Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Hiyo taarifa inaanza kutia mashaka kwenye maneno Israel SAYS! Kwanini tuamini anachokisema Israel?
Hiyo video yako kabla haijanipotezea MBs zangu, inaonesha makombora/drones zote zilizotumwa na Iran kuishambulia Israel ili tukipiga hesabu tupate hiyo 99%?
BADO HUJASEMA๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 

Attachments

  • FB_IMG_1713079095329.jpg
    FB_IMG_1713079095329.jpg
    28.2 KB · Views: 2
Nyuma ya pazia Marekani nchi za kiarabu na Iran waongea kuhusu hilo shambulizi linoandaliwa na Iran lakini Iran lazima watafanya shambulizi.

Iran ana options nyingi tu na si lazima iwe ni makombora.

Iran yaweza kufanya mashambulizi ya "cyber attacks" ili kuua uwezo wa Israeli kwenye mitandao ya internet na mashambulizi mengine ya kimkakati.

"Miscalculations" yoyote italeta athari kubwa ndo maana bado Iran wametumia muda kupata shambulizi murua.

Lengo la Israeli na Marekani ni kutaka Iran akosee kufanya mashambulizi ili wapate sababu ya kushambulia vinu vya nyuklia jambo ambalo litaleta athari Iran zaidi kuliko Israeli na Marekani.

Ila Israeli atafaidika kwa kuwa na uhakika ametibua vinu vya nyuklia vya Iran visiwe na nguvu.

IMG_20240414_150531.jpg
 
Ayatollah mbona haeleweki, anaenda mbele mara anarudi nyuma

Al-Arabia:

Iran's mission to the United Nations:

โ€œResponse [to Israel] can be avoided if the United Nations condemns the attack on our consulate in Damascusโ€

Vipi SoMo Bado kueleweka?
 
Back
Top Bottom