IndeedInteresting! Women are truly complex creatures.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IndeedInteresting! Women are truly complex creatures.
Yes. Kwa marekani mtu ukishapewa uraia na kuishi Marekani Kwa miaka 14 mfululizo unaruhusiwa kugombea urais.ambae ana qualify kuwa raisi?
Katiba ya Marekani, hasa Kifungu cha II, Sehemu ya 1, inasema kwamba mtu anayestahili kuwa Rais lazima awe raia wa kuzaliwa (natural-born citizen). Hii inamaanisha kwamba lazima uwe umezaliwa ndani ya Marekani au katika eneo lake la mamlaka, au uwe mtoto wa raia wa Marekani aliyezaliwa nje lakini bado anahesabika kama raia wa kuzaliwa.Yes. Kwa marekani mtu ukishapewa uraia na kuishi Marekani Kwa miaka 14 mfululizo unaruhusiwa kugombea urais.
Asante sanabalozi wa afrika kusini anayewakilisha nchi yake ya ak nchini Marekani anafukuzwa nchini humo arudi kwao ak kutokana na serikali yake ya ak kunyanyasa Wakristu na kuwanyang’anya mali zao na mashamba, pia raisi wa Marekani Donald Trump amerahisisha upatikanaji wa uraia wa Marekani kwa Wakristo wote watakaonyanyaswa na kuporwa mali zao wa communists huko afrika kusini …
Hapa ndo na mi nimepata shidaChristians? Bado unaamini kila mwenye ngozi nyeupe ni mkristo. Hata akiwa mkristo, dini yake ina uhusiano gani na kinachoendelea? Tusilazimishe migogoro ya udini pasipohusika.
Sikulizingatia swali lako. Ndiyo maana Kuna Ile movement ya "birtherism" ya kina Trump.Katiba ya Marekani, hasa Kifungu cha II, Sehemu ya 1, inasema kwamba mtu anayestahili kuwa Rais lazima awe raia wa kuzaliwa (natural-born citizen). Hii inamaanisha kwamba lazima uwe umezaliwa ndani ya Marekani au katika eneo lake la mamlaka, au uwe mtoto wa raia wa Marekani aliyezaliwa nje lakini bado anahesabika kama raia wa kuzaliwa.
Hata hivyo, unaweza kushikilia nafasi zingine za juu serikalini kama Seneta, Mbunge, au hata Waziri wa Mambo ya Nje, mradi uwe umepewa uraia wa Marekani na unakidhi masharti mengine ya uongozi.
The last time I checked Elon Musk kazaliwa Pretoria, South Africa.
Ile movement haina msingi wowote sababu Obama alizaliwa Honolulu, Hawaii Marekani.Sikulizingatia swali lako. Ndiyo maana Kuna Ile movement ya "birtherism" ya kina Trump.
Ndiyo.Ile movement haina msingi wowote sababu Obama alizaliwa Honolulu, Hawaii Marekani.
Stephen Masota Wasira graduated in 1985, with an BA in Economics and International Studies,1986, Masters in Public Administration and 1993, MA in Applied Economics, American University, Washington DC. Since 2005, Member of Parliament and Minister for Agriculture Food Security and Cooperatives.
A VETERAN CCM's newly elected vice chairperson, Stephen Wasira (80), has a storied history in Tanzanian politics.Born in 1945, Wasira entered the political arena in the late 1950s, serving in various capacities under the Tanganyika African National Union (TANU).
He later served under Tanzania's first president, Julius Nyerere, and the five presidents who followed him.In 1970, at the age of 25, he was elected as Member of Parliament, becoming the youngest legislator in Tanzania's history.
The following are some of the roles Wasira has held under Tanzania's 6 governments since independence:
Under Julius NyerereWasira served as Deputy Minister of Agriculture, Regional Commissioner, Member of Parliament
Under Ali Hassan MwinyiDeputy Minister for Local Government and later as the Minister of Agriculture and Livestock Development, Regional Commissioner (Coastal Region).
Under Benjamin MkapaMember of Parliament for opposition (lost his seat in court) Under Jakaya KikweteMinister of Water on January 4, 2006, legislator Minister for Agriculture, Food Security, and Cooperatives on October 15, 2006. Minister in the Prime Minister's Office for Regional Administration and Local Government on February 12, 2008 Minister of State in the President's Office for Social Relations and Coordination on November 24, 2010.
Under John MagufuliMember of CCM's Central Committee Under Samia Suluhu HassanCCM Vice Chairperson
Source : The Citizen Tanzania
wengi tuliona , kama watu walivyoshabikia Uvamiz wa Urusi ndan ya Ukraine , tuliwaasa tuungane kukemea ila weng wakasema Urusi ana haki ya kuvamiaTrump hakupaswa chaguliwa, ni vile hatuoneshwi kilicho mbele yetu
ccmu wamekuwa kama wanawake wa buza , busara zerooNi nchini Tanzania utakuta kiongozi mkubwa kama Wasira wanafurahia kudhalilishwa kidiplomasia
Songwe, Tanzania
View attachment 3271363
Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar mheshimiwa Othman Masoud Othman ni mwenyekiti Tundu Lissu, kiongozi mkuu Dorothy Semu, balozi HE Lieutenant General Matthew Edward Mkingule, Zitto Kabwe ... wote kutoka Tanzania pamoja na makamu wa rais wa kwanza wa SMZ mheshimiwa Othman walitimuliwa..
Ni kweliwengi tuliona , kama watu walivyoshabikia Uvamiz wa Urusi ndan ya Ukraine , tuliwaasa tuungane kukemea ila weng wakasema Urusi ana haki ya kuvamia
Leo
China anajipanga kuvamia Taiwan , Philipine , Kashmir na Australi
USA anaitaka Panama , Greenland na Somalia washaingiza tena jeshi
Rwanda anavamia DRC kwa mwavuli wa M23
Uganda anavamia DRC kwa mwavuli wa kupigana na magaidi ya ADF
Azerbaijana ameivamia Armenia kudai ardhi yake
Hamas walivamia Israel kudai ardhi na uhuru wao ( kama wanavyodai )
IDF wanashambulia na kuvamia ndani ya Gaza na west bank
N.Korea anajianda kushambulia ndan ya S.korea
Argentina anaanzisha vugu vugu za kudai visiwa vyake
kiufupi Urusi kafungua ukurasa mpya kwenye huu ulimwengu , zama za kuheshimu mipaka zinaenda kuisha muda si mrefu , kila mmoja ataanza mtamani mwenzie
HAYA NI MALIPO YA KUSHABIKIA MVT ALIYOANZISHA URUSI
Wanaongea nini ikiwa Trump kwa sasa ameiwekea vikwazo na hakuna hata kimoja kilichosalia kwa sababu ya tangazo lao la kutaka kuwapora ardhi wazungu. Na hapo ni kama na uwakilishi na ushirikiano umekufa sidhani kama wana nguvu ya kushawishi kupeleka balozi mwingine.Huyo anatumia uswahiba wake na Trump kuiadhibu nchi yake ya kwanza!
Kwa sasa Ramaphosa anongea na Trump kisha Musk na siyo Rubio.
Hapana never.....hajazaliwa...ambae ana qualify kuwa raisi?
Sasa umesema inawanyang.nya na kuwapa Dini gani ndio wakomunisti kwanini usitumie Serikali inawanyang,anya Wazungu badala ya kusema Wakristo!!!!!Balozi wa afrika kusini anafukuzwa kutoka nchini USA kwa sababu serikali yake ya kikomunisti inabagua na kutenga Christians waliojenga South Afrika kwa gharama kubwa ya jasho na damu na kuleta civilization, ni mwafrika gani asiyependa kuishi Cape Town?
pia raisi D.Trump ametoa uraia straight kwa Christians wote watakao nyang’anywa mali zao na communists wa ak, wazungu wanasepa hivyo USA wamepewa red carpet na citizenship juu, hawa watu wa know how iliyojenga AK kama tuijuavyo leo hii lkn communists dont get it …