BIG DOGG
JF-Expert Member
- Sep 15, 2024
- 1,869
- 2,707
Eeh kama mbwai iwe mbwai baridaSiti ya mbele kabisa😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥🔥🚨🚨🚨🚨🚨🚨Tel aviv kuna waka mabomu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeh kama mbwai iwe mbwai baridaSiti ya mbele kabisa😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥🔥🚨🚨🚨🚨🚨🚨Tel aviv kuna waka mabomu!!!
WW3 inanukia👹👹👹👹Israel ni kama Yanga. SC. Haimwogopi yeyote
Acha waanze afu wakifuatwa sasa tupate kivimba tenaMarekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
Si rahisi kihivyoWW3 inanukia👹👹👹👹
Yashafika,yamepita palestina wapalestina wameshambulia kama goli la mzizeKunawaka mabomu wakati mabomu bado yapo NJIANI....
Soon tu utasikia mkuu , Israel mtoa roho Hana hurumaNasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
Akipiga raia na yeye raia si anaoNasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
Endelea kupigwa propaganda na mashog,a Israel wakati wanaume wanatenda tu.Nasubiri zile kauliza Israel anauwa wanawake na watoto wasio na hatia
Iran kajaa kwenye mfumoSiti ya mbele kabisa😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥🔥🚨🚨🚨🚨🚨🚨Tel aviv kuna waka mabomu!!!
Ni rockets tu na nyingine zinazuiwa ama kutunguliwa.Siti ya mbele kabisa😁😁😁😁🔥🔥🔥🔥🔥🚨🚨🚨🚨🚨🚨Tel aviv kuna waka mabomu!!!
Mkuu, wa TZ tujiandae na kilimo cha vuli maana mvua itakuwa ya kurosha.Dunia imechangamka sasa
Usiombe vita wewe watakaoumia ni wayahudi warabu na wairanMuda wa bunker buster kuingia mzigoni umewadia.
Mito ya pombe na mabikra 72 waongezwe huko jehanamu