Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

Marekani yatangaza marufuku ya kusafiri kwa wafanyakazi wa Huawei na makampuni mengine ya Kichina

Wale waislam aliowashushia kichapo kule Libya ilikuwa vipi mkuu !??

Halafu shia ni dhehebu sio dini ... Shia ni dhehebu la waislam lililo asisiwa nchini Iran

So kama hapatani na shia still hapatani na waislam
Waislam gan hao walioshushiwa kichapo na US libya?! Au unazungumzia dikteta Ghadafi aliyeuwawa na walibya wenzake?!
Mashia sio waislam ingawa hujipendekeza kwenye uislam ili kuuchafua uislam
 
Waislam gan hao walioshushiwa kichapo na US libya?! Au unazungumzia dikteta Ghadafi aliyeuwawa na walibya wenzake?!
Mashia sio waislam ingawa hujipendekeza kwenye uislam ili kuuchafua uislam
Kwahiyo Libya alikufa Gaddafi peke yake

Kuna biashara ya utumwa inaendelea pale na wanaouzwa wengi ni waislam . na hiyo biashara imeibuka baada ya Libya kukumbwa na machafuko .machafuko ambayo yalisababishwa na USA NA NATO vipi unalizungunziaje hilo !??
 
Yes wakomonisti lazima kutiwa adabu kwa kutoheshimu haki za binadamu na kushirikiana na vijiserikali vivunjifu yva haki za raia. Thank you president Trump.
 
Waislam gan hao walioshushiwa kichapo na US libya?! Au unazungumzia dikteta Ghadafi aliyeuwawa na walibya wenzake?!
Mashia sio waislam ingawa hujipendekeza kwenye uislam ili kuuchafua uislam
Na vipi kuhusu wananchi ambao wamepoteza maisha kule Syria ??

USA ni wanafiki tu na always yeye na washirika wenzake huwa wanazutumia hizi dini Christian and Muslim kama chambo wa kuwasaidia kufikia malengo ya kisiasa
 
Mchina amewaweka jela waislam zaidi ya milioni 1 kule xijiang province,wanawake wa kiislam wanalazimishwa uzazi wa mpango,wanafungwa vizazi,watoto hawaruhusiwi kifundishwa dini ya wazazi wao.

Waislam kimya,sio Saudia wala Indonesia au bongo ambako wamepaaza sauti kulaani hayo mambo. Marekani imepiga kelele mpaka wameweka vikwazo nje ya vile vya Huawei ,wakati zingechorwa katuni za mtume kwenye gazeti 1 huko USA basi uarabuni nzima mpaka tz ingeandamana.
 
Na vipi kuhusu wananchi ambao wamepoteza maisha kule Syria ??

USA ni wanafiki tu na always yeye na washirika wenzake huwa wanazutumia hizi dini Christian and Muslim kama chambo wa kuwasaidia kufikia malengo ya kisiasa
US hajawahi kufanya operation ya kushambulia wananchi kule Syria, yeye hudeal na magaidi tu, tambua kwenye vita hawauwawi wapiganaji tu bali hata raia huuwawa. Hata vita vya Iran vs Iraq Kuna wananchi waliuwawa
 
Unaongelea hii marekani iliokwenda kuuwa malaki ya Waislam Libya, Iraq, Afghan ama marekani ipi?? Ni kwamba mnajitoa ufaham, hamfaham au hamtaki kufaham kuwa Uchina inapaa kiuchumi na Marekani halitaki hilo litokee, na kilichobaki ni kuweweseka, VITA YA KIBIASHARA
Mchina amewaweka jela waislam zaidi ya milioni 1 kule xijiang province,wanawake wa kiislam wanalazimishwa uzazi wa mpango,wanafungwa vizazi,watoto hawaruhusiwi kifundishwa dini ya wazazi wao.

Waislam kimya,sio Saudia wala Indonesia au bongo ambako wamepaaza sauti kulaani hayo mambo. Marekani imepiga kelele mpaka wameweka vikwazo nje ya vile vya Huawei ,wakati zingechorwa katuni za mtume kwenye gazeti 1 huko USA basi uarabuni nzima mpaka tz ingeandamana.
 
Ww jamaa unavituko kuliko watu wote humu jf
US hajawahi kufanya operation ya kushambulia wananchi kule Syria, yeye hudeal na magaidi tu, tambua kwenye vita hawauwawi wapiganaji tu bali hata raia huuwawa. Hata vita vya Iran vs Iraq Kuna wananchi waliuwawa
 
US hajawahi kufanya operation ya kushambulia wananchi kule Syria, yeye hudeal na magaidi tu, tambua kwenye vita hawauwawi wapiganaji tu bali hata raia huuwawa. Hata vita vya Iran vs Iraq Kuna wananchi waliuwawa
Acha kuhamisha magoli basiii ..hapa hoja ni USA anadai kuwa ana mapenzi na waislam
 
US hajawahi kufanya operation ya kushambulia wananchi kule Syria, yeye hudeal na magaidi tu, tambua kwenye vita hawauwawi wapiganaji tu bali hata raia huuwawa. Hata vita vya Iran vs Iraq Kuna wananchi waliuwawa
Magaidi akina nani?
 
Acha kuhamisha magoli basiii ..hapa hoja ni USA anadai kuwa ana mapenzi na waislam
Kukujibu hoja zako ndo unaita kuhamisha magoli?! Ebu onyesha wapi nimehamisha magoli.
Ndiyo kabisa US ana mapenzi na waislam
 
Unaongelea hii marekani iliokwenda kuuwa malaki ya Waislam Libya, Iraq, Afghan ama marekani ipi?? Ni kwamba mnajitoa ufaham, hamfaham au hamtaki kufaham kuwa Uchina inapaa kiuchumi na Marekani halitaki hilo litokee, na kilichobaki ni kuweweseka, VITA YA KIBIASHARA
Mimi sina shida na China kupaa kiuchumi coz wote ni mabepari,shida ni double standard kwa sababu mchina sio mtakatifu. USA umeenda vitani Libya,Iraq kwa sababu za kiuchumi wakati China inachofanya kule xijiang ni social cleansing. Wanatumia nguvu za serikali kufuta dini na utamaduni wa watu na waislam wako kimya dunia nzima,anae wasemea ni mzungu ambae sio muislam.
 
Mchina amewaweka jela waislam zaidi ya milioni 1 kule xijiang province,wanawake wa kiislam wanalazimishwa uzazi wa mpango,wanafungwa vizazi,watoto hawaruhusiwi kifundishwa dini ya wazazi wao.

Waislam kimya,sio Saudia wala Indonesia au bongo ambako wamepaaza sauti kulaani hayo mambo. Marekani imepiga kelele mpaka wameweka vikwazo nje ya vile vya Huawei ,wakati zingechorwa katuni za mtume kwenye gazeti 1 huko USA basi uarabuni nzima mpaka tz ingeandamana.
Ukanda wa gaza pale palestina wapo jela toka mwaka 2007 au nahili hulijui !?

Ulimsikia US akisema nini ?!
 
Ukanda wa gaza pale palestina wapo jela toka mwaka 2007 au nahili hulijui !?

Ulimsikia US akisema nini ?!
Nalo pia sio sawa hata kidogo na siungi mkona vitendo ambavyo muisrael anamfanyia mpalestina kwani ni apartheid kwa sapoti ya marekani. Pia sioni action ya pamoja ya nchi za kiislam hata kupaza sauti tu!!! Angalau Iran na Qatar wanasaidia kidogo.
 
Back
Top Bottom