Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Uongo mtupu,mliambiwa mlete credible source ku-support hii kitu mkala kona.
US aliingia pakistan(a nuclear state),akamchomoa Osama karibu na jeshi la Pakistan na hawakushtuka mpaka marekani alipowataarifu,Marekani akiamua kumchukua ayatollah muda wowote anaotaka anaweza.
Israel kwa kutumia ndege ya kimarekani F-35 aliingia Iran last year akapiga picha maeneo sensitive ya Iran akaondoka na wala radar hazikumuona!US ni next level.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ww kwa mfano ata kama wana F35 itaenda kushambulia vipi anga za Iran? Wakati new model drone ambayo eti wanasema haionekani ilichakazwa ata haijaingia kwenye anga la Iran?
Sa US ana F22 raptor ana F35 ataogopa Tomcat f14??

Israel anazitumia maeneo yasiyo na hatari huko Gaza na baadhi ya sehem za Syria tena za Israel zipo customized.

Israel saivi ni mwendo wa modified F15 striking eagle , F16 Falcon and 35

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yenyewe huwa yanapigaga mayowe "death to america" huku yakichoma vitambaa. Leo kamanda mkiu wa vikosi vya ulinzi wa mapinduzi komandoo na generali kauliwa kama kuku. Yaani wamemgeuza vipande vya nyama fasta; wamarekani hawanaga mipasho wala maandamano ya kuchoma vitambaa wao ni actions tu tena actions za maana.
Saivi wanalipwepa hili tukio wanasema "OLE WAKE AGUSE ARDHI YA IRANI"

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_1578054828436.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ww kwa mfano ata kama wana F35 itaenda kushambulia vipi anga za Iran? Wakati new model drone ambayo eti wanasema haionekani ilichakazwa ata haijaingia kwenye anga la Iran?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.

Sent using Jamii Forums mobile app



[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312] soma hiyo iliripotiwa na vyombo vya Kiarabu vya Lebanon
 
Aaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaaaa mkuu kwa hio unataka kusema hao Izrail Waliingia kwenye anga la Iran na kupiga picha bila ya rada za waajemi kuziona? Yaani Waliingia alaf wasishambulie maadui zao? Acheni utani banaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
This Iranian Commander Kept Secret That Israeli F-35 Stealth Fighters Had Violated Iran Airspace

Israel has praised the Lockheed Martin F-35 as a “game-changer”.

Islamic Republic of Iran Air Force (IRIAF)commander Brigadier General Farzad Ismaili, who had been in office since 2010, has been fired by Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei after he kept secret that Israeli Air Force (IAF) F-35 stealth fighters had violated Iran’s airspace, the Kuwaiti daily Al Jarida reported on Saturday.

The newspaper emphasized that it was the original media source that exposed the Israeli raids, which had taken place in March 2018. Al Jarida cited senior Iranian military who said that only following its March report did the intelligence services of the Revolutionary Guards and the Iranian intelligence ministry begin to investigate the case, under Khamenei’s direct orders.

According to the newspaper’s investigation, “the IAF F-35 “Adir” planes penetrated Iran’s airspace, circled high above Tehran, Karajrak, Isfahan, Shiraz and Bandar Abbas – and photographed Iran’s air defense system.”
 
Kuripotiwa kwa vyombo vya Kiarabu vya Lebanon haimaanishi kuwa ni kweli, hii dunia sasa kuna propaganda nyingi sana mkuu, huko Lebanon pia kuna vyama vinawachukia Iran as well as meddle east kwa ujumla
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wakati F35 ya Israel ilishaingia Iran na kupiga picha vituo vya Irani na kusababisha kamanda kufukuzwa kazi nakupa linki.

Sent using Jamii Forums mobile app



[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312] soma hiyo iliripotiwa na vyombo vya Kiarabu vya Lebanon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tramp anaanza kuharisha, muoga sana huyu babu [emoji23][emoji23]View attachment 1311179

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ukitafakari hiyo tweet vizuri utaelewa Marekani wako kimaslahi Zaidi pia uelewe No one has achieved greatness by playing it safe
Hao wako Middle east kitambo hizo Vita wakizitaka wanaweza zicheza iwe kichawi au kutumia majini wako vizuri.
Wanatengeneza tatizo then wanalitatua ndo dunia ilivyo,
Mwaka wa uchaguzi huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuripotiwa kwa vyombo vya Kiarabu vya Lebanon haimaanishi kuwa ni kweli, hii dunia sasa kuna propaganda nyingi sana mkuu, huko Lebanon pia kuna vyama vinawachukia Iran as well as meddle east kwa ujumla

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapo mkuu ukibishia hadi Al jazeera sa we sikuwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom