BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,447
- 19,425
Kwenye Operation Ikumu naona CIA wana chief of station pale Kigali. Hawa watu kazi yao hua ni ipi kwa anae fahamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wapo kila nchi yenye ubalozi wa US,, chief of station ndo boss wa CIA kwa eneo husika, ana oversee operation zote za CIA kwa eneo husika, hivyo hata kama kuna agent wa CIA katumwa kufanya misheni, mfano Kenya, basi lazima aripoti kwanza kwa chief of stationKwenye Operation Ikumu naona CIA wana chief of station pale Kigali. Hawa watu kazi yao hua ni ipi kwa anae fahamu
Very trueTatizo la viongozi wa Africa ni wanafiki na waoga kwa kuambiana ukweli kwa sababu wengi wao wana madhaifu na wataumbuka
Wenzako wanapigana vita kwa maslahi au ulinzi wa border zao, na hakuna kitu kinaitwa kusaidia , ungejiuliza kwanini 80% ya coltan ambayo ndio yanafanya makampuni kama Apple na samsung kuwa mabilionea inatoka Congo lakini Congo ni maskini wa kutupwa, mtaendelea kumlaumu Kagame kwa ajiri ya ukabila wenu na ideology zenu za kipumbavu na vita haitaishaMkuu unajaribu kumwaga mchanga kwenye basic issue.
Issue hapa ni Kagame kupeleka majeshi yske DRC ikiwaita eti M23.
Huo kimsingi ni uchokozi.
Tanzania ina msimamo wa kuishi kwa amani na majirani zake, lakini mtu amnaye kwa miaka nenda rudi ana ndoto za kuingilia nchi nyingine basi ndoto hizo haziishii DRC.
Tanzania tuzisaidia nchi za Comoro, DRC yenyewe, Msumbiji n.k.
Mchokozi lazima apigwe ili aelewe kuwa havumiliki.
Uko kote ulipotaja tuliitwa. Comoros tuliitwa kurudisha hali ya usalama, DRC tuliombwa na serikali, Msumbiji tulikubaliwa na serikali. Kwahiyo unalenga kusema Tanzania itafanyaje kwa kauli yako ya ndoto za Rwanda haziishi DRC?Mkuu unajaribu kumwaga mchanga kwenye basic issue.
Issue hapa ni Kagame kupeleka majeshi yske DRC ikiwaita eti M23.
Huo kimsingi ni uchokozi.
Tanzania ina msimamo wa kuishi kwa amani na majirani zake, lakini mtu amnaye kwa miaka nenda rudi ana ndoto za kuingilia nchi nyingine basi ndoto hizo haziishii DRC.
Tanzania tuzisaidia nchi za Comoro, DRC yenyewe, Msumbiji n.k.
Mchokozi lazima apigwe ili aelewe kuwa havumiliki.
Kenya wameitwa DRC, nasi tunatamani kuitwa huko ili lijulikane moja.Uko kote ulipotaja tuliitwa. Comoros tuliitwa kurudisha hali ya usalama, DRC tuliombwa na serikali, Msumbiji tulikubaliwa na serikali. Kwahiyo unalenga kusema Tanzania itafanyaje kwa kauli yako ya ndoto za Rwanda haziishi DRC?
Kwamba Tanzania ivamie Rwanda ikiulizwa na UN iseme "ndoto za Rwanda haziishi DRC" au nini unamaanisha. Hata umtoe vichochoroni Rais aliyefeli mtihani wa chekechea akaishia hapo hajui kusoma wala kuandika, hawezi fanya huo upumbavu.
Unajua madhara ya kuvamia sovereign state inayotambuliwa mipaka yake na UN? Unajua war reparations kwa mvamizi zinavyokuwa? Unajua gharama za kuanzisha na kuendesha vita dhidi ya nchi?
Unajua hata foreign reserve tuliyonayo inatosha miezi mingapi? Unajua Rwanda inakuwa na kauli pale tukiivamia, hata ikitaka kukaribisha marafiki zake wanaoitumia kwenye hujuma zao kina Ufaransa kwenye mgogoro inaweza, na je unadhani nchi zote duniani zipo tu zinaiona Tanzania ilivyo zinaridhika?
Mbona Tanzania unaipa umuhimu wa kijinga. Nchi inasubiri COVID-19 itokee wazungu waigawie pesa ijenge vyoo watoto mashuleni wanye humo wewe unaishupalia as if ina Veto power ya UN Security Council.
Eti Tanzania ipigane na Rwanda kisa Congo, Tanzania hii inayonunua sidiria za mitumba kutoka China? Unadhani vita ni matako kila mtu anayo
What if US naye anamsaidia Kagame behind the scene? Siasa mchezo mchafu sana.
Siyo simple mkuu.
As a block East Africa inaweza kumwekea vikwazo Rwanda.
Maritime na Air lazima aombe poo, tatizo la EA ni unafiki uliopitiliza kiwangoSiyo simple mkuu.
As a block East Africa inaweza kumwekea vikwazo Rwanda.
Tayari mbwa kazeekaHapa kusema wamemchongea nadhani siyo sahihi. US anaelewa kila kitu kinachoendela kwenye eneo hilo na wala hahitaji mtu wa kumshikia sikio amwambie nini Kagame. Hata hivyo, hii statement kutolewa sasa hivi yahitaji uchambuzi wa ziada huenda somewhere wamepishana tayari.
WamemchokaYaani ni kweli hawa watu satellite [emoji930] zao zinaona kila kitu na hata wanapopoelekwa wanaonekana na hata kusikilizwa
Na mengine kama uwepo wao wa Balozi zao wanapata mengi ila mbona mda wote wamekuwa kimya [emoji631] mpaka sasa baada ya Ruto kuwa na msimamo wake na majibu ya PaKa?
Wakubwa wanajua ila wakati mwingine kwa diplomasia zao wanawasiliana tu nchi na nchi ni kawaida sana.
Wamfungie tu bandari kama Saudi na Qatar..Tanzania na Kenya wanapaswa kuungana kuweka shinikizo la kidiplomasia na kiuchumi ili Rwanda waache kufadhili waasi wa Congo.
..Kupitia EAC wanaweza kuiwekea Rwanda vikwazo vya kiuchumi, kuonyesha kukerwa na mwenendo wa nchi hiyo kuchochoea maasi nchini Congo.
CIA wana operatives nchi nyingi duniani. Swala ni kwamba dunia imestaarabika ndo maana hatusikii uhusika wa CIA kwa sana. Vinginevyo ungesikia mapinduzi yakutosha.Hao wapo kila nchi yenye ubalozi wa US,, chief of station ndo boss wa CIA kwa eneo husika, ana oversee operation zote za CIA kwa eneo husika, hivyo hata kama kuna agent wa CIA katumwa kufanya misheni, mfano Kenya, basi lazima aripoti kwanza kwa chief of station
Kutoa tamko tayari washamchoka ajiandae kunywa kikombe cha savimbi,osama na GadafiUmeelewa in reverse, US will never support wauaji kama FDLR na wote wanaowatumia na kuwasaidia, US sio wajinga wa kulishwa propaganda ndio maana wako upande wa Kagame siku zote
Siku hizi wanachochea color revolution,, maandamano mengi yanakua funded na wao,,CIA wana operatives nchi nyingi duniani. Swala ni kwamba dunia imestaarabika ndo maana hatusikii uhusika wa CIA kwa sana. Vinginevyo ungesikia mapinduzi yakutosha.
Mapinduzi yamebaki nchi za Francophone
Nahisi mkenya anapeleka F-15 congoWamfungie tu bandari kama Saudi na Qatar
Ukiona hivyo maana yake US kamtumaNahisi mkenya anapeleka F-15 congo
Ile kauli ya migomba mifupi ilikuwa Ni dalili ya kuweweseka baada ya mabwana zake kuanza kumchoka..Hatimaye sasa its official kuwa Kagame analisaidia kundi la waasi wa M23 wanaopigana na serikali Mashariki mwa Congo DRC.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Blinken, amekutana na P. Kagame na kumpasulia wazi kuwa aache kuisaidia M23 , kikundi kinachoua na kutesa wananchi wa kawaida huko Mashariki ya Congo.
Kama mwizi aliyeshikwa na kiroba cha mbuzi wa kuibwa, bado Kagame amesikika akikaidi onyo hilo.
Asiyesikia la mkuu.
=======
Secretary Blinken’s Call with Rwandan President Kagame - United States Department of State
The below is attributable to Spokesperson Ned Price:
Secretary of State Antony J. Blinken spoke yesterday with Rwandan President Paul Kagame to discuss the importance of peace and stability in eastern Democratic Republic of the Congo (DRC). Secretary Blinken expressed strong support for regional mediation and dialogue led by Angola and the East African Community.
He underscored the need for concrete progress on and implementation of commitments made during these discussions, including the November 23 Luanda Mini-Summit on Peace and Security communiqué. Secretary Blinken made clear that any external support to non-state armed groups in the DRC must end, including Rwanda’s assistance to M23, an armed group that has been designated by the United States and the United Nations.
Secretary Blinken also shared deep concern about the impact of the fighting on Congolese civilians who have been killed, injured and displaced from their homes. Secretary Blinken condemned the resurgence of hate speech and public incitement against Rwandaphone communities, recalling the real and horrible consequences of such rhetoric in the past.
Stategov