Marekani yamtishia China: Eti Marekani itaipigania Taiwan kama China ikitaka kuichukua kwa nguvu

Marekani yamtishia China: Eti Marekani itaipigania Taiwan kama China ikitaka kuichukua kwa nguvu

Hahahaha...huu ujinga sijui ni shule gani inafundisha ila matokeo ya BRN ni hatari kwa kizazi kijacho. Wenzako hao Marekani wanawaza siku Russia akitumia EMP ni kitatokea ila unakuja na ngonjera.

Siku tutakapokuja kuwalazimisha Warusi watoe yote yaliyomo pale KAPUSTIN YAR basi ni siku ambayo kila mtu atabaki mdomo wazi.

Marekani hana ubavu wa kwenda vitani na nchi iliyopo nje ya Uarabuni au Afrika kwa sasa, kwa Sababu waarabu wamefarakana hivyo Marekani anatumia mafarakano hayo Kama silaha huku Afrika ni kwa Sababu hatuna teknolojia ya juu ya kijeshi.
Kweli, pmj na chokochoko zote za Korea kaskazin,
Kwa umoja na uzalendo walio nao,
Marekani hakohoi hata kdg
 
US, kunakitu hakieleweki juu ya uwezowake wa kivita ukilinganisha na Russia, ama China.

Kwanza hawajawahi kuwa na magwaride ya kuonyesha silahazao kama China na Russia,kwahiyo taratibu watu wanashindwa kuamini kamakweli anazo silaha za kutisha kama wenzake.

US amekuwa mtu wa mikwara mbuzi pale anapo onyeshwa ubabe wa wazi na Russia.
Matukio mawili yanaonyesha US wana waogopa sana Russia.
1, Russia wameweza kumlinda asadi kutoka kwa vibaraka wa US kule Syria.

Kumbuka kuna umbali wakutosha kutoka Mosco mbaka Syria lakini Urusi wameweza kusafiri umbali huo bila vikwazo nakwenda kuzuia mipango ya US nchini Syria.

2, Urusi pia wameweza kumzuiya US asiwasumbue Venezuela.
Kutoka Venezuela kwenda USA ni karibu sana, lakini Russia wameweza kutoka Mosco, maelf ya kilometa nawamekatiza sebuleni kwa US kwenye bahari ya Pacific nakwenda kuzuiya mipango ya US nchini Venezuela.
Na sasa tunaona kinacho endelea Ukraine, US na washirika wake wana piga mdomotu,wakati Urusi anapiga kazi na haonyeshi kujali chochote kutoka US wala EU.

Mimi sio mshabiki wa vita napenda amani,na siungi mkono uvamizi wa Russia nchini Ukrain.
 
Hahahaha...huu ujinga sijui ni shule gani inafundisha ila matokeo ya BRN ni hatari kwa kizazi kijacho. Wenzako hao Marekani wanawaza siku Russia akitumia EMP ni kitatokea ila unakuja na ngonjera.

Siku tutakapokuja kuwalazimisha Warusi watoe yote yaliyomo pale KAPUSTIN YAR basi ni siku ambayo kila mtu atabaki mdomo wazi.

Marekani hana ubavu wa kwenda vitani na nchi iliyopo nje ya Uarabuni au Afrika kwa sasa, kwa Sababu waarabu wamefarakana hivyo Marekani anatumia mafarakano hayo Kama silaha huku Afrika ni kwa Sababu hatuna teknolojia ya juu ya kijeshi.
Cheki hii tikiti maji
 
Unaishi dunia ipi!! Juzi juzi tu marekani imeshindwa vita na Wataleban na kuikimbia Afghanistan hadi wakatelekeza silaha zao lukuki zikiwemo ndege na vifaru!! Wamepigana vita na Taliban kwa miaka 20 na wakashindwa vita na kukimbia!! Sasa hivi Taliban ndio wanatawala Afghanistan!!

Marekani walishindwa vita na kukimbia somalia miaka ya hivi karibuni. Askari wa marekani walikuwa wanakamatwa na kufungiwa bamba kwenye magari kisha kuburuzwa mitaani hadi wanakufa!! Marekani walikimbia!!

Miaka ya karibuni Marekani walishindwa vita nchini Syria! Walikuwa wanapigana sambamba na waasi wa serikali ya rais Asaad wa Syria. Lengo lilikuwa ni kumwondoa madarakani rais Asaad!! Walishindwa vita baada ya Mrusi kuingilia kati nchini Syria na kuwasambaratisha wapinzani.

Juzi juzi pia Marekani ilishindwa nchin Venezuela katika harakati za kumpindua Rais Maduro wa Venezuela!!
Eti Vita na Venezuela,, kwa hiyo America alikuwa kwenye real war na Venezuela akashindwa[emoji2]
 
Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!
Hao Wachina hawatathubutu kufanya kosa la kuivamia Taiwan, maana watalipia gharama kubwa.
T14 Armata Nyamizi
 
Ninachofahamu "hatishiwi nyau". Marekani kudai kuwa kama China ikiamua kuichukua Taiwan kwa nguvu, iko tayari kuipigania taiwan kijeshi ni uongo na ndoto za mchana!! Marekani haina kabisa ubavu wa kujiingiza vitani na taifa lolote lenye nguvu ya nyuklia kama China!! Kwa asili Marekani ni waoga!! Wako tayari kupiga (mahali ambapo wana uhakika watapiga), lakini hawako tayari kupigana!! Marekani haiwezi kuipiga China bali watapigana na mshindi ni dakika tisini si kabla ya hapo.

Taiwan asipokuwa makini atavimbishwa kichwa na kuingizwa mkenge na mwisho wa siku watafanywa soko la kuuzia silaha za marekani kama ilivyo UKraine leo baada ya kuingizwa mkenge na Marekani. Ukraine iliahidiwa kuingizwa NATO fasta kwa hiyo URUSI HAITOTHUBUTU kuishambulia!! Matokeo yake kweli ukraine akaingiwa na kiburi kwa ahadi ya uongo na leo hii Ukraine inaachwa mahame!!

Lengo la marekani ni kuanzisha ugomvi ili iuze silaha!! Leo hii Ukraine wanakopeshwa dola bilioni 49, waje wazilipe na riba juu!! Halafu Marekani "inachekea tumboni" (ili isikukwaze) kwa kupata soko la silaha zake! Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!

=======

US ready to use force to defend Taiwan​

President Joe Biden said Washington could be directly involved in conflict should China try to take the island by force

US President Joe Biden indicated on Monday that Washington is willing to use military force to defend Taiwan if necessary. Speaking at a joint press conference with Japanese Prime Minister Fumio Kishida in Tokyo, he said the US sees the idea of China “going in” with its troops as unacceptable.

When asked if the US would become directly involved in a conflict between China and Taiwan, including through the use of military force, Biden said “Yes,” adding that “it’s a commitment we made.” The US leader has previously said Washington respects the ‘One China’ policy, by which it recognizes that there is only one China led by Beijing.

Biden, however, maintained that China has no “jurisdiction to go in and use force to take over Taiwan.” The idea that the island nation “can be taken by force is just not appropriate. It will dislocate the whole region,” the US president added.

Marekani pia wanaishawishi MOLDOVA ikubali kupoke silaha za marekani ili eti kuilinda na tishio la urusi!! Watu wajiulize mbona nchi za magharibi zimepeleka silaha nyingi sana Ukraine toka 2014 hadi sasa lakini Ukraine imeshindwa kuzuia uvamizi wa Urusi wa kujitakia yenyewe.Tunapozungumza sasa, jimbo lote la Kherson linakaliwa na urusi, na asilimia 95% ya jimbo la DONBAS lisahakaliwa!! Msaada wa silaha zinazoangamizwa kila siku hauwasaidii kitu laki watalazimika kulipa maana si msaada wa bure bali ni mkopo!!

Chonde chonde Taiwan usikubali kuingizwa mkenge na Marekani!!!
Wewe ni mtoto hujui chochote kuhusu vita ila ligi tu za kubishaba.
 
Acheni mizaha, acheni maneno ya vijiweni, acheni uzwzwa. Nchi yenye GDP 25trillion USD unaomba kuingia nayo vitani. Jamani nani asiyejuwa ubora wa tech ya Marekani. Au mnafanya makusudi? KWELI mnakaa na kubishana juu ya uwezo wa USA. Kwa akili ya kawaida haiwezekani kumpiga Marekani labda itokee nguvu ya Mungu tu na siyo vitech vya china, Russia na mataifa mengine. Wachina wapo hapo Kwa sababu ya USA ndiyo maana tech Yao ni ya kuiga, yaani copy and paste
Kina watu hata akili hawana kabisa eti naye anajiona mjanja kuanzisha mada ya kipumbavu kiasi hiki.Akumbuke tu hapa Duniani hakuna Taifa la kuishinda USA kivita
 
Ninachofahamu "hatishiwi nyau". Marekani kudai kuwa kama China ikiamua kuichukua Taiwan kwa nguvu, iko tayari kuipigania taiwan kijeshi ni uongo na ndoto za mchana!! Marekani haina kabisa ubavu wa kujiingiza vitani na taifa lolote lenye nguvu ya nyuklia kama China!! Kwa asili Marekani ni waoga!! Wako tayari kupiga (mahali ambapo wana uhakika watapiga), lakini hawako tayari kupigana!! Marekani haiwezi kuipiga China bali watapigana na mshindi ni dakika tisini si kabla ya hapo.

Taiwan asipokuwa makini atavimbishwa kichwa na kuingizwa mkenge na mwisho wa siku watafanywa soko la kuuzia silaha za marekani kama ilivyo UKraine leo baada ya kuingizwa mkenge na Marekani. Ukraine iliahidiwa kuingizwa NATO fasta kwa hiyo URUSI HAITOTHUBUTU kuishambulia!! Matokeo yake kweli ukraine akaingiwa na kiburi kwa ahadi ya uongo na leo hii Ukraine inaachwa mahame!!

Lengo la marekani ni kuanzisha ugomvi ili iuze silaha!! Leo hii Ukraine wanakopeshwa dola bilioni 49, waje wazilipe na riba juu!! Halafu Marekani "inachekea tumboni" (ili isikukwaze) kwa kupata soko la silaha zake! Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!

=======

US ready to use force to defend Taiwan​

President Joe Biden said Washington could be directly involved in conflict should China try to take the island by force

US President Joe Biden indicated on Monday that Washington is willing to use military force to defend Taiwan if necessary. Speaking at a joint press conference with Japanese Prime Minister Fumio Kishida in Tokyo, he said the US sees the idea of China “going in” with its troops as unacceptable.

When asked if the US would become directly involved in a conflict between China and Taiwan, including through the use of military force, Biden said “Yes,” adding that “it’s a commitment we made.” The US leader has previously said Washington respects the ‘One China’ policy, by which it recognizes that there is only one China led by Beijing.

Biden, however, maintained that China has no “jurisdiction to go in and use force to take over Taiwan.” The idea that the island nation “can be taken by force is just not appropriate. It will dislocate the whole region,” the US president added.

Marekani pia wanaishawishi MOLDOVA ikubali kupoke silaha za marekani ili eti kuilinda na tishio la urusi!! Watu wajiulize mbona nchi za magharibi zimepeleka silaha nyingi sana Ukraine toka 2014 hadi sasa lakini Ukraine imeshindwa kuzuia uvamizi wa Urusi wa kujitakia yenyewe.Tunapozungumza sasa, jimbo lote la Kherson linakaliwa na urusi, na asilimia 95% ya jimbo la DONBAS lisahakaliwa!! Msaada wa silaha zinazoangamizwa kila siku hauwasaidii kitu laki watalazimika kulipa maana si msaada wa bure bali ni mkopo!!

Chonde chonde Taiwan usikubali kuingizwa mkenge na Marekani!!!

Upo sahihi kabisa, na Marekani haitaisahau China kwa jinsi ilivyopondwa mwaka 1973 katika vita vya Vietnam!
 
USA ina rasilimali nyingi lakini haina uwezo wa kuziuza nje maana inazihitaji yenyewe!! Kwa mfano: Marekani ina akiba kubwa ya ya mafuta ardhini kuliko urusi, lakini japo ni mengi lakini haiuzi bali inanunua pia toka nje maana hayatoshelezi!! Urusi inauza mafuta sana tu maana haiwezi kuyatumia yote!! Bila shaka unanielewa!!
Mkuu sio kweli USA ana akiba nyingi ya mafuta kuliko Urusi.Akiba ya Urusi ni Mara 2 ya ile ya USA.
 
Hahahaha...huu ujinga sijui ni shule gani inafundisha ila matokeo ya BRN ni hatari kwa kizazi kijacho. Wenzako hao Marekani wanawaza siku Russia akitumia EMP ni kitatokea ila unakuja na ngonjera.

Siku tutakapokuja kuwalazimisha Warusi watoe yote yaliyomo pale KAPUSTIN YAR basi ni siku ambayo kila mtu atabaki mdomo wazi.

Marekani hana ubavu wa kwenda vitani na nchi iliyopo nje ya Uarabuni au Afrika kwa sasa, kwa Sababu waarabu wamefarakana hivyo Marekani anatumia mafarakano hayo Kama silaha huku Afrika ni kwa Sababu hatuna teknolojia ya juu ya kijeshi.
Sorry unajuwa huna akili au unapenda ubishi?
 
US, kunakitu hakieleweki juu ya uwezowake wa kivita ukilinganisha na Russia, ama China.

Kwanza hawajawahi kuwa na magwaride ya kuonyesha silahazao kama China na Russia,kwahiyo taratibu watu wanashindwa kuamini kamakweli anazo silaha za kutisha kama wenzake.

US amekuwa mtu wa mikwara mbuzi pale anapo onyeshwa ubabe wa wazi na Russia.
Matukio mawili yanaonyesha US wana waogopa sana Russia.
1, Russia wameweza kumlinda asadi kutoka kwa vibaraka wa US kule Syria.

Kumbuka kuna umbali wakutosha kutoka Mosco mbaka Syria lakini Urusi wameweza kusafiri umbali huo bila vikwazo nakwenda kuzuia mipango ya US nchini Syria.

2, Urusi pia wameweza kumzuiya US asiwasumbue Venezuela.
Kutoka Venezuela kwenda USA ni karibu sana, lakini Russia wameweza kutoka Mosco, maelf ya kilometa nawamekatiza sebuleni kwa US kwenye bahari ya Pacific nakwenda kuzuiya mipango ya US nchini Venezuela.
Na sasa tunaona kinacho endelea Ukraine, US na washirika wake wana piga mdomotu,wakati Urusi anapiga kazi na haonyeshi kujali chochote kutoka US wala EU.

Mimi sio mshabiki wa vita napenda amani,na siungi mkono uvamizi wa Russia nchini Ukrain.
Mkuu kutounga mkono hakuondoi ukweli kuwa Duniani tunaishi kwa kunyonyana its all about survivor for fittest-haya yote ni scramble for natural resources ili watu waendelee kuishi.Anacho kifanya USA kwenye Nchi za kiarabu ndicho hicho hicho alichokuwa anataka kukifanya Venezuela ndio hicho hicho Russia anakifanya kwa mgongo wa kukupa usaidizi.
By the way tunafanyiwa haya yote ni sisi Waafrika na Waarabu-na wanao tufanyia ni hao Wazungu & Chines.

Waarabu na Waafrika ndio tunaonewa,sema na ndio hatujitambui.
 
Mkuu kutounga mkono hakuondoi ukweli kuwa Duniani tunaishi kwa kunyonyana its all about survivor for fittest-haya yote ni scramble for natural resources ili watu waendelee kuishi.Anacho kifanya USA kwenye Nchi za kiarabu ndicho hicho hicho alichokuwa anataka kukifanya Venezuela ndio hicho hicho Russia anakifanya kwa mgongo wa kukupa usaidizi.
By the way tunafanyiwa haya yote ni sisi Waafrika na Waarabu-na wanao tufanyia ni hao Wazungu & Chines.

Waarabu na Waafrika ndio tunaonewa,sema na ndio hatujitambui.
Ndio.!
Tunateseka sana, swali lakujiuliza hapa ni hatuna akili ama tunazo lakini hatutaki kuzitumia kwa makusudi kwa sababu ya ubinafsi na rushwa.
Sababu tunafanywa shamba la bibi kwa hiyariyetu.
 
Unaishi dunia ipi!! Juzi juzi tu marekani imeshindwa vita na Wataleban na kuikimbia Afghanistan hadi wakatelekeza silaha zao lukuki zikiwemo ndege na vifaru!! Wamepigana vita na Taliban kwa miaka 20 na wakashindwa vita na kukimbia!! Sasa hivi Taliban ndio wanatawala Afghanistan!!

Marekani walishindwa vita na kukimbia somalia miaka ya hivi karibuni. Askari wa marekani walikuwa wanakamatwa na kufungiwa bamba kwenye magari kisha kuburuzwa mitaani hadi wanakufa!! Marekani walikimbia!!

Miaka ya karibuni Marekani walishindwa vita nchini Syria! Walikuwa wanapigana sambamba na waasi wa serikali ya rais Asaad wa Syria. Lengo lilikuwa ni kumwondoa madarakani rais Asaad!! Walishindwa vita baada ya Mrusi kuingilia kati nchini Syria na kuwasambaratisha wapinzani.

Juzi juzi pia Marekani ilishindwa nchin Venezuela katika harakati za kumpindua Rais Maduro wa Venezuela!!
Good analysis
 
Ninachofahamu "hatishiwi nyau". Marekani kudai kuwa kama China ikiamua kuichukua Taiwan kwa nguvu, iko tayari kuipigania taiwan kijeshi ni uongo na ndoto za mchana!! Marekani haina kabisa ubavu wa kujiingiza vitani na taifa lolote lenye nguvu ya nyuklia kama China!! Kwa asili Marekani ni waoga!! Wako tayari kupiga (mahali ambapo wana uhakika watapiga), lakini hawako tayari kupigana!! Marekani haiwezi kuipiga China bali watapigana na mshindi ni dakika tisini si kabla ya hapo.

Taiwan asipokuwa makini atavimbishwa kichwa na kuingizwa mkenge na mwisho wa siku watafanywa soko la kuuzia silaha za marekani kama ilivyo UKraine leo baada ya kuingizwa mkenge na Marekani. Ukraine iliahidiwa kuingizwa NATO fasta kwa hiyo URUSI HAITOTHUBUTU kuishambulia!! Matokeo yake kweli ukraine akaingiwa na kiburi kwa ahadi ya uongo na leo hii Ukraine inaachwa mahame!!

Lengo la marekani ni kuanzisha ugomvi ili iuze silaha!! Leo hii Ukraine wanakopeshwa dola bilioni 49, waje wazilipe na riba juu!! Halafu Marekani "inachekea tumboni" (ili isikukwaze) kwa kupata soko la silaha zake! Ninawahurumia Taiwan kama watavimba kichwa na kuendelea kuchezea shurubu za mchina!! Hawatajua mchina atavumilia hadi lini kiburi hiki cha Taiwan!! Siku ya siku kitanuka na Marekani hatasogeza pua yake zaidi ya kukuuzia silaha!

=======

US ready to use force to defend Taiwan​

President Joe Biden said Washington could be directly involved in conflict should China try to take the island by force

US President Joe Biden indicated on Monday that Washington is willing to use military force to defend Taiwan if necessary. Speaking at a joint press conference with Japanese Prime Minister Fumio Kishida in Tokyo, he said the US sees the idea of China “going in” with its troops as unacceptable.

When asked if the US would become directly involved in a conflict between China and Taiwan, including through the use of military force, Biden said “Yes,” adding that “it’s a commitment we made.” The US leader has previously said Washington respects the ‘One China’ policy, by which it recognizes that there is only one China led by Beijing.

Biden, however, maintained that China has no “jurisdiction to go in and use force to take over Taiwan.” The idea that the island nation “can be taken by force is just not appropriate. It will dislocate the whole region,” the US president added.

Marekani pia wanaishawishi MOLDOVA ikubali kupoke silaha za marekani ili eti kuilinda na tishio la urusi!! Watu wajiulize mbona nchi za magharibi zimepeleka silaha nyingi sana Ukraine toka 2014 hadi sasa lakini Ukraine imeshindwa kuzuia uvamizi wa Urusi wa kujitakia yenyewe.Tunapozungumza sasa, jimbo lote la Kherson linakaliwa na urusi, na asilimia 95% ya jimbo la DONBAS lisahakaliwa!! Msaada wa silaha zinazoangamizwa kila siku hauwasaidii kitu laki watalazimika kulipa maana si msaada wa bure bali ni mkopo!!

Chonde chonde Taiwan usikubali kuingizwa mkenge na Marekani!!!
Alafu si ndiye yule mchina aliyetaka kumpiga tafu Russia ,Marekani akamchimba mkwara mchina akarudisha mkia nyuma, bila shaka marekan anajua udhaifu wa China .alafu mbona China hapig hata mkwara marekani kuotetea Taiwan? Au kumsaidia Ukraine?
 
Back
Top Bottom