Marekani yamuua Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Iran katika shambulio la roketi la uwanja wa ndege wa Baghdad

Jamaa wana poor inteligence lkn waliishusha drone ya marekani ambayo tuliaminishwa ni latest kabisaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni kazi nzuri ya CIA au unaonaje mkuu, japo wape pongezi majasusi wabobezi CIA huku ukiendelea na maombolezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana Utam,
Iran wajue wamefanya ujinga mkubwa sana kwenda kushambulia ubarozi wa marekani katika kipindi ambacho TRUMP anamatatizo ya kisiasa, wamempa sababu ya kujimwambafai.

Ni heri wachukue maamuzi ya kutulia badala ya kukurupa kujaribu kujibu mapigo kijingajinga, Sababu baada ya huyo Komando, hao ma ayalatolla wote wanaweza uwawa, wote.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HIYO NDIO AMERICA BWANA IMESEMA WAZI SISI NDO TUMEMUUA UMEKASIRIKA INGIA MZIGONI UONE....IRAN MAKELELE TU HANA UBAVU WA VITA NA AMERICA UKWELI UKO HIVYO

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan IRAN Ilipo2ngua DRONE Ya US Ilijificha ?! ....[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwan Alokiri Kushambulia Nani Mkuu ?!
Yaani wewe unajua kama Mossad wakati wahusika walishajitaja [emoji12][emoji14][emoji14]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huku hua wanatuangalia tu tunavyowaita sijui mabeberu,wanatuona hatuna madhara wanatupotezea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Beberu ni Dume kubwa na tata kundini, hasa kundi la mbuzi, hutawala, humilki, hujivuna, kibeberu kidogo hivi hakina say! hili husambaza mbegu kwa mbuzi majike yote, kwa hiyo neno Beberu ni sifa!

Mtu ukimsifu sana kama Jiwe hana madhara kwako! ila usithubutu kumuita jiwe utakoma! sema Jonh Pombe Ma-lock, utasalimika!
 
Iran vs Usa?
vitu viwili tofauti kabisa.
 
Hahah na hilo jina lake siku hizi wateule wake wanalitamka majina yake yote manne,sasa kuna moja umelisahau hapo katikati'Jo'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ss hakuna jibu litatoka Toka TEHRAN Japo jibu litatoka 2 hatakama sio mwaka Huu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…