Kijana wa kitanzania wa imri huo 21 anawaza papuchi tu, atakuuliza kuna pisi kali uko........
Tutajia waziri yoyote under 25yrs hapa Tz au katibu wa wizara wa umri huo au mkrugenzi wa tasisi yote ya serikali ambao iko umri huo.......watanzani tunachelwa ku-mature inachjkua miaka kati ya 30 hadi 40 kijana watanzani kua serious na maisha.Hizi no fikra zako, lakini hata hapa nchini wqpo vijana qenye umri huo na wapo ktk nafasi nyeti. Kama haujui haujui tu.
Akikujibu, nitag pls...Tutajia waziri yoyote under 25yrs hapa Tz au katibu wa wizara wa umri huo au mkrugenzi wa tasisi yote ya serikali ambao iko umri huo.......watanzani tunachelwa ku-mature inachjkua miaka kati ya 30 hadi 40 kijana watanzani kua serious na maisha.
Wamemsweka lupangoKuna lile jasusi mwandish wa habari wa gazeti la wall Street journal walie mdaka kule urusi hv juz.japo mwamba anakataa lkn kwa kumwangalia tu mwana ana jicho la Tai kabisa Wala sio la kiuandishi wa habari.
Sijui wamemalizana nae vp
UongoooHizi no fikra zako, lakini hata hapa nchini wqpo vijana qenye umri huo na wapo ktk nafasi nyeti. Kama haujui haujui tu.
Mfumo wa elimu yetu pia nikikwazo kwa kuchelewa kupata maturity za kufanya kazi muhimu.Uongooo
Uongooo
Umri huo wengi wako chuo kwa Tz
Hata Kamlete wa TISS unakuta bado yuko JW au JKT
Miaka 21 .. mfumo wetu unakuchomoa moja kwa moja kwenye sehemu nyingi nyeti.. kama anasoma kwenye mfumo ndio kwanza anamalizia chuo au yupo chuo na kama kaonekana wa maana anakuwa chini ya uangalizi macho ya eagle yanamtazamaHizi no fikra zako, lakini hata hapa nchini wqpo vijana qenye umri huo na wapo ktk nafasi nyeti. Kama haujui haujui tu.
Jamaa anataka kutuokota asubuhi yote hii 🤣🤣Uongooo
Uongooo
Umri huo wengi wako chuo kwa Tz
Hata Kamlete wa TISS unakuta bado yuko JW au JKT
Huku kwetu vijana wasomi wamepanga kuandamana kumpongeza Rais kwa kutangazwa ajira za walimu kama kwamba ajira ni hisani ya Rais kwao na siyo haki yao.Duuh huko Marekani kijana wa miaka 21 tayari anauwezo wa Kuvujisha siri za nchi tena zinazogusa Dunia....lakini huku kwetu kijana wa miaka 21..... Duuuh.......
Akili za magraduate wa Tanzania hazina tofauti sana na wasio graduate hata kiingereza wote hawajui wanatwaga kiswahili na kuenda mbele, graduate unapongeza raisi kwa kutoa ajira za umma hata hujui haki zako kama raia.Huku kwetu vijana wasomi wamepanga kuandamana kumpongeza Rais kwa kutangazwa ajira za walimu kama kwamba ajira ni hisani ya Rais kwao na siyo haki yao.
Huku angeishia kuwa “afisa mbashiri” alafu hiyo kazi yake ingefanywa na Wassira.Duuh huko Marekani kijana wa miaka 21 tayari anauwezo wa Kuvujisha siri za nchi tena zinazogusa Dunia....lakini huku kwetu kijana wa miaka 21..... Duuuh.......
Huku kwetu 21 ni mpiga nyeto mashuhuri, tuko tofauti na uelekeo wa dunia kabisa....dunia inaenda kulia sisi tunaenda kushotoDuuh huko Marekani kijana wa miaka 21 tayari anauwezo wa Kuvujisha siri za nchi tena zinazogusa Dunia....lakini huku kwetu kijana wa miaka 21..... Duuuh.......
Mfumo wetu ni wa kukaririMfumo wa elimu yetu pia nikikwazo kwa kuchelewa kupata maturity za kufanya kazi muhimu.
Wanatafuta pakutokea ili wasipate aibuNa nyinyi mna amini maigizo haya ya vyombo vya usalama vya Merikani - hakuna cha uvujaji wa siri zo zozote hizo ni mbinu za kutafuta sababu za kusitisha msaada wa vita kwa Zelensky wamekwisha ona jeshi la Ukraine likisaidiwa na vikozi kutoka Merikani na Uingereza hawawezi kushinda vita hii ndio maana wakabuni mbinu za kutokea kwa kuwasingizia vijana wadogo wanao cheza games za computer - vijana hao wana uwezo gani wa kun hack top Govt military secretes - how?
Tutaibomoa na itabaki vipande vipandeNafahamu na wakati huo wewe ni machinga wa huko namtumbo ndani ndani [emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu huyo dogo eti kaajiriwa 2019,awe ana access na Classified docs kirahisi hivyo bado napata maswaliHii ni mind game tu, kwa atakaye ingi kichwa kichwa ndo inakula kwake.
USA ni bingwa sana wa kitu kinaitwa "HIGH BUDGETED PROPAGANDA".....Nina uhakika hizo ni mbinu za kijasusi tu RUSSIA asije akanasa hapo lazima kuna ishu wameitarget.
Hizo classified documents haziwezi kusambaa kiwepesi namna hiyo "NEVER"
Kiongozi wa CIA tu aliwahi kumjibu kiongozi wa FBI wakati anataka wawe wanashare info bungeni, alimwambia kuna taarifa ambazo hata raisi tu wa nchi hawezi kuzijua wala hao FBI halafu eti hizo taarifa za Pentagon zisambae kiwepesi hivyo.
Big NO.
Hao jamaa wapo smart kuliko hata tunavyo fikria ila usipokuwa makini na hizi PROPAGANDA hususani za Media, USA wanakupiga za uso mapema sana, hao jamaa ndo michezo yao.
Kuna mkubwa mwenzao wamemtarget hapo, ashoboke na hizo info aingie kwenye 18.
Manaake kajiriwa akiwa na umri wa miaka 17 itawezekana kweli au hi nikamba.Halafu huyo dogo eti kaajiriwa 2019,awe ana access na Classified docs kirahisi hivyo bado napata maswali