Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimenuka je?Kishanuka huko!!!!
Nenda TwitterKimenuka je?
⚡️A large number of Iron Dome missiles were launched in the Upper Galilee after a salvo of 50 missiles was launched from LebanonKimenuka je?
Humu kuna watu walikua wanasema Irone dome sio effective dhidi ya rockets za Hezbollah Ila Leo naona zinavyopanguliwa huko juu kwa juu kama senene.
Ma Ayyatollah ya buza utayaweza?Humu kuna watu walikua wanasema Irone dome sio effective dhidi ya rockets za Hezbollah Ila Leo naona zinavyopanguliwa huko juu kwa juu kama senene.
Chini ya utawala wa Mungu.Hivi ni lini hii Dunia itakuwa na amani ya kudumu???
Hawa watu nao safari hii intelijensia zao zimefeli. Ama, Iran anawamislead maksudi.1. Zipo jitihada nyingi za kheri kuzuia Shari. Ugumu uliopo uko wazi:
View attachment 2960775
2. Hata hivyo wanayo kheri kuu walio wapatanishi na wenye kuipigania amani pasipo kukoma:
View attachment 2960565
3. Kumbe kipi kilicho bora zaidi, binadamu apitishwapo kwenye lindi la mauti?
View attachment 2960549
4. Hadi pale Iran atakapothibisha vinginevyo, kazi ingalipo:
View attachment 2960557
5. Si kwa Natenyahu, bali kwa waliomo na wasio kuwamo.
Ichikizee hata kule Ukraine kinasemaga hivyo hivyo ironclad, ironclad, ironclad lakini mambo ya azidi kuwa magumu tu.“We also want to address the Iranian threat to launch a significant – they’re threatening to launch a significant attack in Israel,” Biden said. “As I told Prime Minister Netanyahu, our commitment to Israel’s security against these threats from Iran and its proxies is ironclad. Let me say it again, ironclad. We’re gonna do all we can to protect Israel’s security.”
Kwahyo kipindi hiki anafurahi tuu wakati watu wanauana???Yesu akirudi
Kwani Kuna kipindi hii Dunia ilishawahi kuwa chini ya utawala wa Mungu???Chini ya utawala wa Mungu.
Kabla ya uasi kwenye EdenKwani Kuna kipindi hii Dunia ilishawahi kuwa chini ya utawala wa Mungu???
Eeh Ina maana kwasasa Dunia ipo chini ya utawala wa shetani???Chini ya utawala wa Mungu.
Hapo walikuwa watu wawili tuuu!!!Kabla ya uasi kwenye Eden
Mwenye njaa hana muda wa kuwaterea wengine hutetea tumbo lake