Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Kwa sifa kemkem alizokua anapewa nimeshangaaa alivyouawa kizembeee
Ni aibu sana General "mkakamavu na anaeyegemewa" kufa kizembe namna hii,hii inaonyesha kuwa Iran intelligence yake bado ipo chini sana na pia hawana maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Sababu baada ya issue ya Ubalozini huyu General asingepaswa kuwepo Iraq ila kwa kuwa wameishi kwa mazoea na mawazo mfu ya kuwa Marekani hatafanya chochote eti kwa sababu ya Uchaguzi sasa ndio inakula kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu alikuwa ndio mchora ramani wa Iran kwa shughuli zao zote nje ya Iran, kuanzia kushambuliwa kwa Visima vya Mafuta vya Saudi Arabia mpaka kuteka meli na bila kusahau kashikashi la Ubalozi wa Marekani. Tungoje tuone Iran atafanya nini,sasa hivi kichapo kwake kipo wazi wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Iran akijitusi kutaka kulipiza kisasi akaua askari au akaribu mali za US kichapo cha mbwa koko kitamuhusu
Hapa JF uwa kuna wapiga mapambio kwamba US uwa anaogopa Iran kijeshi, US kijeshi ni habari nyingine wadau, yaani Ayatolah asicheze na moto ambao hatoweza kuuzima, narudia US kijeshi ni habari nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
 
#Breaking #Iran military forces command: “we will be delivering a seismic response to the #US assassination of General #Soleimani in #Iraq, and the crossing of all the red-lines.”Mm sie niliesema, Wairan wakisema wanafanya

Sent using Jamii Forums mobile app

Iran atapigwa hadi huwezi ona dead bodies wee subiri, this time Iran akipona kipigo takatifu asali sana na utawala wao utapotea kabisa.
 
Hivi US waliwapa taarifa Iraq kwenye hilo shambulizi?.

Maana Iraq juzi walisema US wana kosa adabu kwa kufanya mashambulizi kwenye ardhi ya nchi yao bila ya wao kupewa taarifa.
Sasa kama hawakuwataarifu Iraq tena kwenye hilo shambulizi, Iraq wanaweza kuwaruhusu raiya kuingia tena kwenye ubalozi na kufanya uharibifu zaidi.

I just guess.

Sent using Jamii Forums mobile app
US special force operations uwa haitaji kibali cha mtu yeyote zaidi ya US President Order (Trump)
Refers Osama operations, ISIS leader Al Baghdad, etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu sana General "mkakamavu na anaeyegemewa" kufa kizembe namna hii,hii inaonyesha kuwa Iran intelligence yake bado ipo chini sana na pia hawana maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Sababu baada ya issue ya Ubalozini huyu General asingepaswa kuwepo Iraq ila kwa kuwa wameishi kwa mazoea na mawazo mfu ya kuwa Marekani hatafanya chochote eti kwa sababu ya Uchaguzi sasa ndio inakula kwao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Iran inteligency hapa ili'fail, baada ya ule uvamizi wa ubalozi alafu huyu akawa anafanya nin kwenye ardhi ya Iraq? Yaan kwel kilichowaponza ni mazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani, Iran watachukua tahadhari zote kabla ya kufanya move yoyote. Kwa shambulio hili, lazima wajikague kwanza ni kwa namna gani US ilifanikiwa kupata coordinates za alipo Soleimani wakati huo. Kwanza "wasafishe" vitengo vyao kwa haraka ndiyo "washugulikie" hili suala.
Bado kumuua huyu Javad zharif na Ayatollah khamenei. Wenzao wajanjawajanja hawatumiii Twitter, Facebook na madude ya USA kuogopa kuuliwa kizembe unaweza wakati yupo Iraq alikuwa anatumia iPhone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikua Moja ya Makamanda wenye akili nyingi, mwerevu sana na mtiifu kwa serikali ya Iran yeye hasa akireport moja kwa moja kwa Mwenyewe Ayatollah...

Iran imepata pigo kubwa sana hasa....sio mchezo..katika hali ya kawaida yeye hakupaswa kuwa pale Iraq mida hii hasa kutokana na fujo hizi za karibuni..Irani na waajemi wote wanalia Duniani Kote..General Souleiman kalala mauti kama na sisi wote tutakavyolala siku moja.

Atakumbukwa kama Kamanda wa ukweli mwenye akili na mzalendo kwa nchi yake ya Iran na Waajemi wote.

Ameifia nchi yake...hajafa kwenye ulevi wala akipigania Wanawake Allah Amuweke pema...
Hata mim nashindwa elewa Iran inteligency, kwann mtu muhimu kama Gen Suleman kuwa ardhi ya Iraq kipindi cha machafuko kama hiki, nafikiri mazoea yamewagharimu, nasikia sasa makamanda wa Iran wapo kikaoni, ila nawasihi wasijaribu kulipiza, US this time atawachapa kweli tena kipigo kitakatifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndiyo tabia ya Mossad Al abet, wanatwanga wanarudi, wanasubiri wewe utoe tamko, la kulaani, hata some times wasikujibu kwa maneno, Ujue maneno ni silaha kubwa sana?
But Mossad wana slogan yao! ''SILENCE IS GOLD''
Iran kutangaza kwamba ni USA bado wanatapatapa, hawajui ni shambulizi la nani!
Ni kweli kabisa Mkuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani Iran akijitusi kutaka kulipiza kisasi akaua askari au akaribu mali za US kichapo cha mbwa koko kitamuhusu
Hapa JF uwa kuna wapiga mapambio kwamba US uwa anaogopa Iran kijeshi, US kijeshi ni habari nyingine wadau, yaani Ayatolah asicheze na moto ambao hatoweza kuuzima, narudia US kijeshi ni habari nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa USA, ni hatari sana wakikugonga Biological weapon utachoka wanakuja wanamwaga magonjwa ndani ya nchi mnaacha kufanya mambo mengine watu, wanakufa kwa magonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom