Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
- Thread starter
- #61
Simjui ndio nani?Anasakwa Dubwe hapo si unamjua Dubwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simjui ndio nani?Anasakwa Dubwe hapo si unamjua Dubwe?
😂😂😂😂😂😂😂😂Simu unayopiga kwa sasa haipatakani ndugu mteja fanya mipango uende hata kwa miguu kumtafuta mwamba!
Hatimaye mlengwa halisi WA hii vita anataka kumeza ndoano....karibu Sana Ayatollah!Huo ni mtego kwa Iran ili afanywe kama Iraq soon. Anatafutiwa kisingizio ili aingie kwenye line
Kwahiyo leo umeziamini media za mabeberu sio propaganda tena sheikh? Hapo ndio nawaonaga vilaza aisee.Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
View attachment 3112344
Iran kuishambulia israel sio habari mpyaHii habari ni kweli kabisa
Habari ikiwa ya upande wao ni credible source ila ikiwa tofauti na wao ni propagandaKwahiyo leo umeziamini media za mabeberu sio propaganda tena sheikh? Hapo ndio nawaonaga vilaza aisee.
Unaenda kuchukua Fake News X halafu unakuja kuzifungulia Uzi😁
Putin kagoma kupokea simu.
View attachment 3112375
Ni mda wenu wa kujifariji hata nasrallah mlimuingiza mkenge hivi hiviPutin kagoma kupokea simu.
View attachment 3112375
Scapegoat huyo akiguswa tu WWIII hii hapaSimjui ndio nani?
Nimewaletea kutoka source za Israel na marekani ili msilete ubishi.Kwahiyo leo umeziamini media za mabeberu sio propaganda tena sheikh? Hapo ndio nawaonaga vilaza aisee.
Iran wakifanya hili shambulio anayefuata kuuliwa ni ayataollah ali khemenei![]()
Live updates: Iran is preparing to launch a ballistic missile attack at Israel
Follow NBC News' coverage of Israel's ground operation in Lebanon against Hezbollah and Iran's response as the U.S. urges against all-out war in the Middle East.www.nbcnews.com
Mimi kosa langu ni nini?😂Ni mda wenu wa kujifariji hata nasrallah mlimuingiza mkenge hivi hivi
Andika kiswahili mi sijasomaScapegoat huyo akiguswa tu WWIII hii hapa
R.I.H in Advance Ali KhameneiMarekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
View attachment 3112344
Escalation...Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo: Yediot News Tel Aviv.
View attachment 3112344
Kwanini ulete leo na habar hii tu. Mnaonyesha mlivyo vilaza. Hiv ni kwamba hamuwez kuwa na akili timamu hata kwa lisaa tu?Nimewaletea kutoka source za Israel na marekani ili msilete ubishi.
😂😂😂😂
Sawa soma hiyooo
Una ushabiki wa kipumbavu mnoo.Sasa mkuu kujua kiongozi wa Hezbollah kauwawa ni ushabiki wa dini? Wewe hukuisikia hii taarifa?