Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.

Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.

Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.

Chanzo: Yediot News Tel Aviv.

Screenshot_20241001-180028_1.jpg
 
😂😂😂😂
Sawa soma hiyooo
View attachment 3112349
Kwamba Israel wanamuogopa Putin. Kwamba Netanyahu amempigia simu Puton ambembeleze? Kwamba Putin anataka aishambulie Israel kwa kushirikiana na Iran? Yaani mtu ambaye ana boriti jichoni mwake(Ukraine) aje kupambana na Israel?

We Kafiri mwenzangu wa Minjinjo Kilwa Masoko hata kama ni mahaba na waarabu wenzetu ila naona akili yako inashida.

Pole.
 
Kwamba Israel wanamuogopa Putin. Kwamba Netanyahu amempigia simu Puton ambembeleze? Kwamba Putin anataka aishambulie Israel kwa kushirikiana na Iran? Yaani mtu ambaye ana boriti jichoni mwake(Ukraine) aje kupambana na Israel?

We Kafiri mwenzangu wa Minjinjo Kilwa Masoko hata kama ni mahaba na waarabu wenzetu ila naona akili yako inashida.

Pole.
Yaan nimebaki kushangaa mimi bwana yule alisema ile OP ya siku kadhaa bwana sasa hivi ni zaidi ya miaka, mzee putin is overrated hio p ni herufi ndogo ina maana yake
 
Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo : Yediot News Tel Aviv
View attachment 3112344
Simu unayopiga kwa sasa haipatakani ndugu mteja fanya mipango uende hata kwa miguu kumtafuta mwamba!
 
Back
Top Bottom