Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Taarifa tu haitoshi Marekani atoe msaada wa excavator kwa Israel kwaajili ya kuchimba makaburi
Wakianza kufumuliwa watoto na Wanawake alafu majamaa yanaenda kujifichia nyuma yao msianze kulialia mmeyataka wenyewe kule ilianza hivi hivi mkaanza kushangilia sasa hivi full vilio walemavu wa kudumu kibao Maiti ndio usiseme na Maiti kuu wameifumua huko huko Iran sasa nasemaje zipigwe tuone nani Bingwa
 
Wakianza kufumuliwa watoto na Wanawake alafu majamaa yanaenda kujifichia nyuma yao msianze kulialia mmeyataka wenyewe kule ilianza hivi hivi mkaanza kushangilia sasa hivi full vilio walemavu wa kudumu kibao Maiti ndio usiseme na Maiti kuu wameifumua huko huko Iran sasa nasemaje zipigwe tuone nani Bingwa
Kama huna ajira jiandae kwenda kuchimba makaburi Iran
 
Ndio hivyo beba jembe chepeo wahi Iran ukaandae majeneza utatajirika sana wauza majeneza wa palestina wachimba makaburi sasa wamekua mamilionea
Iran hawaziki na majeneza mi nakupa fursa ya ajira nenda na beleshi ya kuchimbia makaburi Israel utapiga sana hela kama unabisha baada ya wiki utakumbuka maneno yangu
 
Back
Top Bottom