Marekani yamkamata alievujisha taarifa za siri za kijasusi

Ni kweli alizitoa pale (kwenye group).

Tatizo lipo masuala haya yakiwafikia mazee kama wa GRU wale wa mitandaoni.

Ndo maana zilisambazwa kwa kasi kwa miezi miwili na hakuna jasusi yoyote mahiri wa Marekani alegundua hilo hadi juzi.
 
Kavujisha docs 300 ila assange alivujisha 700000
Assange alikuwa aliuziwa au kupewa na alieiba hizo nyaraka na si kwamba ni yeye alikuwa akidukua mitambo na kuingia front.

Huyu dogo ni kama Snowden kwamba wana access na Documents na wameamua kuchukua kiasi na haijulikani ni kiasi gani cha docs anazo.

Hiyo ya 300 unosema ni ndogo sana zipo taarifa zaidi ambazo zingine hazijawekwa hadharani.
 
Wanatuchora tu hao,i don't trust them
 
Nyaraka muhimu zilikuwa mikononi mwa kijana mdogo kabisa......zaidi ya uzembe huo.
 
Huku kuvuja inaweza ikawa mbambamba tu.
Yaweza kuwa vyovyote vile lakini lazima iwe established dogo amewezaje kupata hizi documents.

Kumbuka katumia muda kupiga picha za docs na si kwamba amechukua docs halisi.

Sasa ni mara ngapi alikuwa afanya hivyo na nani alikuwa nae na mambo mengine.
 
Nyaraka muhimu zilikuwa mikononi mwa kijana mdogo kabisa......zaidi ya uzembe huo.
Kuna kitendawili hapo.

Kwa ninavyofahamu zipo levels za access kwenye sensitive areas khasa hiyo kazi yake ambayo yaonyesha alikuwa akifanya "reconnaissance missions" au alikuwa akiziweka sawa docs kutoka huko.

Hivyo lazima supervisor au top bos alie kwenye zamu awe makini na nani na level ipi ya access mtu fulani aruhusiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…