Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

Etiiii
Marekani ndie mtetezi mkuu wa uislamu Duniani na waislamu.

Waislamu wengi hutamani kwenda Marekani wakapate uhuru wa kuabudu vizuri, hawatamani kwenda Saudi wala Yemen bali Marekani.

Marekani amekua akitetea waislamu wasali na kufanya ibada zao kwa amani.

Marekani amekua akishughulika na magenge ya wahuni ndani ya uislamu, yanayotumia uislamu kufanya uhalifu dhidi ya binadamu wenzao kwa kigezo cha uislamu.

Waislamu wengi mashariki ya kati hutamani kukimbilia ulaya na marekani wakawe huru kufanya ibada zao badala ya huko salipo chini ya vikundi na magenge ya wahuni wanaotumia uislamu kuwaua, kuwakandamiza na kuwanyima uhuru.

Unafikiri Marekani akiamua kukaa kimia si vikundi vya wahuni vitaua waislamu na kuwamaliza huko mashariki ya kati. Angalia ISIS, Taleban, Hezbollah, sijui vikundi gani vinavyoua watu sasa, fikiri waachwe huru waue watu wanavyojisikia kwa uhuru kwa jina la uislamu, kuna mtu atabaki?
 
US kuisakama HUAWEI anaisakama ila Kuimaliza HUAWEI hawez

Unaifananisha RUSSIA na UCHINA taifa lapili kiuchumi ULIMWENGUNI...
Hebu tupe fact kidogo, since mgogoro na Huawei umeanza na bwana mkubwa wamepiga hatua ipi? Mteja mkubwa wa bizaa hizi ni Europe, america hakuruhusiwa kuuza simu zaid ya components, sasa europe unazan atachagua lipi? Ku stick na us ama na china? Kwa kifup kwenye modern business lazima uwe na alliance, sasa alliance wa china ni nan? Kwanza iman iko chini kwa huwawei ndan ya mailand ndio maana hata servers za customers woote wa europe na africa ziko hongkong, wataaalam wa uchumi wanakwambia uchum wa china ni kama makaratas hauna mizizi ni uchum pekee ambao unaweza poromoka kwa mara moja
 
Kwa taarifa yako Hezbollah SIYO adui wa Israel, ni adui wa “Sunni” bila Hezbollah hakuna Israel imara! Wajua Hezbollah ni tawi la Iran na Iran inawezesha Israel kuwa imara - kivipi? Bila adui huwezi kujiimarisha(proactive, technologically & militarily preventive measures)!
Aiseee
 
Kwani hiyo Russia haikuwa superpower leo iko nafasi ipi ?


Unafiki kwa mihemko sana.
Takwimu alioitoa jamaa hapa wala sio hio ya kipindi RUSSIA yupo Super power

Huenda wewe ndio ukawa unafikiria kwamihemko zaidi...
 
Hebu tupe fact kidogo, since mgogoro na Huawei umeanza na bwana mkubwa wamepiga hatua ipi? Mteja mkubwa wa bizaa hizi ni Europe, america hakuruhusiwa kuuza simu zaid ya components, sasa europe unazan atachagua lipi? Ku stick na us ama na china? Kwa kifup kwenye modern business lazima uwe na alliance, sasa alliance wa china ni nan? Kwanza iman iko chini kwa huwawei ndan ya mailand ndio maana hata servers za customers woote wa europe na africa ziko hongkong, wataaalam wa uchumi wanakwambia uchum wa china ni kama makaratas hauna mizizi ni uchum pekee ambao unaweza poromoka kwa mara moja
Kama ni UCHUMI ambao unaweza kuporomoka kwamaramoja ndio suala lakuungojea tuuone unavyoporomoka

Server za EUROPE kuekwa HONG KONG kunashida gani kwani HONG KONG sio sehemu ya UCHINA !?

Suala lakusema EUROPE wataegemea wapi nisuala lamuda sio kuisemea EUROPE jana wewe wewe nilikupa mfano wa Alliance wakibiashara wa GERMAN na US na GERMAN na RUSSIA ila GERMAN akaona maslahi yake yapo RUSSIA akaenda kufunga bomba lagesi kutoka RUSSIA mpaka GERMAN

Linapokuja suala lakibiashara watu wanaangalia maslahi MKUU achana na alliance kama hana maslahi nawewe hizo biashara mnafanya huko AFRIKA tuuu.
 
Unyonyaji wa mzungu plus ujinga wetu umetufikisha hapa

USA ndo mwenyehaki ktk dunia hii yakuamua iendeje

Hiyo documentary kaiandaa nani kwa maslahi ya nani? Tumepumbazwa sana Africa kuona cha mzungu na mzungu ndo bora

Nani asiyeitaka AFRICA
Unawajua vizuri Wachina mkuu?

Sent
 
Dah Mkuu, mbona inasikitisha sana. Inamana na wao wanataka wafanye Colonizatipn of Africa, Slave trade, Cultural killings and many unknown shits.
Wanataka Africa as a continent wakae wao , sisi tunafanyiwa figisu tutoweke kabisa , hakuna mchina mwenye upendo na mtu mweusi, that's is my observation though

Sent
 
Wewe ni kichaa ukute unamiliki simu ya tecno hujawahi kusafiri umbali wa walau kilomita 1000 uone new exposure.


Walau ungekuwa umetoka nje ya hili bara ungejua kwanini mchina huwezi mlinganisha na Mzungu hata Mara moja.


Muwe mnauliza watu waliotoka nje ya bara sio unakaa kwenu maramba mawili unajiona una full exposure ya mambo.
Mchina anakupa mkopo masharti ukishindwa anachukua yeye , sio mbaya , Ila kujimilikisha shirika la Uma la zesco, ilikuwa Ni wake up call kwa tawala za Africa dhidi ya China,

Sent
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Mchina anakupa mkopo masharti ukishindwa anachukua yeye , sio mbaya , Ila kujimilikisha shirika la Uma la zesco, ilikuwa Ni wake up call kwa tawala za Africa dhidi ya China,

Sent
Kwani simnakubaliana au anakulazimisha MKUU ?!
 
Yaani mi naona ubaya wa mchina haumsafishi USA. Wote wanyonyaji tu
USA anaweza kuwa mnyonyqji, lakini Kuna baadhi ya favour anakupa pia , Mimi na wewe tunajibizana hapa kwa hisani yake kuanzia internet hadi gadgets unalijua Hilo,?
Niambie Ni kipi mchina anatusidia Mimi na wewe leo hapa , ukiachana simu ninayotumia ambayo bila os ya Android Ni Kama kopo tu?
Siku ukija kupiga hesabu za vitu vya kichina na jinsi visivyodumu utakuja kuona ujanja wao haupo kwa ajili ya manufaa yetu. Bali Ni kutufanya masikini zaidi

Sent
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Kwani simnakubaliana au anakulazimisha MKUU ?!
Mikataba inayotuumiza wa Africa inaingiwa kiujanja zaidi , kiufupi viongozi wetu kwa kutowajua vizuri Wachina wanarubuniwa na Wachina., Sikatai hata mmarekani aliwahi kuwa na mikataba ya aina hiyo , hii ya Wachina ni zaidi ya unyama ,


Sent
 
Mikataba inayotuumiza wa Africa inaingiwa kiujanja zaidi , kiufupi viongozi wetu kwa kutowajua vizuri Wachina wanarubuniwa na Wachina., Sikatai hata mmarekani aliwahi kuwa na mikataba ya aina hiyo , hii ya Wachina ni zaidi ya unyama ,


Sent
aaah subutu unataka kunambia wanasaini mikataba bila kuisoma ?!
 
Back
Top Bottom