MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Iran asiingie kichwa kichwa. Bora atulie aendelee kujijenga. Akikurupuka Atarudi ground zero.Wakati huo huo Super career na zaidi ya marines 4000 wako njiani kuelekea Middle East, hii kitu US alikuwa anaisubiri miaka mingi sana 😀 😀
Lazima wamrudishe stone age this timeIran asiingie kichwa kichwa. Bora atulie aendelee kujijenga. Akikurupuka Atarudi ground zero.
Hapo ndio atajichanganya sasa maana akipiga na majirani watamgeuka. Akumbuke Iraq ilipovamia kuwait kilichomkuta.Hapo Iran kwa uoga amezitisha nchi nyingine kitoruhusu anga zao kutumika na Israel.
Unamaanisha shoo za kihindi.Ayatollah bomayeee,,,wape shoo
Labda ni kupitia Point of PresenceWamejuaje?
Hujui kingereza?Wamejuaje?
Iran waache wajipendekeze hawajapigwa wao wanajipeleka wakafumuliweWatu wanadhani Israel alikuwa hajui matokeo ya kumnyuka kiongozi wa Hamas ndani ya ardhi ya Iran...
Kwel ww ni kitombi-se[emoji3]itapendeza zaidi kama wakipigana na kuuwana nchi zote mbili ili pabaki patupu, ili nikajitwalie hekta zangu kadhaa kwa ajili ya shughuli za kilimo na ufugaji.
Wakianza kufumuliwa watoto na Wanawake alafu majamaa yanaenda kujifichia nyuma yao msianze kulialia mmeyataka wenyewe kule ilianza hivi hivi mkaanza kushangilia sasa hivi full vilio walemavu wa kudumu kibao Maiti ndio usiseme na Maiti kuu wameifumua huko huko Iran sasa nasemaje zipigwe tuone nani BingwaTaarifa tu haitoshi Marekani atoe msaada wa excavator kwa Israel kwaajili ya kuchimba makaburi
Kama huna ajira jiandae kwenda kuchimba makaburi IranWakianza kufumuliwa watoto na Wanawake alafu majamaa yanaenda kujifichia nyuma yao msianze kulialia mmeyataka wenyewe kule ilianza hivi hivi mkaanza kushangilia sasa hivi full vilio walemavu wa kudumu kibao Maiti ndio usiseme na Maiti kuu wameifumua huko huko Iran sasa nasemaje zipigwe tuone nani Bingwa
Mkuu hapo unapoandika wao wanakusoma sempre.Wamejuaje?
Ndio hivyo beba jembe chepeo wahi Iran ukaandae majeneza utatajirika sana wauza majeneza wa palestina wachimba makaburi sasa wamekua mamilioneaKama huna ajira jiandae kwenda kuchimba makaburi Iran
Iran hawaziki na majeneza mi nakupa fursa ya ajira nenda na beleshi ya kuchimbia makaburi Israel utapiga sana hela kama unabisha baada ya wiki utakumbuka maneno yanguNdio hivyo beba jembe chepeo wahi Iran ukaandae majeneza utatajirika sana wauza majeneza wa palestina wachimba makaburi sasa wamekua mamilionea
Mixa hadi za shaka zuluUnamaanisha shoo za kihindi.
zinako patikanaHizi habari huwa mnazitolea wapi?