Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wewe hapo kwako ulijuaje Nasrallah kauliwa na magaidi ya IDF?We upo Kilwa Masoko umejuaje hayo?
Sikuwahi kujua wala hao siwajui ni akina nani? ππππWewe hapo kwako ulijuaje Nasrallah kauliwa na magaidi ya IDF?
ππππSikuwahi kujua wala hao siwajui ni akina nani? ππππ
πππππππππππWewe hapo kwako ulijuaje Nasrallah kauliwa na magaidi ya IDF?
ππππππππππππππWe upo Kilwa Masoko umejuaje hayo?
Soma iyooππIran hamna lolote.
Watarusha vikombora vyao kwenye mchanga halafu watadai wamejibu mapigo.
Ni lazima wafanye kitu, hata kama ni cha maigizo tu.
Israel imewadhalilisha sana. Kupita kiasi.
Putin Hana urafiki na manyang'auNetanyahu na Baiden ni marafiki
Netanyahu na Putin ni marafiki
Baiden na Putin hawaivi
Je Netanyahu na Putin wakikaa hawazungumzii US!?
Kwamba Israel wanamuogopa Putin. Kwamba Netanyahu amempigia simu Puton ambembeleze? Kwamba Putin anataka aishambulie Israel kwa kushirikiana na Iran? Yaani mtu ambaye ana boriti jichoni mwake(Ukraine) aje kupambana na Israel?
Sasa tusubiri tuone itakuwajeIran hamna lolote.
Watarusha vikombora vyao kwenye mchanga halafu watadai wamejibu mapigo.
Ni lazima wafanye kitu, hata kama ni cha maigizo tu.
Israel imewadhalilisha sana. Kupita kiasi.
Putin mbwembwe nyingi ila ngoja nipige zipu domolanguDunia imechangamka sasa
Unacheka mkuu? Mwarabu mwenzangu wa Kipatimo Kilwa Masoko atakuwa amechanganyikiwa sio bure. πππππππππππππππ
ππππππππππππππ
Putin mwenye mwiba unamsumbua yaani Mukraine eti leo aje amsaidie Muajemi? We huoni kwanini China na wale akina Kiduku wapo kimya? Huoni waarabu wengi wamenyamaza wote hadi Uturuki leo Mrusi amsaidie Muiran?Putin mbwembwe nyingi ila ngoja nipige zipu domolangu
Yaan nimebaki kushangaa mimi bwana yule alisema ile OP ya siku kadhaa bwana sasa hivi ni zaidi ya miaka, mzee putin is overrated hio p ni herufi ndogo ina maana yakeKwamba Israel wanamuogopa Putin. Kwamba Netanyahu amempigia simu Puton ambembeleze? Kwamba Putin anataka aishambulie Israel kwa kushirikiana na Iran? Yaani mtu ambaye ana boriti jichoni mwake(Ukraine) aje kupambana na Israel?
We Kafiri mwenzangu wa Minjinjo Kilwa Masoko hata kama ni mahaba na waarabu wenzetu ila naona akili yako inashida.
Pole.
Simu unayopiga kwa sasa haipatakani ndugu mteja fanya mipango uende hata kwa miguu kumtafuta mwamba!Marekani imetoa taarifa hivi punde kuwa Iran imepanga kushambulia Israel hii Leo masaa machache yajayo. Kupitia kwa intelligence mbalimbali maofisa wa marekani wanaeleza kuwa shambulio hilo litafanyika masaa 12 yajayo.
Israel imesema imeshajiandaa kwa shambulio hilo na Wananchi wametelekezwa kukaa karibu na mahandaki.
Inaelezea kuwa waziri mkuu bwana Netanyahu anajaribu kutafuta mawasiliano ya Rais Putin wa Russia katika juhudi za kuisaidia kuzuia Iran asiishambulie Israel.
Chanzo : Yediot News Tel Aviv
View attachment 3112344