Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Israel ni kiburi.amewaua viongozi wa Iran, Hamas na Hezbollah. Haipaswi kuonewa huruma anatakiwa kutandikwa mpaka ashike adabu. Kwanza naona Iran amekua mpole sana achilia mbali Mauaji ya raia palestina na Lebanon zaidi ya elfu 20 watoto na wanawake.
Iran ameingia US anaingia.
 
Inaonekana marekani huwa anataarifa zote muhimu kwani alishatoa angalizo mapema na kweli Iran imesharusha Missile zaidi ya 200 ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa.
Yetu macho ngoja tusubiri mapigo ya Israel kwani wamechafukwa.
Iran iliijulisha marekani na Urusi kabla ya kufanya mashambulizi. Ni kawaida hiyo siyo ajabu
 
Iran kabla ya Kupiga amemtaarifu Usa na Urusi, Juzi Waziri husika wa Urusi alikua Iran wamepanga mipango yao wametoa na Taarifa wanapiga.

So taarifa walikuwa nazo na wameshindwa kuzuia kitu, huu ni ushindi mkubwa kuliko wangepiga kwa kushtukiza.
Wapuuzi tuu hao
 
Inakuaje Marekani ajue mapema? Au Huwa wanapeana taarifa Ili wajiandae na kuwazubaisha Wananchi Kisiasa?

Upuuzi mtupu
Pale Mashariki ya kati kuna nchi zina share interegensia na Marekani na Israel, nchi hizo ni Misri, Jordan, Saudia Arabia nk

Ni kawaida kabla ya kushambulia nchi husika inayokusudia kufanya hivo huwa ina share taarifa na baadhi ya nchi mfano lile shambulia la kwanza la Iran kwenda Israel - Iran iliitarifu moja kwa moja Marekani kuwa leo tunakusudio la kuishambulia Israel.

Kuhusu kujua kama Iran itajibu mapigo US alikuwa anajua tongu siku Israel imemuua Ismail Haniyeh ila haikujua specific itakuwa lini, Iran ilisema this time haitoijulisha US ila kuna vyanzo vya habari vinadai kuwa Iran iliwajulisha Urusi na Marekani labda ndiyo maana Netanyahu aliamua kujaribu kumtafuta Vladimir Putin ajaribu kuongea na Ayatollah Ally Khomeini asiwashambulie.
 
Pale Mashariki ya kati kuna nchi zina share interegensia na Marekani na Israel, nchi hizo ni Misri, Jordan, Saudia Arabia nk

Ni kawaida kabla ya kushambulia nchi husika inayokusudia kufanya hivo huwa ina share taarifa na baadhi ya nchi mfano lile shambulia la kwanza la Iran kwenda Israel - Iran iliitarifu moja kwa moja Marekani kuwa leo tunakusudio la kuishambulia Israel.

Kuhusu kujua kama Iran itajibu mapigo US alikuwa anajua tongu siku Israel imemuua Ismail Haniyeh ila haikujua specific itakuwa lini, Iran ilisema this time haitoijulisha US ila kuna vyanzo vya habari vinadai kuwa Iran iliwajulisha Urusi na Marekani labda ndiyo maana Netanyahu aliamua kujaribu kumtafuta Vladimir Putin ajaribu kuongea na Ayatollah Ally Khomeini asiwashambulie.
Sasa huo si ni upuuzi?
 
Netanyahu ana mtihani haswa maana avuke Syria na Iraq kuipiga Iran hapo kuna mtihani
Kwa mtazamo wangu Israel akifanya pupa kuirudisha mapigo anaweza kujikuta anaiingiza Israel kwenye vita ambayo hakuitegemea. Kwasasa anahitaji kuwa karibu sana na wanasaikolojia na washauri wake.
 
Iran imetangaza rasmi kuwa ipo vitani na Israel. Nawaletea official report soon.
Iran wame beep ngoja Israel wawapigie.
Iran iliijulisha marekani na Urusi kabla ya kufanya mashambulizi. Ni kawaida hiyo siyo ajabu
Na nia na madhumuni ya kufanya hivyo huwa ni nini hasa???
Mimi nilikuwa najuwa kwenye vita huwa ni mashambulizi ya kumushutikiza adui.
 
Iran wame beep ngoja Israel wawapigie.

Na nia na madhumuni ya kufanya hivyo huwa ni nini hasa???
Mimi nilikuwa najuwa kwenye vita huwa ni mashambulizi ya kumushutikiza adui.
Iran Huwa habeep .ameshatoa Tahadhari kuwa Israel akijibu basi atajibiwa vikali zaidi ya Jana. Sababu ya kutoa taarifa ni uhusiano wa kidiplomasia kama Kuna vitu vya Haraka haraka vya kuondoa wavitoe kabla shambulizi halijafanyika. Ndio maana Marekani iliwaambia raia wake mapema kuwa wasitoke nje wakae kwenye mahandaki n.k
 
Iran Huwa habeep .ameshatoa Tahadhari kuwa Israel akijibu basi atajibiwa vikali zaidi ya Jana. Sababu ya kutoa taarifa ni uhusiano wa kidiplomasia kama Kuna vitu vya Haraka haraka vya kuondoa wavitoe kabla shambulizi halijafanyika. Ndio maana Marekani iliwaambia raia wake mapema kuwa wasitoke nje wakae kwenye mahandaki n.k
Shukrani kwako kiongozi kwa kunifafanulia nini hasa maana ya kutoa tahadhari.
 
Back
Top Bottom