Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

Marekani yasema kipigo kutokea Iran ni suala la muda tu

1. Si rahisi kwa mindsets kama hizi za waisrael na aina ya kina FaizaFoxy au Malaria 2 na wenzao.

2. ZIngatia waisrael wanaamini wapalestina ni kama wanyama tu wasiostahili kuishi. Buza hapo MK254, Moisemusajiografii na wenzao wafia dini wa namna hIyo wanawakilisha. Wafia dini hawa wajulikani ni wa dini gani maana mwisrael Wala SI dini yao!

3. Hawa wengine nao wanaamini ni vita dhidi ya uislam japo wapalestina hawajasema hivyo. Hawa ni wafia uislam, piga ua hawa damu kutoka masikioni haibadilishi kitu!

4. Shughuli yake waiona hapo? Vita vya kidini si anashinda Mungu? Si balaa la kufaa mtu hilo? Hadi aje Mungu mwenyewe kuweka mambo yake sawa.

5. Suala la vita vya ardhi limevamiwa na la wenye agenda zao. Basi tena disco limevamiwa na wamorani. Kuna kupona mtu hapo?

Waiona shughuli ilivyo pevu ndugu?

a) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

b) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.
Asante ndugu......wafia dini wa pande zote sijui Mungu wao ni yupi ambae amebariki mauaji na dhulma.
Mungu atuongoze sana!!!
 
1. Zipo jitihada nyingi za kheri kuzuia Shari. Ugumu uliopo uko wazi:

View attachment 2960775

2. Hata hivyo wanayo kheri kuu walio wapatanishi na wenye kuipigania amani pasipo kukoma:

View attachment 2960565

3. Kumbe kipi kilicho bora zaidi, binadamu apitishwapo kwenye lindi la mauti?

View attachment 2960549

4. Hadi pale Iran atakapothibisha vinginevyo, kazi ingalipo:

View attachment 2960557

5. Si kwa Natenyahu, bali kwa waliomo na wasio kuwamo.
Israel yupo imara anawatamani sana hao magaidi wa Iran ambao wamejiapiza kuifuta Israel katika uso wa dunia.
 
Israel yupo imara anawatamani sana hao magaidi wa Iran ambao wamejiapiza kuifuta Israel katika uso wa dunia.

1. Hayupo mwenye akili zake anaweza kuwa popote akitaka vita ati kwa kuwa ni imara kama si uwenda kuzimu.

2. Kwani walikuwapo kuliko kina Samson au Goliath?

3. Hapo #2, mweke Roman empire kwenye fridge kwanza, utamrejea baadaye.
 
Aaah kule wamenifukuza mtani 🤣🤣🤣
Kama ndivyo, watakuwa hawapendi wajuaji!

Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.
 
1. Ni shida ndugu yangu. Hao weka pembeni, bado kuna na wajuaji:

"Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao."

2. Alimradi ni mambo lukumba lukumba.
Tangu shule ya msingi hadi secondary kidato cha nne nimesoma na wakristo na wasabato.
Tulikuwa tunaishi vizuri na kuheshimiana imani zetu.
Mtaani kwetu manzese tumeishi vizuri sana na hao ndugu zetu.
Nakumbuka wazazi wangu walikuwa wananikumbusha kuwa binadamu ni wote sawa.
Nisimbague mtu kutokana na dini,kabila au changamoto yoyote aliyonayo.
Rafiki yangu Gaston George ambae ni padri kwasasa tuliishi nae vizuri mtaani kwetu.
Fredy John,Elia mwaisumo,David Bambo na wengne wengi walkuwa mfano wa kuigwa mtaani.
Jambo lolote la kijamii tulikuwa tunashiriki pamoja.
Kwenye familia yetu mama angu mkubwa ni mkristo alibadili dini.
watoto wake ni Emmanuel, Fred, Michael,Sekela na Sophy.
.Tunaishi kwa kuheshimiana sana,huwa nashiriki kwenye kipaimara,ukumunio,pasaka, Christmas e.t.c
Nao pia huwa wanashiriki kwenye shughuli/sherehe zetu za kiislamu.
Tupo na furaha na amani tele.
Njoo kwa waislamu na wakristo wa jamii forum ni balaa!!!
 
Tangu shule ya msingi hadi secondary kidato cha nne nimesoma na wakristo na wasabato.
Tulikuwa tunaishi vizuri na kuheshimiana imani zetu.
Mtaani kwetu manzese tumeishi vizuri sana na hao ndugu zetu.
Nakumbuka wazazi wangu walikuwa wananikumbusha kuwa binadamu ni wote sawa.
Nisimbague mtu kutokana na dini,kabila au changamoto yoyote aliyonayo.
Rafiki yangu Gaston George ambae ni padri kwasasa tuliishi nae vizuri mtaani kwetu.
Fredy John,Elia mwaisumo,David Bambo na wengne wengi walkuwa mfano wa kuigwa mtaani.
Jambo lolote la kijamii tulikuwa tunashiriki pamoja.
Kwenye familia yetu mama angu mkubwa ni mkristo alibadili dini.
watoto wake ni Emmanuel, Fred, Michael,Sekela na Sophy.
.Tunaishi kwa kuheshimiana sana,huwa nashiriki kwenye kipaimara,ukumunio,pasaka, Christmas e.t.c
Nao pia huwa wanashiriki kwenye shughuli/sherehe zetu za kiislamu.
Tupo na furaha na amani tele.
Njoo kwa waislamu na wakristo wa jamii forum ni balaa!!!

1. Hata mtaani ni hivyo. Hawa kina MK254 na wenye kuita wengine kobaz ni wapuuzi wa humu JF tu.

2. Hao ni wa kondolea uvivu, na kuwavaa head on bila kujali ni wafia uislam au wafia ukristo.

3. Zingatia wakristo na waislam wanaojitambua, wote wana matatizo na wafia dini hao.
 
1. Hayupo mwenye akili zake anaweza kuwa popote akitaka vita ati kwa kuwa ni imara kama si uwenda kuzimu.

2. Kwani walikuwapo kuliko kina Samson au Goliath?

3. Hapo #2, mweke Roman empire kwenye fridge kwanza, utamrejea baadaye.
Kwa taarifa tu roman empire ndiyo EU kwa sasa na kwa fact tu ndo most poweful last empire inayoenda itingisha dunia
 
Kwa taarifa tu roman empire ndiyo EU kwa sasa na kwa fact tu ndo most poweful last empire inayoenda itingisha dunia

1. Haya tena wale ndugu zetu kazini:

Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.

2. Kuna siku tutaelimika kweli?

3. Ngoja tuendelee kusubiria labda nyama ziko chini.
 
1. Hata mtaani ni hivyo. Hawa kina MK254 na wenye kuita wengine kobaz ni wapuuzi wa humu JF tu.

2. Hao ni wa kondolea uvivu, na kuwavaa head on bila kujali ni wafia uislam au wafia ukristo.

3. Zingatia wakristo na waislam wanaojitambua, wote wana matatizo na wafia dini hao.
Ni mwendo wa kuruka nao tuu!!!
 
Ni mwendo wa kuruka nao tuu!!!

1. Tambua kuna nyuzi hata waitwe kwa mdundo wa ngoma. Ni mwendo wa kujipitia juu kwa juu .. "hiiiiiiii ...iii!"

2. Amini nakwambia hatokei MK254 hata kwa kukokotwa na tinga tinga!
 
Kwa taarifa tu roman empire ndiyo EU kwa sasa na kwa fact tu ndo most poweful last empire inayoenda itingish

1. Tambua kuna nyuzi hata waitwe kwa mdundo wa ngoma. Ni mwendo wa kujipitia juu kwa juu .. "hiiiiiiii ...iii!"

2. Amini nakwambia hatokei MK254 hata kwa kukokotwa na tinga tinga!
Na wenzake sijui faiz...ritz
 
Ayatollah mbona haeleweki, anaenda mbele mara anarudi nyuma

Al-Arabia:

Iran's mission to the United Nations:

“Response [to Israel] can be avoided if the United Nations condemns the attack on our consulate in Damascus”
 
Ningetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake

Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear

Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k

Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo

Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Nyuma ya pazia Marekani nchi za kiarabu na Iran waongea kuhusu hilo shambulizi linoandaliwa na Iran lakini Iran lazima watafanya shambulizi.

Iran ana options nyingi tu na si lazima iwe ni makombora.

Iran yaweza kufanya mashambulizi ya "cyber attacks" ili kuua uwezo wa Israeli kwenye mitandao ya internet na mashambulizi mengine ya kimkakati.

"Miscalculations" yoyote italeta athari kubwa ndo maana bado Iran wametumia muda kupata shambulizi murua.

Lengo la Israeli na Marekani ni kutaka Iran akosee kufanya mashambulizi ili wapate sababu ya kushambulia vinu vya nyuklia jambo ambalo litaleta athari Iran zaidi kuliko Israeli na Marekani.

Ila Israeli atafaidika kwa kuwa na uhakika ametibua vinu vya nyuklia vya Iran visiwe na nguvu.
 
Ningetamani sana Iran abakie mfano wa kama China, mchina mchokozee atakukoromea tu na kukuonyeshea videge na vijimabomu na mazoezi uchwaraa..! Kumbe mwenzako yuko mbaaali mno na ukweli huo huku akiendelea kujenga uchumi wake

Irani ni Taifa ambalo sio tu Israel imejitahidi kujenga uwezo wa kuitandika Iran, bali hata mataifa ya Magharibi yanamtamani sana huyo Iran, na ndiyo maana Israel, hapo Middle ni yeye tu mwenye Nuclear huku Iran akiwa kwenye vikwazo vingi kuhusiana na mradi wake wa Nuclear

Hata hivyo, Irani anachukiwa na mataifa mengi makubwa, akijichanfanya tu aipige Israel, atashindwa kujua ni nani hasa anayempiga, maana atachapwa kama mtoto mdogo na kuharibu mazima uchumi wake na kurudi uchumi wa kama Iraq, Yemeni, Syria n.k

Kwa ushauri wangu, asijaribu kufanya hivyo

Niwaombe na waislamu watukutu, waache kumvimbisha kichwa Iran, kwani wao watakuwa ni mashabiki watazamaji tu
Sasa wanapigwa na psychological warfare na ktk hili wairan ni wataalamu mno muisrael ataachwa achwa kwanza ajisahau halafu atalipiziwa ila tu hii psych ops inwafrustrate israell na majamaa zake wote.
 
U.S. Republican Senator, Marco Rubio who is a Member of the Gang of Eight and the Senate Intelligence Committee has made a Post stating that Iran wants to launch a Large-Scale Attack from its own Territory against Israel and that Israel is preparing to “Respond Instantly” with an even more Severe Attack inside of Iran; with him further stating, “What happens next is the most dangerous Middle East moment since 1973.”
 
Sasa wanapigwa na psychological warfare na ktk hili wairan ni wataalamu mno muisrael ataachwa achwa kwanza ajisahau halafu atalipiziwa ila tu hii psych ops inwafrustrate israell na majamaa zake wote.
REPORT:

YNET: Iran backed away from launching a last-minute attack against Israel.

Recent indicators suggest that Iran had been preparing in recent days to retaliate against Israel following the assassination of senior Quds Force commander Hasan Mahdi al-Dhawai in Damascus.

However, at the final moment, Iran either postponed the operation or opted to alter its course, likely due to explicit warnings conveyed by senior officials in the Biden administration yesterday.
 
BREAKING: Israel's defense minister says a 'direct Iranian attack on Israeli territory will compel Israel to respond in an appropriate way against Iran'
 
BREAKING: Israel's defense minister says a 'direct Iranian attack on Israeli territory will compel Israel to respond in an appropriate way against Iran'

1. Kwa hiyo hiyo ndiyo kinga ya kumthibitishia mmarekani amwachie yuko vizuri?

2. Hizi si ndiyo zile "nishikeni jamani, nitaua;" huku mchuzi unatoka puani?

3. Lini tutaamka kujua uchokozo ni upumbavu?
 
REPORT:

YNET: Iran backed away from launching a last-minute attack against Israel.

Recent indicators suggest that Iran had been preparing in recent days to retaliate against Israel following the assassination of senior Quds Force commander Hasan Mahdi al-Dhawai in Damascus.

However, at the final moment, Iran either postponed the operation or opted to alter its course, likely due to explicit warnings conveyed by senior officials in the Biden administration yesterday.

Haina shaka kwamba wanaonukuliwa ni CIA:

"It is not a matter of if, but when."
 
Back
Top Bottom