white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Hana loloteAyatollah bomayeee,,,wape shoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana loloteAyatollah bomayeee,,,wape shoo
Hata wajiljnde vipi lazima vyuma vya Iran vitue miji ya Israel kama target ilivyopangwa.Tayari wameshapanga kujilinda
Wamesikia redioni..Iranas FM ati.Nadhani haisikiki Israel kule: Kumekucha tena CCM wanaenda kutubamiza tena na kitu kizito kichwani kwa mfumuko wa bei: Sababu imepatikana_ Vita vya Iran na Iran_ Mchumi wa shahada ya daraja la juu Madelu a.k.a Mwigulu Nchemba katika ubora wake.Wamejuaje?
Kama hana watu wasingehangaika hiviHana lolote
Waarabu wanafail sana short temper zao zinawaponza sana.Peace,
Marekani imetoa taarifa rasmi ya shambulio la vita kamili kwa Israel kutoka Iran, huku mamlaka za Iran zikionya vikali nchi za Quatar, Saudi Arabia na Egypt kutoruhusu anga lao kutumiwa na Israel vinginevyo Iran itazishambulia pia.
![]()
US Pentagon official: Iran and its allies will launch a full-scale attack on Israel within the next 72 hours. Iranâs FM has notified Qa...
US Pentagon official: Iran and its allies will launch a full-scale attack on Israel within the next 72 hours. Iranâs FM has notified Qatar and Saudi Arabia that a military operation against Israel is imminent, cautioning them not to allow their airspace to be used against Iran.israelobserver.quora.com
Shida Iran sio mwarabuWaarabu wanafail sana short temper zao zinawaponza sana.
Muda ni mwalimu mzuriKama hana watu wasingehangaika hivi
Na mademu wabaki sio, ili Vijana wangu wasijichukulie sheria mkononiitapendeza zaidi kama wakipigana na kuuwana nchi zote mbili ili pabaki patupu, ili nikajitwalie hekta zangu kadhaa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.
Umesema Iran sasa umegeuzwa Meza umeelekea Israel Mzee Vipi?Iran hawaziki na majeneza mi nakupa fursa ya ajira nenda na beleshi ya kuchimbia makaburi Israel utapiga sana hela kama unabisha baada ya wiki utakumbuka maneno yangu
Kabisa na kuna battle na kuna war......unaweza ukashinda battle ila vita bado ikawa palepaleMuda ni mwalimu mzuri
Huyo kamanda hatanii lazima vyuma vitapepea kwenye ardhi ya Mazayuni.Ayatollah bomayeee,,,wape shoo
Kila anaejipendekeza analiwa kichwaKaa Mbali na Ukungu ulipita na Kichwa Cha Mtu Bado huyu Rais Mpya
Serikali ikusanye Vijana wasio na Ajira wawahi huko kuna Ajira za mazishiKama huna ajira jiandae kwenda kuchimba makaburi Iran
Mlisema hivyo hivyo kwamba Iran hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Mazayuni.Iran asiingie kichwa kichwa. Bora atulie aendelee kujijenga. Akikurupuka Atarudi ground zero.
Anaenda kuuliwa huyo Ayatollah atakufa siku sio nyingi kila anaemgusa mwisrael kifo kipo mlangoni kwake sababu Israel ana mapandikizi Nchi zote Duniani namaanisha kila Nchi waisrael wapoHuyo kamanda hatanii lazima vyuma vitapepea kwenye ardhi ya Mazayuni.
Iran ni taifa tishio kuliko taifa lolote mashariki ya kati ndiyo maana Mazayuni na mabwana zao hawalali usiku na mchana wakipanga kuidhoofisha Iran lakini imeshindikana kwa miaka licha ya kila aina ya vikwazo.
Kwani wewe ni mjumbe kwenye ile Kenua kenua FC?mimi siyo shabiki wa nchi yoyote hapo.
nataka wachapane manyukilia waishe wote, ili kwa mimi kama kunguru ninayependa vita vya panzi iwe fursa kwangu kwa kumiliki eneo kubwa la ardhi.