Kulinda mpaka ndo kuanzisha war nchi jirani just think DRC uwe TZ na ndoa kagame hawe inafanya hivyo, ungejisikiaje mkuu. Kumbuka kagame kuanza kujihusisha na mgogoro wa congo ni baada ya mauaji ya kimbali rwanda hutu extremists na wahutu RAIA wema alienda zaire(congo) ili, 1996 October kwa msaada wa USA walivamia congo kwa lengo la kumaliza hutu extremists cha ajabu waliua mpaka WATOTO wa chini ya miaka 5 wa kihutu. 1998 walivamia congo kwa lengo la kumuondoa kabila ilishindikana kwa sababu ya angola na zibwambwe,
Kumbuka walikufa watu 5 million kule kwa vita alivyoanzisha kagame kwa msaada wa USA , fikilia ingekuwa TZ ungejisikiaje . Mamia na maelfu wa wanawake walibakwa Kule.
Kama analinda mpaka, FDLR HAWANA uwezo wa kumpindua kagame 100% ishu ni kwamba awarudishe wale wakimbizi kule walikuwepo drc na WAje rwanda ,
Tena kama kulinda mpaka si aweke wanajeshi WAKE mpaka kwake na si kwenda kuanzisha vita.
Hao m23 wiki iliyopita wameuwa watu zaidi ya 100+ VYANZO vingine INASEMA 100+ vyombo vingine vinasema ni 200+ fikilia ingekuwa TZ afu NDUGU yako anafanywa hivyo ungefikiliaje hapo.
Ndo analinda border ya mipaka yake hivyo sio.