Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin

Pigaa mahoga haoooo na ysukuu tunahakikisha wanato nyaaa
 
Moderqtor, kwanini nyuzi zizowasifu mazayuni unaziwacha ziwe headline. Zinazowasifu wapalestina na Iran unazipeleka nyuzi za zamani ili ziwe back pages, zisionekane?

Au na wewe katika wajinga ndiyo waliwso mliosminishwa kuwa mazayuni ni wajomba zake Mungu wenu?
Bora umesema modetor wabaguzi sana wanadhani watageka wayaudi kwa kuzifubaza nyuzi za kishujaaa😆😆😆.
Moderqtor, kwanini nyuzi zizowasifu mazayuni unaziwacha ziwe headline. Zinazowasifu wapalestina na Iran unazipeleka nyuzi za zamani ili ziwe back pages, zisionekane?

Au na wewe katika wajinga ndiyo waliwso mliosminishwa kuwa mazayuni ni wajomba zake Mungu wenu?
 
Moderator wa jf mjifunze kuliacha jukwaa hili kuwa huru. Kama mtu unamahaba sana na Wayahudi au Waajemi anzisha nyuzi zako sio kuanza kubebanisha nyuzi zetu wakereketwa 🤗
 
Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.

Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.

Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.

Chanzo: Yediot News Tel Aviv.

Inakuaje Marekani ajue mapema? Au Huwa wanapeana taarifa Ili wajiandae na kuwazubaisha Wananchi Kisiasa?

Upuuzi mtupu
 
Israeli ikichangiwa na Magaidi lazima isaidiwe.
Israel ni kiburi.amewaua viongozi wa Iran, Hamas na Hezbollah. Haipaswi kuonewa huruma anatakiwa kutandikwa mpaka ashike adabu. Kwanza naona Iran amekua mpole sana achilia mbali Mauaji ya raia palestina na Lebanon zaidi ya elfu 20 watoto na wanawake.
 
Mataifa makubwa yanaheshimiana kabla ya kuanza kuipiga Israel Iran alimpa taarifa wa kwanza Urusi na wapili marekani.ni kawaida
Sasa hapo wanacheza mchezo wa Kisiasa kuwapooza Wananchi wao wapuuzi ikiwa ni njia ya kupunguza shinikizo Kwa Wanasiasa.

Ndio maana sijawahi ona madhara kwenye mashambulizi ya maigizo kama haya.

Israel yenyewe inafanya ambush za Nguvu ndio maana wanaua maelfu ya watu na Viongozi wa Hamas na Iran nk maana hawawapi mda wa kujiandaa.

Huu upumbavu anaifanya Iran hauna maana yeyote stupid zao.
 
Sasa hapo wanacheza mchezo wa Kisiasa kuwapooza Wananchi wao wapuuzi ikiwa ni njia ya kupunguza shinikizo Kwa Wanasiasa.

Ndio maana sijawahi ona madhara kwenye mashambulizi ya maigizo kama haya.

Israel yenyewe inafanya ambush za Nguvu ndio maana wanaua maelfu ya watu na Viongozi wa Hamas na Iran nk maana hawawapi mda wa kujiandaa.

Huu upumbavu anaifanya Iran hauna maana yeyote stupid zao.
Inatakiwa uwe muelewa kuifahamu Iran. Iran inaongozwa na Imani ( dini) kuuwa raia watoto na wanawake siyo kipaumbele kwa sababu ni innocent. Kwasababu hayo mabomu yote unayoyaona wangeweza kuyaelekeza kwa raia badala ya Kambi za kijeshi na sehemu muhimu . Israel anaua watoto wanawake na raia. Hii ndio tofauti kubwa kati ya Israel na Iran. Imeripoti channel 13 Hebraw News
 
Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.

Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.

Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.

Chanzo: Yediot News Tel Aviv.

Inaonekana marekani huwa anataarifa zote muhimu kwani alishatoa angalizo mapema na kweli Iran imesharusha Missile zaidi ya 200 ndani ya Israel na kuleta madhara makubwa.
Yetu macho ngoja tusubiri mapigo ya Israel kwani wamechafukwa.
 
leo Mrusi amsaidie Muiran?

Kwa ajili ya nini hasa?
Unajua maana ya geopolitics? Iran ikiangushwa na Israel itahatarisha maslahi ya Urusi mashariki ya kati. Ndio maana Syria ni magofu ila Putin hajaiachia mpaka leo.

Hujiulizi kwanini Djibouti au Somalia zinagombewa ilihali hazina lolote la maana?
 
Inakuaje Marekani ajue mapema? Au Huwa wanapeana taarifa Ili wajiandae na kuwazubaisha Wananchi Kisiasa?

Upuuzi mtupu
Iran kabla ya Kupiga amemtaarifu Usa na Urusi, Juzi Waziri husika wa Urusi alikua Iran wamepanga mipango yao wametoa na Taarifa wanapiga.

So taarifa walikuwa nazo na wameshindwa kuzuia kitu, huu ni ushindi mkubwa kuliko wangepiga kwa kushtukiza.
 
Iran hamna lolote.

Watarusha vikombora vyao kwenye mchanga halafu watadai wamejibu mapigo.

Ni lazima wafanye kitu, hata kama ni cha maigizo tu.

Israel imewadhalilisha sana. Kupita kiasi.
My Lord, I wonder
 
Back
Top Bottom