nyeupe ni mkristo. Hata akiwa mkristo, dini yake ina uhusiano gani na kinachoendelea? Tusilazimishe migogoro ya udini pasipohusika.
Hata hapa bongo mkijifanya kuwabagua wachina, waarabu na wahindi wakasepa wote mtakoma na mlivyo wajinga mtaliona jotoBalozi wa afrika kusini anafukuzwa kutoka nchini USA kwa sababu serikali yake ya kikomunisti inabagua na kutenga Christians waliojenga South Afrika kwa gharama kubwa ya jasho na damu na kuleta civilization, ni mwafrika gani asiyependa kuishi Cape Town?
pia raisi D.Trump ametoa uraia straight kwa Christians wote watakao nyang’anywa mali zao na communists wa ak, wazungu wanasepa hivyo USA wamepewa red carpet na citizenship juu, hawa watu wa know how iliyojenga AK kama tuijuavyo leo hii lkn communists dont get it …
zito kabwe kavaa kikomunisti …
View attachment 3271155
Hawa ni wazungu. Makaburu wa wakati ule. Yupo ndugu yao Elon Musk kule ndiyo anaongoza ile nchi; kwa hiyo hili halishangazi.balozi wa afrika kusini anayewakilisha nchi yake ya ak nchini Marekani anafukuzwa nchini humo arudi kwao ak kutokana na serikali yake ya ak kunyanyasa Wakristu na kuwanyang’anya mali zao na mashamba, pia raisi wa Marekani Donald Trump amerahisisha upatikanaji wa uraia wa Marekani kwa Wakristo wote watakaonyanyaswa na kuporwa mali zao wa communists huko afrika kusini …
Asiyumbishwe kwa lipi? Ukiwa masikini unakuwa huna msimamo wala maamuzi magumuSoon na balozi wa marekani naye atafukuzwa South Africa,hao jamaa ndio ninapowapendea,hawapendi kuyumbishwa...
Hawa ni wazungu. Makaburu wa wakati ule. Yupo ndugu yao Elon Musk kule ndiyo anaongoza ile nchi; kwa hiyo hili halishangazi.
View attachment 3271176