Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.

Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.

Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.

Chanzo: Yediot News Tel Aviv.

Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran
 
Kwani Russia aliwezaje kumsaidia Syria kudungua makombora ya Israel!??
Hivi unajua hata hizi vita zinaendeshwaje we jamaa!?
Putin kupigiwa simu ni kwaajili ya kuongea na Iran amtulize Iran.
Kwasababu Iran na Russia ni marafiki.
Na kama kushambulia hujaambiwa Russia atamsaidia Iran laa hasha.
IRan atafanya shambulizi mwenyewe pasi na usaidizi.
Ila mtu wa kuzungumza naye na kumtuliza ni Russia.
Upo hapo kijana!?
Story za swala ya saa 1 hizi.
 
Moderqtor, kwanini nyuzi zizowasifu mazayuni unaziwacha ziwe headline. Zinazowasifu wapalestina na Iran unazipeleka nyuzi za zamani ili ziwe back pages, zisionekane?

Au na wewe katika wajinga ndiyo waliwso mliosminishwa kuwa mazayuni ni wajomba zake Mungu wenu?
 
Duh white house wanasema saiv hapa kwenye briefing yao kuwa wamembeba Myahudi wamemsaidia kuitercept madungu ya Iran😄😄😄😄.Kumbe Iran inapigana na Marekani!!!!!
 
Mrusi aingie kati kubalnce mizani ,,,,,yaani Marekani anasimama kwenye podium anajisufu kabisa amemsaidia myahudi kuitercept madungu lakini myahudi anakuja mbele anaisifu Iron uchafu dom🥴
 
Hizi vita haijalishi atakaye shinda nani,
pande zote watapata hasara!
Wangekaa wayamalize tu kama majirani...wahanga ni wamama na watoto!
VERY SAD.
 
Hizi vita haijalishi atakaye shinda nani,
pande zote watapata hasara!
Wangekaa wayamalize tu kama majirani...wahanga ni wamama na watoto!
VERY SAD.
Diplomacy is for the weak wacha wazipache,imekuwa hivyo na itaendelea kuwa hivyo. Huwezi kunigotiate na mtu anayekudharau. Let them guns talk🤝
 
serekali ya Israeli wanawatishia raia wasiseme madungu yamewaletea madhara gani🤣🤣🤣🤣🤣. Israeli ni wajinga sana wanategemea sana propaganda ila ni Hamas waliochangamka wakibebwa na Marekani. Israeli wamewafungia mpaka aljazera ofisi zao ili wasireport kipigo anachopokea😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom