Mimi niliwaambia majuzi kule kwenye uzi wa Hhwaei kuondolewa kwenye biashara ya 5G, wengi wanabishana na wengine wanachukulia ushabiki tuu ili mradi kuongea, jaman huu ni ukweli mzee wa fitina akianza acheni mizaha hakuna cha kusema nan ama nan anapingana nae, mrusi mwenyewe na jeuri yake anapigwa sanctions na anatulia sembuse mchina? Ni kwamba DT kaamua kuimaliza Huwaei kabisa kwa sasa, na anataka ahakikishe china wanarudi hatua nyuma kazaa, alianza na tarrifs, mchina alikua anauza US bizaa almost to 500B. Wakat Us anauza 173B kwa tarrif ya juu up to 25% DT akalala nae sahan moja na hii jamaa akalalamika wee na kusema atalipiza waap ngumi ikapita hio, akaja kwenye 5G, amehakikisha wenzie wanaachana na huo mkataba as Huwaei ndio ilikua imepata coverage for 80% of the world, na kampun nyingi walikua washalipia kit tayari, ila biti la mzee wa fitina kwa sasa wengi washakula kona, australia,uk,india,canada,france, na hapo vikwazo rasm ni sept mwaka huu mpaka kufika huko europe nzima patakua hamna mkataba, juz hapa kaingilia kampuni za stock exchange za kichina lazima zikaguliwe US otherwise anazifuta. Sasa kaja na issue ya wafanyakaz wa Huwaei, bado hata sept hatujafika and anakwambia....we have gat all options on the table