Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Hata mwanzo wakati hamas wanafanya ugaidi walishangilia na kuwasifu, sasa hivi kibao kimegeuka wanaanza kulialia na kutuma picha za kutisha mtandaoni ili kutafuta sympathymlivyo wajinga baada ya muda mfupi mnaanza sema ni vita dhid ya uslam wkt mnaanza
Nilikuwaga najua una akili kumbe umejaza mavi kichwani.Mtu Muhimu sana ni King wa Jordan kakataa Palestina wasiondoke pamoja na Misri, Saudia haya mataifa Marekani na Israel wanayaogopa sana.
Unashobo nenda basi kajiunge uwasaidie kuwaangamiza Hamas maana mwezi sasa kikundi kidogo tu kimewasumbua viizrael vina mbwembwe nyingi kama choko alie ona mboo ad leo wameshindwa nini kuitoa Hamas hapo Gaza kmmk.
walikuambia watatumia muda gan ?Unashobo nenda basi kajiunge uwasaidie kuwaangamiza Hamas maana mwezi sasa kikundi kidogo tu kimewasumbua viizrael vina mbwembwe nyingi kama choko alie ona mboo ad leo wameshindwa nini kuitoa Hamas hapo Gaza kmmk.
ukorofi huu [emoji23][emoji23][emoji23]Namba 6 kwa ubora duniani au siyo?
Kwa akili yako unadhani Waisral ni wagaliatia kama wewe angalia hapa wanachowafanyia wagalitia wenzako.Vijana wa mudi mbona mnamatusi na jazba! Au ndio mnavyofundishwa huko madrasa?
DuuuuuuuhMambo ya movie na uhalisia ni tofauti sana.
Nadhubutu kusema JWTZ ingechukua siku 3 tu kuimaliza Hamas
hahahah! Punguza jazba mkuu! Nani kasema mm ni mgalatia?Kwa akili yako unadhani Waisral ni wagaliatia kama wewe angalia hapa wanachowafanyia wagalitia wenzako.
Unaongea kama mwendawazimu.JWTZ ni moja ya kukosi kigumu cha ardhini yaani ni balaaa hao Hamas siku 2 hawapo
JWTZ imewahi kuzuia mapinduzi komoro na shelisheli ndani ya masaa 8 utatuambua nn
Sidhani kama haya unayosena yanaweza yakawa ni sahihi mkuu.tactic ya Hawa waarabu waliokutana ni hatari , wanataka kuwaingiza wapelestina wote wa Gaza washike siraha bila kulazimishwa. unajua kivipi ni hivi:-
kuwaambia wa Gaza wasiondoke nje ya Gaza,kwa kuwa hadaa watapolwa ardhi yao , ni mbinu, wapestine wa Gaza wakibaki Gaza, Hamas watakuwa na urahisi wa kujichanganya na raia na kufanya mashambulizi wakiwa ndani ya maeneo ya raia walipo , na Israel Kama alivyosimamia msimamo anapiga popote adui alipo , Sasa itafikia kipindi raia hawatakuwa na namna zaidi ya kujilinda kwa kuokoa maisha yao ili wasiuawe na sio kupigania ardhi , watashika bunduki kwa dhumuni la kulinda uhai wao , na hapo watakuwa wamesha kuwa recruited Kama wanamgambo wa Hamas bila kujua . Kama itatokea hivyo maana yake Vita inaweza kuwa kubwa na kusambaa maeneo yote ya Palestine ., na uharibufu utakuwa NI mkubwa mno. Na hapo kutatokea tishio la waarabu kuingilia Kati .
Hivi wewe usiambiwe toka kwenu waseme tu toka kwako utoke uende wapi?Na watakufa kweli, ukiliangalia lile li waziri la ulinzi la Israili unaona kabisa lina undugu na shetani hakiyanani na linamaanisha linachoongea.
Wapale wapishe tu huko walipoambiwa watoke Israili means business
Viongozi wa nchi za kiarabu wala hawajawahaa wapalestina.Wana uzoefu wa hali hiyo.Ni jambo jema kuwa safari hii wameweka wazi bila kificho.Wanasema yapo maazimio ya kuundwa taifa la wapalestina na hayajatekelezwa.Ukiwaambia watoke nani atakayeunda hilo taifa.Itakuwa ni kuunga mkono njama za Israel na kumaliza fikra za taifa hilo.tactic ya Hawa waarabu waliokutana ni hatari , wanataka kuwaingiza wapelestina wote wa Gaza washike siraha bila kulazimishwa. unajua kivipi ni hivi:-
kuwaambia wa Gaza wasiondoke nje ya Gaza,kwa kuwa hadaa watapolwa ardhi yao , ni mbinu, wapestine wa Gaza wakibaki Gaza, Hamas watakuwa na urahisi wa kujichanganya na raia na kufanya mashambulizi wakiwa ndani ya maeneo ya raia walipo , na Israel Kama alivyosimamia msimamo anapiga popote adui alipo , Sasa itafikia kipindi raia hawatakuwa na namna zaidi ya kujilinda kwa kuokoa maisha yao ili wasiuawe na sio kupigania ardhi , watashika bunduki kwa dhumuni la kulinda uhai wao , na hapo watakuwa wamesha kuwa recruited Kama wanamgambo wa Hamas bila kujua . Kama itatokea hivyo maana yake Vita inaweza kuwa kubwa na kusambaa maeneo yote ya Palestine ., na uharibufu utakuwa NI mkubwa mno. Na hapo kutatokea tishio la waarabu kuingilia Kati .
Kipigo atakachopokea cha Hamas afadhali mara 100 kwa sababu wanajulikana nani anawatuma , sasa watapigwa mpka wakamhadithie bibi yao anayewatuma IranHezbollah wapo tayari kuingia mzigoni.
Ila wamechokozwa tarehe 7 October , japo waliwakalia Gaza kimabavu hamas hawakutakiwa kudai haki kwa kuua raia, wangedai haki mezaniIsrael is a terrorist state.View attachment 2790944View attachment 2790943
NAWASIKITIKIA SANA RAIA KWA SABABU HAMAS NADHANI WAMESHAJIFICHA KARIBU WOTE KNYE MAHANDAKI RAIA NDO WANALIPA REVENGE YOTE HIIRaia wanyonge wa Palestine ndio wanalipia gharama kubwa za uhai wao kwenye huu mzozo.
Mungu awakumbuke wanyonge hawa....πππ
Wewe unalazimisha kutafuta bwana narudia tena sitaki Mashoga.Hutaki mazoea nani kakwambia kuna mazoea hapa? Hii ni Public forum mbwa wewe.
Siku nyingine kama hutaki ita mashoga wenzio muongee wenyewe ukija huku lazima wanaume tuta kuchallenge kisha uanze kulia lia hapa.
Shoga wewe na baba ako mzazi.
Na ndiyo upuuzi wao ulipo. Na ndiyo maana hao wanaolialia Sasa hivi awakulaani tukio la Hamas Bali waliwasifu Kama mashujaa. Tabia ya Israel ni kulipiza kisasi na lazima walipize kisasi. Kwahiyo msitegemee upige Israel wasilipize.Hata mwanzo wakati hamas wanafanya ugaidi walishangilia na kuwasifu, sasa hivi kibao kimegeuka wanaanza kulialia na kutuma picha za kutisha mtandaoni ili kutafuta sympathy