Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Marekani yasema Iran itaishambulia Israel saa 72 zijazo

Anaenda kuuliwa huyo Ayatollah atakufa siku sio nyingi kila anaemgusa mwisrael kifo kipo mlangoni kwake sababu Israel ana mapandikizi Nchi zote Duniani namaanisha kila Nchi waisrael wapo
😆😆😆 hiki ni kichekesho kwakweli.

Kwamba washindwe kumuuwa kopindi amewapwlekea moto hadi kwenye ardhi yao.

Hivi unadhani Iran ni taifa dogo? Mashoga wa magharibi wameanza kuiwekea vikwazo Iran tangu mwaka 1979 hadi leo ili kuidhoofisha Iran lakini cha ajabu ndiyo inazidi kujiweka sawa kiuchumi na kijeshi.
 
Netanyahu anajua zinaelekea wapi maana zilipopita juu ya bunge alienda kufanyia operation ya tezi dume sasa hizi zinazopita juu ya ikulu sijui atafanyiwa operation ya nini
Ne
Netanyahu anajua zinaelekea wapi maana zilipopita juu ya bunge alienda kufanyia operation ya tezi dume sasa hizi zinazopita juu ya ikulu sijui atafanyiwa operation ya nini
Netanyahu atawamaliza nyie, hivi bado tu hamjamwelewa?.
 
😆😆😆 hiki ni kichekesho kwakweli.

Kwamba washindwe kumuuwa kopindi amewapwlekea moto hadi kwenye ardhi yao.

Hivi unadhani Iran ni taifa dogo? Mashoga wa magharibi wameanza kuiwekea vikwazo Iran tangu mwaka 1979 hadi leo ili kuidhoofisha Iran lakini cha ajabu ndiyo inazidi kujiweka sawa kiuchumi na kijeshi.
Israel inaenda kumuua huyo Ayatollah subiri uanze kulia
Huyo alikua kidomodomo wakamfyeka
 
Anaenda kuuliwa huyo Ayatollah atakufa siku sio nyingi kila anaemgusa mwisrael kifo kipo mlangoni kwake sababu Israel ana mapandikizi Nchi zote Duniani namaanisha kila Nchi waisrael wapo
Vita pande hizo hazijaanza jana wala juzi,,hivyo vitisho labda wanatishika makeyboard warrior wabongo waliopigwa limbwata na mwenge
 
MWISHO WA UTAWALA WA AYATOLA, WAIRAN WANAENDA KUPATA UHURU WAO.

IRAN WANAKWENDA KUFANYA KOSA KUBWA SANA. AYATOLA ATAFAKARI MUSTAKABALI WAKE.
 
Iran anashangaza, intelijensia yao ni ndogo, sasa anashambulia halafu taarifa zimeshawafikia Israel, watu wameshajiandaa kuingia kwenye bunkers , Iron Dome na Arrow 2&3 , David Sling zimeshaandaliwa kwa ajili ya kuzima makombora, hakuna vita hapo lakini Israel anafanya mashambulizi bila Iran kujua.
 
Iran anashangaza, intelijensia yao ni ndogo, sasa anashambulia halafu taarifa zimeshawafikia Israel, watu wameshajiandaa kuingia kwenye bunkers , Iron Dome na Arrow 2&3 , David Sling zimeshaandaliwa kwa ajili ya kuzima makombora, hakuna vita hapo lakini Israel anafanya mashambulizi bila Iran kujua.
Israel huwa anavizia Iran huwa anaitangazia dunia na anaishambulia kweli...
 
Back
Top Bottom