Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Sa US ana F22 raptor ana F35 ataogopa Tomcat f14??

Israel anazitumia maeneo yasiyo na hatari huko Gaza na baadhi ya sehem za Syria tena za Israel zipo customized.

Israel saivi ni mwendo wa modified F15 striking eagle , F16 Falcon and 35

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo machuma wanaweza wasiyatumie wakawatumia mbu,,inzi, minyoo, na baadhi ya wadudu kibaiolojia wakasambaza ugonjwa dunia mzima na wao wakawa na dawa kama wafanyavyo Africa kwy Ebola, kipindu pindu, Malaria na vinginevyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa US ana F22 raptor ana F35 ataogopa Tomcat f14??

Israel anazitumia maeneo yasiyo na hatari huko Gaza na baadhi ya sehem za Syria tena za Israel zipo customized.

Israel saivi ni mwendo wa modified F15 striking eagle , F16 Falcon and 35

Sent using Jamii Forums mobile app
In addition,US ana advanced nuclear powed submarines,nuclear powered aircraft carrier,B-2 spirit bombers,B1 Lancer bomber,B-52,variants za F-35,nuclear bombs in Turkey among many na zote zipo middle east
 
US aliingia pakistan(a nuclear state),akamchomoa Osama karibu na jeshi la Pakistan na hawakushtuka mpaka marekani alipowataarifu,Marekani akiamua kumchukua ayatollah muda wowote anaotaka anaweza.
Israel kwa kutumia ndege ya kimarekani F-35 aliingia Iran last year akapiga picha maeneo sensitive ya Iran akaondoka na wala radar hazikumuona!US ni next level.
 
Jamaa wamemchoma kizembe Sana,yaani anajua kuwa anawindwa then anaingia Iraq kawa nyumbani kwake.Na jamaa wametoa order Kwa atakayekanyaga ubalozini alimwe Shaba.
Mjamaa huwa anaingia nakutoka Iraq Mara kwa Mara ni aliyekuwa hakai ofisini kabisa yaani Iraq alikuwa anakaa zaidi kuliko kwao uli mziki wa kuwatoa isis alikuwa anaenda mwenyewe kwa ground .
 
Frank, kwa mtu anayefuatilia siasa za uhasama za Iran na USA, the only conclusion one can draw from this act of "aggression" of USA against Iran, is that: this is an opportune kumtia adabu USA maana sasa Iran ana sababu ya kutumia any military capability at her disposal to retaliate kutetea sovereignty ya nchi yake na jumuia ya kimataifa ikamuunga mkono! Kuna mjadala mkubwa ongoing now on CNN, kama una nafasi angalia
Una angalia CNN .Change the channel bends kwenye intelligence sources Fox News or cbs
 
Wanahangaika na kitambaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Yenyewe huwa yanapigaga mayowe "death to america" huku yakichoma vitambaa. Leo kamanda mkiu wa vikosi vya ulinzi wa mapinduzi komandoo na generali kauliwa kama kuku. Yaani wamemgeuza vipande vya nyama fasta; wamarekani hawanaga mipasho wala maandamano ya kuchoma vitambaa wao ni actions tu tena actions za maana.
 
Back
Top Bottom