Marekani yamuonya Kagame kuacha kuisaidia M23 huko DRC

Marekani yamuonya Kagame kuacha kuisaidia M23 huko DRC

tatizo mayimayi! ...... watoke DRC! waendeeee equatorial guinea, make WAkiwaacha tu kwa amani heeee watutsi wooote!!! hata walioko nchi jirani watachinjwa km kuku!

Mambo km haya wanatakiwa sisi tualikwe na ndo tuingilie migogoro km hiyoooo!...lkn hawataki! yaani mie hapo nikiitwa ntafanya hivi...............ngoja nije!
 


Baada ya kuangalia maudhui ya video hiyo ya Dar 24 chini ya Dupe Mdupange, nimepata somo kuwa issue ya Kongo inasababishwa na baadhi ya watu ndani ya jeshi kuwa sehem ya waasi kwa chini chini
 


Baada ya kuangalia maudhui ya video hiyo ya Dar 24 chini ya Dupe Mdupange, nimepata somo kuwa issue ya Kongo inasababishwa na baadhi ya watu ndani ya jeshi kuwa sehem ya waasi kwa chini chini

Nimemsikiliza sana Huyu kuna vitu vingine kadanganya.
 
issue ya Kongo inasababishwa na baadhi ya watu ndani ya jeshi kuwa sehem ya waasi kwa chini chini
Kuja watutsi ndani ya jeshi la congo,
Baada ya vita vya second congo war, walipofanya makubaliano na waasi wa RCD. Ambao walikuwa ni watutsi kutoka rwanda , burundi na banyamulenge, walikubaliana kuwa RCD waingizwe kwenye jeshi la congo.
So KULIKUWA na warwanda wengi ndani ya jeshi la congo.
 
Nimemsikiliza sana Huyu kuna vitu vingine kadanganya.

Ungeviweka hivyo ili tuelimike zaidi. Mimi nawapongeza Dar 24 kwa angalau kutupa mwanga fulani.
Sultan Makenga, Bosco Ntaganda na R Nkunda ni watu waliotajwa sana na media za magharibi kwa sababu ya sintofaham walizoleta pale Nod Kivu
 
Kulinda mpaka ndo kuanzisha war nchi jirani just think DRC uwe TZ na ndoa kagame hawe inafanya hivyo, ungejisikiaje mkuu. Kumbuka kagame kuanza kujihusisha na mgogoro wa congo ni baada ya mauaji ya kimbali rwanda hutu extremists na wahutu RAIA wema alienda zaire(congo) ili, 1996 October kwa msaada wa USA walivamia congo kwa lengo la kumaliza hutu extremists cha ajabu waliua mpaka WATOTO wa chini ya miaka 5 wa kihutu. 1998 walivamia congo kwa lengo la kumuondoa kabila ilishindikana kwa sababu ya angola na zibwambwe,
Kumbuka walikufa watu 5 million kule kwa vita alivyoanzisha kagame kwa msaada wa USA , fikilia ingekuwa TZ ungejisikiaje . Mamia na maelfu wa wanawake walibakwa Kule.
Kama analinda mpaka, FDLR HAWANA uwezo wa kumpindua kagame 100% ishu ni kwamba awarudishe wale wakimbizi kule walikuwepo drc na WAje rwanda ,
Tena kama kulinda mpaka si aweke wanajeshi WAKE mpaka kwake na si kwenda kuanzisha vita.
Hao m23 wiki iliyopita wameuwa watu zaidi ya 100+ VYANZO vingine INASEMA 100+ vyombo vingine vinasema ni 200+ fikilia ingekuwa TZ afu NDUGU yako anafanywa hivyo ungefikiliaje hapo.








Ndo analinda border ya mipaka yake hivyo sio.

 
Back
Top Bottom