Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

USA anaweza kuwa mnyonyqji, lakini Kuna baadhi ya favour anakupa pia , Mimi na wewe tunajibizana hapa kwa hisani yake kuanzia internet hadi gadgets unalijua Hilo,?
Niambie Ni kipi mchina anatusidia Mimi na wewe leo hapa , ukiachana simu ninayotumia ambayo bila os ya Android Ni Kama kopo tu?
Siku ukija kupiga hesabu za vitu vya kichina na jinsi visivyodumu utakuja kuona ujanja wao haupo kwa ajili ya manufaa yetu. Bali Ni kutufanya masikini zaidi

Sent
MCHINA anafanya biashara mpaka huko ULAYA na US ulishawahi kuwasikia wakilalamika kama mnavyolalamika nyie

MCHINA anakupa kitu kutokana na uwezo wako unadhani vitu vyandani wanavyouziwa US kutokea UCHINA nifake nakama fake mbna wananunua ama nawao hawajui kama nyie huko AFRIKA ?!
 
Bandari ya Bagamoyo ni kielelezo cha uroho na uhuni wa mchina

JPM aliwakazia kinoma

gesi ya Ntwara
 
USA anaweza kuwa mnyonyqji, lakini Kuna baadhi ya favour anakupa pia , Mimi na wewe tunajibizana hapa kwa hisani yake kuanzia internet hadi gadgets unalijua Hilo,?
Niambie Ni kipi mchina anatusidia Mimi na wewe leo hapa , ukiachana simu ninayotumia ambayo bila os ya Android Ni Kama kopo tu?
Siku ukija kupiga hesabu za vitu vya kichina na jinsi visivyodumu utakuja kuona ujanja wao haupo kwa ajili ya manufaa yetu. Bali Ni kutufanya masikini zaidi

Sent
Nakupata mkuu
Hivi vyote tunavyo tumia jua ni biashara anafanya US kwanini mchina azuiliwe biashara

Kusema kuna-kafavour kwa USA kwetu sisi nidhahir anakula vizuri na kipofu lakini bado ni mnyonyaji.

Kwanini sisi tunao wategemea wao tuone USA Mzuri, Alihali nimnyonyaji pia?

Biashara ngapi pale karikoo zinaitegemea China?

Kama unafanya biashara utakubaliana nami bidhaa za kiwango cha chini ndizo zenye mzunguko kutokana na hali zetu za kiuchumi . je tulaumu alotengeneza,! Mbona zenye ubora hazina mzunguko!

US na CHINA Wote niwanyonya wanatofautina viwango tu kwa kutudanganya
 
aaah subutu unataka kunambia wanasaini mikataba bila kuisoma ?!
Umeshawahi kufanya kazi na mchina? kama umewahi utagundua jamaa wanatufanya sisi hatuna akili kabisa, the way wanavyotukadiria ni afadhali hata ya mzungu

kwa sasa zambia shirika la umeme ambalo ni la uma linaendeshwa na mchina kupitia mikataba hiyo hiyo
inawezekana kweli viongozi wetu hawasemi vizuri, ila nafahamu pia ukiwa top layer, mchina ana package yake ya ku deal nawe. hii inawezekana viongozi wetu hawaijui mchina vizuri hadi mambo yanapoharibika kabisa
 
MCHINA anafanya biashara mpaka huko ULAYA na US ulishawahi kuwasikia wakilalamika kama mnavyolalamika nyie

MCHINA anakupa kitu kutokana na uwezo wako unadhani vitu vyandani wanavyouziwa US kutokea UCHINA nifake nakama fake mbna wananunua ama nawao hawajui kama nyie huko AFRIKA ?!
Sauti za ulaya kumlalamikia mchina si ndo hizi ban tunazozidiscus hapa?
ulaya asingeweza kupenetrate the way alivyo fanya Africa ,sababu mchina kaikuta ulaya tayari ni developed ,
Africa mchina anafanya hivo sababu sisi ni maskini, unadhani zambia ingekuwa ni developed country mchina angechukua shirika la Zesco?
 
Hahaaa marekani naona round hii anataka Kuvuna point 3 toka kwa waislam

Baada ya kuwa ana washushia kichapo miaka nenda rudi

That's why huwa tunasema hizi dini zimewekwa na watu ili kuweza kuwarahisishia wao kutawala

Marekani na uislam wapi na wapi jamani duuhh!!!! Hahaaa
 
Marekani ndie mtetezi mkuu wa uislamu Duniani na waislamu.

Waislamu wengi hutamani kwenda Marekani wakapate uhuru wa kuabudu vizuri, hawatamani kwenda Saudi wala Yemen bali Marekani.

Marekani amekua akitetea waislamu wasali na kufanya ibada zao kwa amani.

Marekani amekua akishughulika na magenge ya wahuni ndani ya uislamu, yanayotumia uislamu kufanya uhalifu dhidi ya binadamu wenzao kwa kigezo cha uislamu.

Waislamu wengi mashariki ya kati hutamani kukimbilia ulaya na marekani wakawe huru kufanya ibada zao badala ya huko salipo chini ya vikundi na magenge ya wahuni wanaotumia uislamu kuwaua, kuwakandamiza na kuwanyima uhuru.

Unafikiri Marekani akiamua kukaa kimia si vikundi vya wahuni vitaua waislamu na kuwamaliza huko mashariki ya kati. Angalia ISIS, Taleban, Hezbollah, sijui vikundi gani vinavyoua watu sasa, fikiri waachwe huru waue watu wanavyojisikia kwa uhuru kwa jina la uislamu, kuna mtu atabaki?
Hivyo vikundi vyote ulivyo vitaja vya magaidi ni planted ya hao USA

Mamaeeeee
 
hahaha marekani ameanza lini ushosti na waislamu??

Hivi unajua Marekani ina waislamu wangapi? Tatizo kuna watu wanatumia dini ya Mungu wa kweli ya Kiislamu ili kufanya mambo yao. Iran inatumia dini kuhalalisha udikteta wake
 
Katika mishe mishe zangu za maisha nimebahatika kufanya kazi na Wachina ,
Honestly jamaa ni wabaya kuliko tunavyowajua , wabaguzi , dharau na hawajali kabisa rangi hii yetu .na wanafiki kupitiliza .

Inaonekana kabisa ujio wao Africa ni mission fulani , sio kwa maendeleo yetu bali kitu kingine kabisa . Kuna documentary niliangalia inasemekana deep mission ya mchina ni kuwa anaitaka Africa sana , lakini hataki ikiwa na watu Wake , anaitaka kwa sababu kwao hawana tena Ardhi ,

Projects zao zote zimetawaliwa na mikataba migumu sana amabyo haitekelezeki kirahisi , na mingi ipo kuumiza wananchi wa kawaida kwa faida ya viongozi corrupted kadhaa , Zambia walifanikiwa kuyachukua madhirika ya umaa kadhaa , kwa ajili ya mikataba mibovu..

Anachofanya mmarekani kwa huawei na mchina naona Ni sahihi tu

Sent
Wachina ndio waliokuwa wana wachukua mababu na mabibi zako na kwenda kuwauza huko makwao na kuwa tumikisha wakiwa watumwa??
 
Sauti za ulaya kumlalamikia mchina si ndo hizi ban tunazozidiscus hapa?
ulaya asingeweza kupenetrate the way alivyo fanya Africa ,sababu mchina kaikuta ulaya tayari ni developed ,
Africa mchina anafanya hivo sababu sisi ni maskini, unadhani zambia ingekuwa ni developed country mchina angechukua shirika la Zesco?
Unahisi Kelele zinazo endelea Huko ULAYA na DUNIANI kuhusiana na HUAWEI ya UCHINA nikwasababu ya Ubora wa Bihaa zenyewe ambazo zinatokana na HUAWEI kama ulivyodai hapo Juu MKUU ama ?!

HUAWEI wanamigogoro yao Ambayo sio kuhusiana na Ubora wahizo bidhaa kama ulivyodai huko juu

huko juu hukuongelea ban namimi sikuongelea hio ban uliongelea ubora wa hizo bidhaa za UCHINA sasa mbna hueleweki unataka tukiongelee kipi hasa ?!
 
Umeshawahi kufanya kazi na mchina? kama umewahi utagundua jamaa wanatufanya sisi hatuna akili kabisa, the way wanavyotukadiria ni afadhali hata ya mzungu

kwa sasa zambia shirika la umeme ambalo ni la uma linaendeshwa na mchina kupitia mikataba hiyo hiyo
inawezekana kweli viongozi wetu hawasemi vizuri, ila nafahamu pia ukiwa top layer, mchina ana package yake ya ku deal nawe. hii inawezekana viongozi wetu hawaijui mchina vizuri hadi mambo yanapoharibika kabisa
Inawezekana ukawa unawajua WACHINA ila inawezekana nikawa nawajua WACHINA vizuri zaidi kuliko wewe MKUU


Kwanza naomba tuelewane kwamba siwaungi mkono WACHINA kuhusiana naunayo yasema hapo juu

Kuhusiana na swala ka ZAMBIA sikulikuwa na mikataba ?!

Mpaka unasaini mkataba hukujua content ya mkataba unataka nini ?!

Kama hukujua wakulaumiwa hapo nani aloleta mkataba ama alosaini ?!

Mkataba kama hujauelewa kwanini unasaini kwakutaka nini ?!

Kama unasaini mkataba kwamaana umeuona unafaa naukauona una maslahi nawewe nandio maana ukasaini

Ikatokea ukaenda kinyume na mkataba lazma mkataba uheshimiwe na ufuatwe kama unavyotakiwa

Kama kuna kipengele kinasema usipoweza kulipa mkopo bank asset zako kama mashamba nyumba zinauzwa na ukausaini kwakujua ama kutokujua lakini mkataba ulipewa na ukausoma baadae nyumba zako zikija kuuzwa wakulaumiwa wewe ama bank wakati mkataba ulipewa ?!

Kwahili la ZAMBIA namikataba mengineyo ya UCHINA muwe nasababu nyengine kwani mikataba mnasainishwa mkiwa mmeshikiwa silaha ?!

Rais wa TANZANIA alikataa kutia saini kandarasi yaujenzi wa Bandari ya wapi sijui kule kutoka kwawachina je wachina walimlazmisha !?

Yaani viongozi namashirika yao kibao yakiusalama wasiujue ubaya wa WACHINA namikataba yao MKUU kweli ?!

Mikataba mnasaini wenyewe kwakuona inawafaa baadae mnakuja mnalia lia nini ?!

Kama mnaona mikataba haiwafai msitie saini yamakubaliano nakama mikataba hawaielewi kwanini wanasaini unasaini kitu ambacho hukielewi kwakutaka nini wakati kitu hakieleweki ?!

Kwani huko ULAYA hawaingii mikataba na UCHINA mbna hujayasikia yanayotokea AFRIKA
 
Hivi unajua Marekani ina waislamu wangapi? Tatizo kuna watu wanatumia dini ya Mungu wa kweli ya Kiislamu ili kufanya mambo yao. Iran inatumia dini kuhalalisha udikteta wake
MKUU ulikua unataka kuongea nini labda mbna hujaeleweka ?!
 
Hawa wachina watapa tabu sana, Taifa pekee ambalo linaweza likawekewa vikwazo na Marekani lkn wakaendelea na maisha bila mfadhaiko mkubwa ni URUSI pekee....hawa wengine wote lazima wasage meno
 
Hawa wachina watapa tabu sana, Taifa pekee ambalo linaweza likawekewa vikwazo na Marekani lkn wakaendelea na maisha bila mfadhaiko mkubwa ni URUSI pekee....hawa wengine wote lazima wasage meno
Na kwa sababu mrusi ni Mzungu mwenzao
 
Hahaaa marekani naona round hii anataka Kuvuna point 3 toka kwa waislam

Baada ya kuwa ana washushia kichapo miaka nenda rudi

That's why huwa tunasema hizi dini zimewekwa na watu ili kuweza kuwarahisishia wao kutawala

Marekani na uislam wapi na wapi jamani duuhh!!!! Hahaaa
Marekani anapatana mno na waislam, mashia ndo hapatani nayo.
 
Marekani anapatana mno na waislam, mashia ndo hapatani nayo.
Wale waislam aliowashushia kichapo kule Libya ilikuwa vipi mkuu !??

Halafu shia ni dhehebu sio dini ... Shia ni dhehebu la waislam lililo asisiwa nchini Iran

So kama hapatani na shia still hapatani na waislam
 
Back
Top Bottom