Yani ulikaa ukasubiri Mtanzania hapa hapa nchini akwambie mpango wa CIA ni nini. CIA gani hiyo na imeanza lini kujitolea taarifa kiholela juu ya mipango miovu ya taifa lao.
Kama ungekuwa mfuatiliaji ungepuuzia kauli ya Marekani, haina mashiko na impact yoyote ni business as usual kule Congo
View attachment 2438178
Washington Post ya mwaka 1988 nanukuu,
"....But Kagame and his colleagues had designs of their own. While the Green Berets (makomandoo wa Marekani) trained the Rwandan Patriotic Army (jeshi la waasi la kina Kagame lililovamia kutoka Uganda na kuiangusha serikali ya Rwanda), that army was itself secretly training Zairian rebels. Rwandan forces then crossed into Zaire and joined with the rebels to attack refugee camps where exiled Rwandan extremists were holed up. That touched off a war that eventually toppled Africa's longest-reigning dictator, Zaire's Mobutu Sese Seko.
Although the United States shared the goals of dismantling the refugee camps and replacing Mobutu (zingatia hii sentensi), the invasion took Washington by surprise, sources in both countries say. And when the Rwandan forces became involved in massacres and other human rights abuses inside Zaire, now known as Congo, the United States faced a dilemma over how to react that persists to this day...."
https://www.washingtonpost.com/wp-srv/national/longterm/overseas/overseas3a.htm
Marekani na Rwanda wanajuana wanachofanya. Rwanda anaenda mbele zaidi ila Marekani kwa kawaida huwa hana shida na mshirika wake as long as maslahi yake yako secured na huyo mshirika haharibu kivile. Cameroon pale Paul Biya ana miaka 40 akiwa Rais na anakandamiza upinzani na huwezi sikia Marekani inasema lolote, ila muda huohuo Marekani haitaki Assad awe Rais wa Syria.
Congo haiachwi leo wala kesho. Atatoka Kagame aje mwingine, itatoka Rwanda ije nchi nyingine. Mabadiliko yoyote hayana unafuu kwa Congo mpaka waamue tu sasa basi tuache waishi kwa amani