dude lingine tenaππππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯Ni rockets tu na nyingine zinazuiwa ama k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dude lingine tenaππππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯Ni rockets tu na nyingine zinazuiwa ama k
Ampigie Putin ili iweje? Yaani kwa ajili ya Iran ndiyo apoteze muda wake kumpigia Putin?Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
Hatari.Mkuu, wa TZ tujiandae na kilimo cha vuli maana mvua itakuwa ya kurosha.
Dah...We MzeeIran hamna lolote.
Watarusha vikombora vyao kwenye mchanga halafu watadai wamejibu mapigo.
Ni lazima wafanye kitu, hata kama ni cha maigizo tu.
Israel imewadhalilisha sana. Kupita kiasi.
Sijasema Mimi wamesema Yediot News kutoka Israel au huna Imani Tena na wateule wa Mungu?Ampigie Putin ili iweje? Yaani kwa ajili ya Iran ndiyo apoteze muda wake kumpigia Putin?
Au mmeshajisahaurisha kuwa leo hii mlileta nyuzi za kwamba Putin anaionya Istrael isiishambulie Iran?
Basi Kaa jf Kwa kutulia utajuaSikuwahi kujua wala hao siwajui ni akina nani? ππππ
Kwani Russia aliwezaje kumsaidia Syria kudungua makombora ya Israel!??Putin mwenye mwiba unamsumbua yaani Mukraine eti leo aje amsaidie Muajemi? We huoni kwanini China na wale akina Kiduku wapo kimya? Huoni waarabu wengi wamenyamaza wote hadi Uturuki leo Mrusi amsaidie Muiran?
Kwa ajili ya nini hasa?
Ndo maana yake kwamba wakijichanganya tu Urusi anaungana na Iran kumaliza kazi.Putin hajapokea simu ya Netanyau manaake Iran kapewa GO AHEAD!!!!π₯π₯π₯π₯π₯π€π₯π₯π₯π₯
Unaenda kuchukua Fake News X halafu unakuja kuzifungulia Uziπ
Kawaua sana Iran amevumilia sana sasa kujibu mapigo ni kosa?Nasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
Uliwahi kusikia Israel anapeleka msaada wowote kwa Ukraine? Israel yupo katikati ya Marekani na UrusiPutin Hana urafiki na manyang'au